usd

The United States dollar (symbol: $; code: USD; also abbreviated US$ or U.S. Dollar, to distinguish it from other dollar-denominated currencies; referred to as the dollar, U.S. dollar, American dollar, or colloquially buck) is the official currency of the United States and its territories. The Coinage Act of 1792 introduced the U.S. dollar at par with the Spanish silver dollar, divided it into 100 cents, and authorized the minting of coins denominated in dollars and cents. U.S. banknotes are issued in the form of Federal Reserve Notes, popularly called greenbacks due to their historically predominantly green color.
The monetary policy of the United States is conducted by the Federal Reserve System, which acts as the nation's central bank.
The U.S. dollar was originally defined under a bimetallic standard of 371.25 grains (24.057 g) fine silver or, from 1837, 23.22 grains (1.505 g) fine gold, or $20.67 per troy ounce. The Gold Standard Act of 1900 linked the dollar solely to gold. From 1934 its equivalence to gold was revised to $35 per troy ounce. Since 1971 all links to gold have been repealed.The U.S. dollar became an important international reserve currency after the First World War, and displaced the pound sterling as the world's primary reserve currency by the Bretton Woods Agreement towards the end of the Second World War. The dollar is the most widely used currency in international transactions. It is also the official currency in several countries and the de facto currency in many others, with Federal Reserve Notes (and, in a few cases, U.S. coins) used in circulation.
As of February 10, 2021, currency in circulation amounted to US$2.10 trillion, $2.05 trillion of which is in Federal Reserve Notes (the remaining $50 billion is in the form of coins and older-style United States Notes).

View More On Wikipedia.org
  1. Israel itawalipa dola 1200 wafanyakazi wa mashambani

    Nchi ya Israel inawalipa dollar 1200 Wafanyakazi wa mashambani na ujenzi. Hii pesa ni nyingi sana kwa maisha ya Afrika. Baada ya miaka mitano maisha ya mtu yatakuwa yamebadilika Sana. Kama ni nyumba umejenga Lakini cha kujiuliza, ni kwanini nchi ndogo kama Israel inaweza kuajili watu wengi...
  2. A

    Uhaba wa Dola (USD) ni fursa iliyojificha

    Uhaba wa Dola nchini utaibua mabilionea wapya kupitia "black market" bado Kuna kijana analalamika ukosefu wa ajira?
  3. Tatizo la kukosekana kwa Usd nchini! Mamlaka husika zina Habari?

    Kuna Tatizo kubwa la uwepo wa fedha Za dola nchini! Serikali imepiga kimya! Ni nini kifanyike?
  4. Nigeria yashinda rufaa na kuepuka kulipa fidia ya USD 11 billioni katika Kesi ya usuluhishi ya Mkataba wa gesi

    Mgogoro huo ulihusisha Makubaliano ya mwaka 2010 baina ya Nigeria na Kampuni ya Process and Industrial Developments Limited (P&ID) kuendesha Kiwanda nchini humo ambacho kingebadilisha gesi asilia inayochomwa wakati wa uzalishaji wa Mafuta kuwa Umeme Kampuni hiyo ilipewa Kandarasi ya miaka 20...
  5. Z

    Bandari zetu; Nasikilizia lakini nauona udhaifu kwa wa-Zanzibari kwa waarabu

    Hili la Bandari, kuna watu wameamini ni vita ya kidini na wengine labda ubaguzi. Je, Umewahi kusikia mwafrika mweusi akiingia U-arabu? Yaani akafanya sherehe na kutangazwa rasmi kwamba leo kawa mwarabu? Yawezekana wa-Tangayika wengi wanaifahamu Z'bar ya pale mjini na hisia za wanasiasa kuwapiga...
  6. Jaribu ku- convent mshahara/kipato chako kwenda USD Kwa mwaka una USD ngapi?

    Leo katika harakati nikataka kujua take home yangu ya mwaka in USD ni ngapi aise ni aibu! Yaani mwaka mzima napata chini ya USD 6,500! Ukiona mwanao ana kipaji mpeleke huko haraka sana.... Uchumi wetu bado sana
  7. E

    Msaada nataka kumfungulia mtoto account ya USD kwa ajili ya kumtunzia hela

    Mambo vp wadau kama kuna mtu yoyote anaweza kunisaidia kujua faida na hasara kwa kufungua acc ya usd kwa kuhifadh hela naomba anifafanulie nipate uwelewa vizuri.
  8. Sarafu ya Tanzania (TZS) yazidi kuporomoka dhidi ya Dollar (USD)

