usalama barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    Pre GE2025 Makonda anahalalisha uvunjifu wa sheria? Hizo kesi anazosema auziwe yeye atazimaliza vipi au anatuma ujumbe gani?

    Makonda anaalika watu wenye Range, Doscovery nk kwenda Arusha kwenye tamasha la land rover festival 2024, huku akieleza kuwa watakaokwenda wakiwa njiani wakipata changamoto yoyote wamwambie Huyo Askari wa Barabarani ampigie Makonda, yaani kesi zote auziwe yeye Makonda, waseme Makond ndio...
  2. Uhakika Bro

    Usalama barabarani, vipi tukiweka camera black box na audio driving route recorder kwenye basi kama ndege

    Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu. 1. Kuonesha mbele inapoenda 2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder 3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama. Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu...
  3. TUMA TANZANIA 1

    Askari wa barabarani kagueni gari, kumbukeni hata mshahara mnaolipwa unatoka kwa hao hao wananchi

    Habari za wakati huu wakuu wangu, mimi nina kero yangu kuhusu hawa Askari wa usalama barabarani traffic kuchukua rushwa (kifurushi) badala ya kukagua gari. Kwahiyo madereva wanashughulika na kuwa na hela ya kulipia kifurushi badala ya kutengeneza gari gari bovu.
  4. Dear_me_

    Vitu gani muhimu vya kuwa navyo kabla ya kuwaona POLICE usalama barabarani kwa ajili ya kupata sticker ya usalama na KIASI cha kulipia

    Habari za muda huu wana JF NINGEPENDA KUJUA VITU GANI MUHIMU VYA KUA NAVYO KABLA YA KUOMBA STICKER YA USALAMA KWA AJILI YA GARI👏
  5. Mkalukungone mwamba

    Mara: Abiria 16, Dereva na Kondakta wakamatwa kwa tuhuma za kumpiga Askari wa Usalama Barabarani

    Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara. Akizungumza kuhusu tukio hilo...
  6. cleokippo

    Hivi sheria inasemaje kuhusu makosa ya Usalama Barabarani kwa vyombo vya usafiri kama pikipiki, bajaji, gari nk?

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu Wataalamu wa sheria , naomba kufaham faini anayostahili kulipa mtu wa boda endapo atakutwa na makosa ma nne Au mtu wa gari anayeweza kukutwa na makosa ma nne Nimeamua kuandika uzi huu sababu kumekuwa na mabishano mtaan, wapo wanaosema hata...
  7. milele amina

    IGP: Suala la Ajali za Barabarani na ukimya cha Jeshi la Polisi

    Ajali za barabarani ni tatizo linaloendelea kukua nchini Tanzania na linaathiri jamii kwa namna nyingi. Kila siku, tunasikia habari za ajali mbaya zinazosababisha vifo na majeruhi, hususan kwa watu wasio na hatia. Hali hii inasikitisha sana, na swali linalojitokeza ni: Kwanini jeshi la polisi...
  8. D

    Natafuta mfadhili wa Mradi wa Elimu ya Usalama Barabarani

    Habari wana jukwaa, Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na pia ya afya na ujasiriamali kwa bodabodaz. Natafuta mtu, taasisi au kampuni inayoweza kutusaidia...
  9. D

    Sponsa wa Mradi wa Elimu ya Usalama Barabarani

    Habari wana jukwaa, Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na pia ya afya na ujasiriamali kwa bodabodaz. Natafuta mtu, taasisi au kampuni inayoweza kutusaidia...
  10. Jidu La Mabambasi

    Wiki ya Usalama Barabarani: Polisi na Serikali mmeshindwa vibaya kudhibiti bajajI na bodaboda?

    Polisi wanatamba kuwa kutotii sheria utakamatwa na utachukuliwa hatua za kisheria. Kuna kundi kubwa la watumiaji wa barabara wanamiliki bajaj na bodaboda nchini, kundi hili liko juu ya sheria. HAKUNA wanaolidhibiti kundi hili, si polisi au chombo chochote cha dola. Na kundi hili kwa kiasi...
  11. Carina

    Leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra

    Aisee wanajamvi leo nimepigwa faini kwa kosa la kutosimama kwenye Zebra. Sio kupunguza mwendo ni kutosimama kabisa. Nilikuwa sijui kama ndio hivyo. Kwan nilipunguza mwendo na hakukuwa na watu kabisa wanaosubiria kuvuka basi nikaendelea kuendesha mbele ndio nakutana na trafic akanissimamisha...
  12. P

    Barabara ya Ilala Boma iwekwe mataa ya muda, ni hatari kwa watembea kwa miguu na wenye magari pia

    Wakuu, Barabara ya Ilala Boma eneo lile ambako ni karibu na karume kulikuwa na mataa ya kuongozea magari mwanzo, lakini baada ya kuanza ujenzi wa mwendokasi mataa hayo yalitolewa. Sasa hivi kumekuwa vurugu mechi, ni hatari kwa wenye vyombo vya moto lakini ni hatari zaidi kwa watembea kwa...
  13. M

