Kuna hiki kinachoitwa ungamo. Kwamba mtuhumiwa wa wizi, ugaidi, mauaji nk; kwamba kwa hiari yake aliungama. Kutokea hapo mtu au watu wakahukumiwa kunyongwa au hata kufungwa.
Kesi hii:
Maelezo kukiri kosa yalivyowaunganisha washtakiwa-11
Ni mwendelezo wa maungamo uchwara kama hayo kupewa...