usd

The United States dollar (symbol: $; code: USD; also abbreviated US$ or U.S. Dollar, to distinguish it from other dollar-denominated currencies; referred to as the dollar, U.S. dollar, American dollar, or colloquially buck) is the official currency of the United States and its territories. The Coinage Act of 1792 introduced the U.S. dollar at par with the Spanish silver dollar, divided it into 100 cents, and authorized the minting of coins denominated in dollars and cents. U.S. banknotes are issued in the form of Federal Reserve Notes, popularly called greenbacks due to their historically predominantly green color.
The monetary policy of the United States is conducted by the Federal Reserve System, which acts as the nation's central bank.
The U.S. dollar was originally defined under a bimetallic standard of 371.25 grains (24.057 g) fine silver or, from 1837, 23.22 grains (1.505 g) fine gold, or $20.67 per troy ounce. The Gold Standard Act of 1900 linked the dollar solely to gold. From 1934 its equivalence to gold was revised to $35 per troy ounce. Since 1971 all links to gold have been repealed.The U.S. dollar became an important international reserve currency after the First World War, and displaced the pound sterling as the world's primary reserve currency by the Bretton Woods Agreement towards the end of the Second World War. The dollar is the most widely used currency in international transactions. It is also the official currency in several countries and the de facto currency in many others, with Federal Reserve Notes (and, in a few cases, U.S. coins) used in circulation.
As of February 10, 2021, currency in circulation amounted to US$2.10 trillion, $2.05 trillion of which is in Federal Reserve Notes (the remaining $50 billion is in the form of coins and older-style United States Notes).

View More On Wikipedia.org
  1. A

    DR Congo USD 5milion kutumtia nguvuni Nangaa achieni utani

    Eti 5 M uSD kumkamata Nangaaa is he serious, watu wanataka Katanga nzima wamletee Nangaa akiwa katika hali yeyote
  2. The Assassin

    Mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii 1.8M, USD3.37 Billion Mwaka 2024 Tanzania ilipata watalii 5.4M, USD 3.67 Billion

    Hizi taarifa za serikali naona kama zinanipa maswali mengi bila majibu. Mei 2024 aliekua waziri wa Utalii Angela Kairuki alisema kwa mwaka 2023 Tanzania ilipata watalii Milioni 1.8, ambayo ilikua ni ongezeko la 96% kulinganisha na watalii laki 9 wa mwaka 2021...
  3. BabaMorgan

    Kama unahisi bei ya nyama ipo juu basi waulize wakazi wa Switzerland USD 44 kwa kilogram 1.

    Choma nyama wakuu Tanzania bado tupo vizuri bei bado very friendly Tanzania shilling 10000 unapata kilo ya nyama sawa na us dollar 4 wakati Switzerland anatumia takribani dollar 44 kwa kilo sawa Tz shilling 100,000/= plus.
  4. snipa

    Uwezekano wa 1 USD kufika 2600+ Tanzania Shilling kabla ya mwisho wa mwezi, Technical analysis.

    Kwanza kabisa tumeshuhudia Tzsh ikigain momentum over the last end of the last year, lakini maswali ya kujiuliza Je ni economic factors zilizofanya Tzsh kufika about 2300/= per 1$ au ni circulation factors Kwa maana ya bank kuinject more $ on circulation, na fact nyinginezo ambazo ni mbali na...
  5. Pulchra Animo

    Was the Recent Strengthening of TZS Against USD and Other Currencies A wool Fire or A Lasting Fire?

    The recent strengthening of the Tanzanian Shilling (TZS) against the US Dollar (USD) may have been a short-lived one, potentially qualifying as a “wool fire” (a brief, unsustained event) rather than a lasting trend. The unfolding reversal in TZS’s performance could be attributed to several...
  6. ward41

    USA wako serious sana. Uchumi wao ni mkubwa sana 30 trillion USD

    Muda si mrefu Uchumi wa USA unafika 30 trillion USD. Uchumi wa USA ni mkubwa Sana. Ni rahisi kuitawala dunia kwa huo uchumi Mchina ana safari ndefu Sana. Ana watu 1.4 billion na uchumi bado ni 18 trillion.
  7. M24 Headquarters-Kigali

    Dar - Joburg -Dar (ATC 523 USD Vs Malawian 323 USD)?

    Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti ya nauli inazidi 200USD anyway kupanga ni kuchagua!! Nionavyo ni kama tunamfanyia Promo Malawian airlines bila kujua Hope ndege yetu inajaa!
  8. Mpigania uhuru wa pili

    Unatumia usd billion 7+ kujenga mradi wa train ya umeme halafu unampa mtu amabye hana uzoefu wowote wa kusimamia hiki ni kichekesho

    Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje maamuzi yao mengi ni watapata nini wakati huu ni mwendo wa shortcut Mfano TRC wanataka kununua engine za...
  9. kali linux

    Ninahisi TZS iko 'virtually pegged' kwenye USD

    'Ninahisi' TZS ipo pegged kwenye USD bila sisi kujua. Ninasema hivyo sababu toka TZS ipande thamani ghafla dhidi ya USD basi graph za currencies nyingi duniani zimeonesha TZS ikiongezeka thamani dhidi ya currencies hizo. Labda nielezee 'pegging' ni nini kwenye currency. Pegging ni ile hali...
  10. Dennis R Shughuru

    Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

    Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine...
  11. Dear_me_

    Nini kiliwapata Zimbabwe mwaka 2008?

