ushirikiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. masara

    Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa

    Heri ya mwaka mpya. Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa dada zangu ingawa sio wote ila walio wengi. kwa wale wanaume maabaharia wanaelewa namaanisha nini ila kwa wale waaminifu kwenye mahusiano yao sio rahisi kuelewa. Unakuta uko na mwanamke faragha kwa ajili ya shughuli moja tu ya kuvunja...
  2. L

    #COVID19 Ushirikiano na Juhudi za Pamoja ndiyo Suluhu kwa Afrika kupambana na Janga la Covid-19

    Mwaka wa 2021 janga la Covid-19 linaendelea kuathiri karibu sekta zote za uchumi na jamii duniani. Watu hawawezi kujizuia kuuliza, je dunia yetu bado ni mahali salama pa kuishi? Tangu kuripotiwa kwa virusi vya Corona barani Afrika, zaidi ya watu milioni saba wameambukizwa virusi hivyo, japokuwa...
  3. Pascal Mayalla

    Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

    Wanabodi, Hili mada ya ushauri wa bure kwa Chadema, nimesoma humu kuwa wamesusia mkutano wa kesho wa vyama vya siasa kule Dodoma kwa hoja mpaka kesi inayomkabili Mwenyekiti wao ifutwe. Nawashauri ndugu zangu Chadema, wasisuse unless wana uhakika, kwa kususa kwao, kuna something tangible, they...
  4. L

    FOCAC yaweka mfano mzuri kwa ushirikiano wa kimataifa na Afrika

    Mkutano wa 8 wa Mawaziri wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) umefanyika hivi karibuni mjini Dakar, Senegal. Tangu kuanzishwa kwa jukwaa hilo, ushirikiano kati ya China na Afrika umepata mafanikio makubwa, na kuwa mfano mzuri kwa ushirikiano wa kimataifa na Afrika. Ili...
  5. L

    (Mfululizo wa FOCAC Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (3): China kusaidia Afrika kufanikisha mabadiliko ya nishati ya kijani

    Mradi wa kuzalisha umeme kwa jua uliowekezwa na Mfuko wa Maendeleo wa China na Afrika nchini Afrika Kusini Katika miaka ya hivi karibuni, athari mbaya za mabadiliko ya tabia nchi katika bara la Afrika zinaongezeka siku hadi siku, na kuwa “mwuaji asiyeonekana” wa kundi la wanyonge. Kwa mujibu wa...
  6. L

    ( Mkutano wa FOCAC Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (2): uchumi wa kidigitali watazamiwa kuwa sekta mpya ya kuvutia

    Kampuni ya China Telecom inasaidia utoaji elimu kwenye mtandao wa internet kupitia mikonga ya mawasiliano iliyojenga barani Afrika Hivi sasa, uchumi wa kidigitali umetajwa na nchi nyingi za Afrika kama sekta muhimu ya kufufua uchumi, kutafuta maendeleo ya ubunifu na kuboresha maisha ya watu...
  7. L

    (Mkutano wa FOCAC wa Dakar) Fursa Mpya za Ushirikiano kati ya China na Afrika (1): afya, uchumi wa kidigitali na maendeleo ya kijani

    Mkutano wa 8 wa mawaziri wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC ulifanyika tarehe 29 na 30 mjini Dakar, Senegal. Rais Xi Jinping wa China hapa Beijing amehudhuria ufunguzi wa mkutano huo kwa njia ya video na kutoa hotuba akisema, China na Afrika zimetoa mfano wa kuigwa katika...
  8. L

    China na Afrika kutotenganishwa kutokana na mshikamano na ushirikiano wao mzuri

    Hivi karibuni waziri wa mambo ya nje wa Marekani Anthony Blinken alitembelea nchi tatu za Afrika, Kenya, Nigeria na Senegal. Katika ziara hiyo, alijaribu tena kuichafua matope China ili kuimarisha ushawishi wa Marekani barani Afrika, lakini China na Afrika haziwezi kutenganishwa kutokana na...
  9. L

    Ushawishi wa China barani Afrika watokana na ushirikiano wa dhati kati ya pande hizo mbili

    Hivi karibuni, shirika maarufu la uchunguzi wa maoni la Afrika la Afrobarometer limetoa ripoti ya uchunguzi wa maoni, ikionesha kuwa ushawishi wa China barani Afrika unashika nafasi ya kwanza duniani, mbele ya Marekani, mashirika ya kikanda, mashirika ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika. Haya...
  10. L