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Wajibu wa askari wa usalama barabarani kwa jamii - (traffic police public liability)

    STORIES OF CHANGE 2024 TANZANIA TUITAKAYO WAJIBU WA ASKARI WA USALAMA BARABARANI KWA JAMII - (TRAFFIC POLICE PUBLIC LIABILITY) Jeshi la Polisi kitengo cha Usalama Barabarani linapaswa kuboreshwa ili wawezeshwe kutoa huduma zaidi ya wanazotoa kwa sasa. Tunawaona wakiongoza magari, kukagua...
  14. Chagu wa Malunde

    SoC04 Sheria ya usalama barabarani ifanyiwe mabadiliko. Adhabu zinazotolewa na haziwafanyi madereva kuogopa kufanya makosa na kusababisha ajali

    Sheria zote hapa duniani huwa zinatungwa na Mabunge ili kuleta manufaa kwenye jamii. Hii ikimaanisha kuwa mtu akivunja sheria iliyotungwa na Bunge basi ataweza kujifunza na kuogopa kutenda kosa tena. Sheria yetu hapa nchini ya usalama barabarani ilitungwa mwaka 1973. Na kwa jinsi taifa letu...
  15. Cute Wife

    Nini kifanyike kupunguza ajali za malori ya masafa marefu zinazosababishwa na uchovu mwingi kwa madereva?

    Wakuu salam, Ajali nyingi zinatokea zikihusisha malori kama umechunguza mara nyingi huwa ni sababu dereva alisinzia kutokana na uchovu mwingi wa kuendesha muda mrefu bila kupumzika au anakuwa ametumia vilevi, na mbaya zaidi anakuwa peke yake. Licha ya sheria kuwataka kuwa madereva wawili ili...
  16. cleokippo

    Askari Polisi bandia aitwae Son, ageuka gumzo wilayani Sengerema jijini Mwanza kwa kuwatapeli Madereva wa vyombo vya moto

    Kijana mmoja almaarufu kwa jina la SON mkazi wa Sengerema jijini Mwanza amekuwa gumzo kwa wakazi wa wilaya hiyo kwa kujifanya askari wa jeshi la polisi. Kijana huyo mwenye mtandao mkubwa wa marafiki ambao ni ma askari amekuwa akitumia fursa hiyo ya kujuana na ma askari na yeye kujifanya...
  17. Mbalamwezi1

    Mabasi yaendayo mikoani kuzidisha abiria; Hivi mnasubiri mpaka ajali itokee watu wafariki ndio mchukue hatua?

    Kwenu wenye mamlaka, naandika ujumbe huu nikiwa ndani ya Basi la Saibaba kutoka Arusha kwenda Dar, basi hili ni la safari ndefu lakini linasimamisha abiria kama Daladala. Hili ni Moja nililoshuhudia Mimi ila mabasi mengi yale yanayopaki stendi kuu ya Arusha yanafanya hivi, cha kushangaza hili...
  18. Mdude_Nyagali

    𝗝𝗲, 𝗵𝗮𝘄𝗮 𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗸𝗮𝗿𝗶 𝘄𝗮 𝘂𝘀𝗮𝗹𝗮𝗺𝗮 𝗯𝗮𝗿𝗮𝗯𝗮𝗿𝗮𝗻𝗶 𝗮𝘂 𝗧𝗥𝗔?

    Jana tumepoteza watu 14 katika ajali iliyohusisha roli na magari mengine likiwemo basi la abiria mteremko wa Simike Mbeya. Kinachonisikitisha ni kwamba eneo hili lina askari wa usalama barabarani ambao badala ya kuongoza magari kutokana na hatari ya eneo hilo wao muda wote wako busy kukagua...
  19. Cute Wife

    Hata kama ndio kutengeneza content ila hii hapana!

    Wakuu mko vyedi? Watengeza maudhui hawa walikaa chini wakafikiria wakaona hii ndio content inafaa na inachekesha kabisa?! Hapana jamani hii siyo sawa. Kwanza ni hatari kwao na hata kwa magari na watumizi wengine wa barabara. Mtu anatoka huko breki zimefeli anakuja kukuvaa utamlaumu nani, tena...
  20. BARD AI

    Ili Rushwa kwa Askari wa Usalama Barabarani iweze kuisha, Waanze kuadhibiwa mbele ya Vyombo vya Habari

    Rushwa kwa askari wa usalama barabarani ni tatizo kubwa ambalo linaweza kuwa na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa uwazi na uhakika katika utekelezaji wa adhabu. Kuna mambo kadhaa yanayoweza kuchangia rushwa kwa askari wa usalama barabarani: 1. Adhabu Zisizoeleweka: Kama adhabu...
Back
Top Bottom