usaliti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Uchepukaji makini

    Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
  2. Mzalendo Uchwara

    Uchaguzi 2020 Upinzani kumsimamisha Membe: Kosa kubwa, usaliti na dhambi isiyosameheka

    Benard Membe ameweka wazi kuwa ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumkubalia agombee ,basi yuko tayari kupeperusha bendera. Hili litakua kosa kubwa, usaliti wa hali ya juu na dhambi isiyo sameheka kwa sababu zifuatazo. 1. Kama ilivyokuwa kwa Lowasa, Benard Membe atakua amejiunga na...
  3. mheshimiwamtemi

    Je, ananisaliti?

    Takriban mwaka wa 4 sasa tupo katika mahusiano na mpenzi wangu. Maisha ya uhusiano wetu yametawaliwa furaha kwa muda mrefu lakini leo ni siku ya tatu amesafiri kikazi Dodoma na kilichonistua zaidi ni kutokupatikana kwake kupitia simu na njia nyingine za mawasiliano. Sio kawaida yake. Najiuliza...
  4. WilsonKaisary

    Usaliti uliofanywa na Rais Magufuli juu ya matarajio ya walio wengi

    Mnamo mwaka 2015 kutokana na nchi ilipokuwa imefikia wengi tulitaka nchi iende UKAWA ( Umoja wa Kitaifa Wa Wapinzani). Kilichotokea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Ni wengi hatukutarajia. Jaji mstaafu Lubuva ana swali la kujibu katika hili. Hata baada ya matokeo kutangazwa jazba kwa wananchi...
  5. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Usaliti ni laana : CUF yakosa wagombea, Lipumba aanza kuokoteza mitaani, aomba wote wanataka kugombea wajitokeze

    Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa kutoka kwa Profesa Lipumba , aliponukuliwa akiongea kwa huruma kubwa na EA TV . Amewaomba wale wote wenye nia ya kugombea Urais , Ubunge ama udiwani wajitokeze kuomba ridhaa hiyo kupitia CUF , huku taarifa zikionyesha kwamba kuna uwezekano mkubwa kwa chama hicho...
  6. YEHODAYA

    Chadema wabunge kuji-lockdown bila wapiga kura ni kukimbia vita na usaliti, hawafai

    Kwenye Vita viongozi hutakiwa kuwa mstari wa mbele kupigana bega kwa bega wakishiriana na wapiga kura Wabunge wa chadema kwa hofu ya corona walikimbia wakaitelekeza kwa wapiga kura wao eti wanaogopa kufa kwa corona Wakaacha wapiga kura wao ambao hata hela ya barakoa hawana waendelee kupambana...
  7. Sky Eclat

    Usaliti ni dhambi ya mauti

    Ulitusaliti baada ya kukuchagua kwa kura zetu, Leo corona anakunyanyasa.
  8. the numb 1

    Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Ndugu zangu kwa miaka ya sasa hivi ukihitaj mwanamke wa maisha(future) hakikisha inakupasa umshirikishe Mola wako. Kwasababu sikuhizi wanawake wengi wameharibika wengi wanafanywa kinyume na maumbile mwanamke ameshakaa geto na mchizi zaidi ya mwezi magetoni jamaa anajilia vyombo na nyumbani kwao...
  9. Erythrocyte

    Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

    Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu! == Mgombea Ubunge Buyungu 2018 Diwani wa Kata...
  10. N

    Inasikitisha, Nimelia sana: Hii picha ya Dr Bashiru ni usaliti mkubwa, sikutarajia

    Kwa kweli kama Watanzania hatutasimama pamoja na wazalendo wakubwa nchii hii yaani RC Gambo pamoja na RPC shana basi historia itatuhukumu sana Jana nimeweka picha ya jaji namba 62 alivyopost picha ya kuidhalilisha nchi na kuhujumu uchumi leo tena tunaona Dr Bashiru kafanya the same, tunaomba...
  11. Mzee Mwanakijiji

    NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

    (Pichani kitabu kikianza kupatikana kwa Wabunge, Dodoma) UPDATE: Kuna watu wanaulizia jinsi ya kupata nakala ya kitabu cha "Nyuma ya Pazia" cha Balozi Dkt. Wilbrod Slaa. Sasa kinaweza kupatikana baadhi ya mikoa: Mbeya Piga Simu: 0759829015 Arusha Piga Simu: 0716505921 Dodoma Piga Simu...
  12. Mbu

    Maishani...

    There was a blind girl who hated herself just because she was blind. She hated everyone, except her loving boyfriend. He was always there for her. She said that if she could only see the world, she would marry her boyfriend. One day, someone donated a pair of eyes to her and then she could...
Back
Top Bottom