    In 2008, mfumuko wa bei ulifikia viwango vya juu sana, na kusababisha dola ya Zimbabwe kupoteza thamani yake na serikali kuiacha mnamo 2009. Tangu wakati huo, dola ya Marekani na sarafu nyingine za kigeni zimekuwa zikitumika sana katika uchumi. Juhudi walizofanya wakiamini wataweza...
  12. comte

    Wanasheria wa serikali ya Tanzania wapambana na kupunguza tozo toka USD 109M hadi 90M

    In a dramatic turn of events, Tanzania has struck a $90 million settlement with Australian-based Indiana Resources Limited over the contentious expropriation of the Ntaka Hill Nickel Project in Lindi. This high-stakes resolution comes after a prolonged legal battle stemming from Tanzania's...
  13. D

    Azam FC ni vituko, selling kipre Jr for 300k USD. with CAFCL next

    kipre Jr ame improve sana game yake this season. yeye ndo alikuwa anafanya kazi yake na nusu ya Feisal salum pale Azam fc. which made Feisal shine. Game yake ingekuwa kitu muhimu sana kwa Azam fc kuwa tofauti in group stage qualifications round amefit vizuri na team. Boss wa Azam tajiri...
  14. R

    Kwanini kiongozi wetu mkuu hajawahi kukosa USD za kufanya safari za nje ya Nchi ilhali wafanyabiashara wanakosa USD kwenye MABENKI?

    Salaam, Shalom!! Kila Kona ya nchi yetu Kwa sasa, dollar imekuwa mtihani, hazipatikani hata Kwa tochi, Mfanyabiashara mwenye pesa za kitanzania, akienda benki kubadili Tshs Ili apewe USD Kwa ajili ya kuagiza bidhaa nje ya Nchi, anaambiwa dollar hamna. Analazimika kuzitafuta mtaani na kuzipata...
  15. D

    Wewe ndo Kibu Denis, una offer ya 30k usd per month na signing fee ya 300k usd. will you sign?

    I will be short Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela. contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract. He is leaving for free. end of...
  16. J

    APR Rwanda wanamtaka Aziz Ki wa 1 million usd ($ 1million)

    Wiki iliyopita, APR FC🇷🇼 iliuliza kiasi cha fedha ambacho Yanga SC🇹🇿 wanaweza kupokea kwa ajili ya kumuachilia Stephane Aziz Ki🇧🇫 anayecheza eneo la kati, wakajibu kwamba watapokea si chini ya dola milioni moja ($1M) , ambayo ni zaidi ya 1,000 .000.000 Frw (Uliza kwa sarafu ya Rwanda) So far...
  17. PureView zeiss

    USD 1.30 billion zimetumika Kwa usiku Jana kuzuia makombora ya Iran

    Vita ni kitu cha gharama Sana na ni mzigo Kwa dunia. Ebu piga hesabu Kwa usiku mmoja zimetumika USD kibao Kwaajili ya ulinzi Tu wa anga, Kwa mfano fighter jets za F-35 zilikuwa zinaruka hewani kutokea nchini Cyprus kuzuia makombora yaliyokuwa yanatoka moja Kwa moja kutoka Iran huku fighter jets...
  18. Not_James_bond

    Kushuka kwa thamani ya Tshs dhidi ya USD tatizo ni nini?

    Thamani ya Ksh inaonekana kuimarika dhidi ya Dollar lakin kwa Tsh inazidi kuporomoka na dollar inazidi kuwa adimu ni jambo gani hawa majiran zetu wanafanya vyema zaidi sisi hatukifanyi?
  19. D

    Natengeneza mfumo wa kukusanya kodi baada ya miaka 10 utakuwa na uwezo wa kukusanya usd billion 700+ kwa kila mwaka wa fedha

    Kama kisemacho kichwa cha habari kwa sahivi natengeneza mfumo wa kodi ambao ukiwa adopted baada ya miaka 10 utakua na uwezo wa kukusanya usd billion 700+. Nikimaliza ntawapa mrejesho.
  20. Pfizer

    The African Tax Administration Forum facilitated tax assessment amounting USD 1.41bn in 2023

    Correspondent in Zambia The African Tax Administration Forum (ATAF) disclosed that additional tax assessments totalling USD 4.75 billion have been recorded since 2016. Of this sum, USD 1.92 billion was collected from audits conducted in member countries. Specifically, in 2023, the forum...
Back
Top Bottom