Ipo hivi uyu ni Dada kabisa,anamfalakano kwenye ndoa yake. Yeye alianza na uyu mwanaume toka shuleni,toka wanasoma mpaka sasa, na wamebalikiwa kupata watoto, wawili na uyo mwanamme,yeye ni mfanyabihashara, ya kuuza bizaa kwenye masoko uko mkoani,na anazunguka masoko mbali mbali,kwakweli apo...