Kwa yeyote anaejua jinsi ya ku remove "write protection" kweny flash drive au kui format flash drive ambyo ipo write protected naomba anisaidie maana cwez kui format wala ku insert file llte. Before nilikuwa naweka mafaili kama kawaida na ku transfer lkn sahv nashangaa inazngua, inasoma "Read...
Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana!
Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
Aliyekuwa Gwiji wa utakatishaji fedha aliyejipatia umaarufu mitandaoni hasa Instagram, anayejulikana Kwa jina la Hushpuppi amefunguliwa mashtaka mapya na waendesha mashitaka wa Marekani wakimtuhumu kufanya ulaghai na kutakatisha zaidi ya dola za marekani 400,000 (zaidi ya Tsh Milioni 900) akiwa...
Sasa mtu analazimisha kabisa kwa confidence zote kwamba jamaa yuko kwa mkopo simba anabishana na hadi na club husika ya huko Ghana na media za Ghana, agh aiseee
======
Tanzanian giants Simba SC have reached agreement with Bechem United for the transfer of winger Augustine Okrah...
Tarehe 1 January 2022 dola moja ya Marikani (USD) ilikuwa sawa na Rubles 77 za Russia. Baada ya vita kati ya Russia na Ukraine mwezi Februari 2022, Russia iliwekewa vikwazo (sanctions) lukuki za kiuchumi na dunia inayoongozwa na Amerika na nchi za Ulaya. Lakini leo nchi hizi zilizoweka vikwazo...
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!
Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1...
The United States has confirmed that it is in talks with European allies to potentially sanction Russian crude oil in response to Moscow's ongoing aggression in Ukraine, sending oil prices briefly above $130.
US Secretary of State Antony Blinken noted on Sunday during the NBC talk show Meet...
Bei ya mafuta imefika 105 USD kwa pipa Tanzania tutafute mafuta Yetu.
Kufuatia Mzozo unaoendelea kati ya Ukraine na Urusi bei ya mafuta imepanda na kuvuka dola mia moja kwa mara ya kwanza tangu miaka saba iliyopita, ambapo ongezeko hilo limesababishwa na hofu baada ya mzalishaji mkubwa Urusi...
African leaders will go to tremendous lengths to ensure that they travel in armored, top-of-the-line vehicles that make a statement. This is understandable, given the nature of their work and their importance in the country. As a result, they'll opt for a vehicle that can move fast, manage tough...
kama kichwa cha uzi kinavyosema, Gari ipo bandarini mwenye nayo kashindwa lipia. wajapan wanataka 5000USD wakupe Harrier yako
details zake kwa haraka ni ina mileage ya 241,499 km engine capacity 2360cc na ni ya mwaka 2004
kwa picha karibu inbox au whatsapp us kwa namba hii 0737 881 888
NOTE...
Habari zenu wapendwa watumiaji wa jamii forum.
Nipende kuwatakieni nyote heri ya siku ya kuzaliwa kwa Masihi (Christmas) na heri ya mwaka mpya 2022.
Ibada njema
Ni bank gani hapa Tz
Inakuwezesha kufungua USD Account isiyo na makato ya kila mwezi ( without monthly maintenance fees).
Inatoa internet banking services kwa haraka bila kuwafuatafuata tawini.
Recommendations pls!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.