    Power to the People Wanajamvi!!! Kama umekuwa ukifuatilia mwenendo wa SARAFU yetu pendwa ya TZS kuanzia mwezi wa 5, utagundua kwamba imeporomoka sana kwenye soko la ubadilishaji wa fedha za kigeni. Kiwango ambacho TZS imeporomoka sasa hivi, hakijawahi kufikiwa tangu uwepo wa TZS duniani, yaani...
  9. P

    Kushuka thamani kwa TZS dhidi ya USD ni speed ya 7G

    Habari wana JF, Naomba kuuliza: Hivi hii speed ya TZS kushuka thamani dhidi ya USD kuna maanisha nini kiuchumi? Asanteni
  10. Uhaba wa DOLA (U.S.D) Tanzania na ukimya wa Serikali

    Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa. Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375 mpaka 2405 bado imekuwa shida sana kupatikana. Kwanza ilianza mabenki kuweka ukomo wa kununua dola...
  11. Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

    Kufuatia Hali ya upungufu wa Fedha za Kigeni hasa Dol ya Marekani,BoT yaja na maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala Kwa mtu mmja mmja, taasisi na kampuni ikiwemo kupiga Marufuku madalali Ili kulinda Afya ya Uchumi. Awali Waziri wa Fedha amenukuliwa akisema Kupungua Kwa mzunguko wa Dola...
  12. Chanzo cha kushuka thamani kwa pesa ya South Africa, Rand kwa cent zaidi ya 30 dhidi ya USD$

    Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini Reuben Brigety alisema siku ya Alhamisi Tarehe 11 May 2023 kuwa ana uhakika kwamba meli ya Urusi chini ya vikwazo vya Marekani ilichukua silaha kutoka kambi ya Simon's Town mwezi Disemba, akipendekeza uhamisho huo hauendani na msimamo wa Pretoria wa...
  13. Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

    Huko Twitter Carol Ndosi aliuliza "Kuna Uhaba wa Dola"? Majibu yalikuja ata kwa kwa watumishi wengine wa bank wakisema ndiyo! Sasa hizi mbwembwe za World Bank Uchumi wenu huko imara unatokana na nini kama Reserve yetu ya USD iko chini? Wachumi tuambiane! Mbona exchange ya USD bado iko...
  14. Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

    Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo? Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu...
  15. Tanzania ina mamilionea 2400 wa USD, sita wamevuka 100m na mmoja aliyevuka bilioni 1

    Tanzania inabaki nchi pekee Afrika mashariki yenye mtu mwenye utajiri zaidi ya dola bilioni moja za kimarekani. Ina jumla ya mamilionea 2400 kwenye dola ya mmarekani huku 1300 katika hao makazi yao yakiwa Dar es Salaam na mji huu ukishika nafasi ya 12 miji Afrika wananchi wake wakiwa na utajiri...
  16. Hamisi Taletale na PhD ya USD 2,500

    Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500 Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
  17. SBF hajapoteza utajiri wa USD 16 billion bali walomwamini ndo wamepoteza na yeye ame-gain, Hana tofauti na Ivar Kreuger "The Match King" wa 1920s

    Hello bosses... Kipindi cha nyuma TerraUSD na Luna zilipopata anguko niliandika uzi humu kwa sababu hilo tukio nlikua nategemea lije kutokea kutokana na mechanics za namna hizo coins zilivokua zinafanya kazi uzi uko hapa CRYPTO-FUNZO KWA WAKURUPUKAJI: Luna coin ilikua ni sawa na $85 wiki...
  18. Jamaa wa Iran kanikaribisha nikatalii nchini kwao akisema nikiwa na Usd 100 nitaishi kama mfalme

    Naomba mnisaidie kama taarifa hizi ni za ukweli maana huyu jamaa anasema nikifika Tehran na usd 100 nitaishi kifalme kwasababu hela yao imepoteza thamani na maisha yamekuwa magumu sana kutokana na vikwazo vya magharibi.
  19. IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4

    Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja. Taarifa...
  20. N

    Habari kutoka Uganda zinasema kuwa Yanga wamefikia dau la $200000 na mshahara wa $12000 kwa ajili ya kumsajili Manzoki

    HAYA HAYA HAYA HAYAAAAA KESHO TUTAKOMA DADEEEKI UUUWIIII CONFIRMED kabisa na mtangazaji wa michezo huko Uganda ka confirm kwamba SIMBA WALIKATAA KUTOA USD 200K na walimpa offer ya mshahara usd 8000 Utopolo wametoa hizo usd 200k na mashahara wanampa usd 12,000..CASE CLOSED ASANTENI SANA BARBARA...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…