    Jukwaa la Ushirikiano wa China na Afrika: Miaka 21 tangu kuanzishwa kwake

    Na Caroline Nassoro Huu ni mwaka wa 21 tangu Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) lilipoanzishwa. Katika kipindi hicho, mambo mengi yamefanyika na kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande mbili za China na Afrika. Mkutano wa kwanza wa ngazi ya mawaziri ulifanyika mjini...
  11. L

    FOCAC yaimarisha ukuaji wa ushirikiano wa kina kati ya China na Tanzania

    Na Caroline Nassoro Mkutano wa mwaka huu wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unatarajiwa kufanyika mjini Dakar, Senegal, kuanzia tarehe 29 hadi 30 Novemba, mwaka huu. Kaulimbiu ya mkutano huo kwa mwaka huu, ni “Kuimarisha Uhusiano wa China na Afrika na Kuboresha...
  12. L

    Nchi zinazoendelea zinafurahi kuona China na Marekani zinaimarisha ushirikiano wao

    Na Fadhili Mpunji Katika muda mrefu miaka karibu mitano sasa, mawasiliano kati ya China na Marekani yamekuwa katika hali ambayo wachambuzi wengi wameiita si ya kawaida. Tangu Rais Donald Trump alipozusha mvutano usio na maana na China, mawasiliano ya kidiplomasia na hata uhusiano wa kiuchumi...
  13. jingalao

    Waziri wa Michezo na Waziri wa Ushirikiano wa kimataifa wametoa tamko lolote kuhusu kilichojiri Madagascar?

    Hoja yangu ni fupi na imelenga mada moja kwa moja. TUTAFAKARI
  14. M

    Je, ni kweli kuwa yafuatayo yana Ushirikiano mkubwa sana na yanategemeana mno?

    Uroho, Uchoyo, Roho Mbaya, Wivu. Uchawi, Chuki na Unafiki? Kazi kwenu katika Kunidadavulia hapa.
  15. L

    Utoaji bora wa huduma za kifedha utahimiza ushirikiano wa kibiashara kati ya China na Afrika

    Na Kelly Ogome China ni mshirika mkubwa wa kibiashara na kimaendeleo wa nchi za Afrika. Pande hizi mbili zina uwezo mkubwa wa ushirikiano katika nyanja za miundombinu, uchumi wa kidijitali na huduma za kifedha. Takwimu iliyotolewa na serikali ya China inaonyesha kuwa, kuanzia Januari hadi...
  16. Analogia Malenga

    #COVID19 Waliopatiwa chanjo waombwa kutoa ushirikiano wanapotakiwa kufanyiwa tafiti

    Serikali imeanza mchakato wa utafiti wa kuwapima afya baadhi ya watu waliopata chanjo ya kuzuia Uviko-19 ili kujua maendeleo ya afya zao. Lengo la utafiti huo ni kubaini mwenendo wa afya za waliochanjwa ili kuona wastani wa kinga zao na namna wanavyoweza kujikinga. Kauli hiyo imetolewa leo...
  17. L

    China na Afrika kushirikiana zaidi katika anga za juu

    Wikiendi hii iliyopita, chombo cha kubeba binadamu cha anga za juu cha Shenzhou-13 kilifanikiwa kuwapeleka wanaanga wengine watatu katika Kituo cha Anga za Juu cha China. China ni nchi kubwa zaidi inayoendelea duniani, na maendeleo yake kwenye sekta ya safari ya anga za juu ni hamasa kubwa kwa...
  18. L

    Ujenzi wa reli umekuwa alama ya ushirikiano mzuri kati ya China na Afrika

    Katika miongo kadhaa iliyopita, ujenzi wa reli umekuwa sehemu muhimu ya ushirikiano wa kirafiki kati ya China na Afrika. Kuanzia Reli maarufu ya TAZARA iliyojengwa zaidi ya miaka 50 iliyopita hadi Reli ya SGR ya Kenya, Reli inayounganisha Addis Ababa na Djibouti, na Reli ya Abuja–Kaduna ambazo...
  19. K

    Rais Samia amteue Tundu Lissu kuwa Waziri wa mambo ya nje & ushirikiano wa kimataifa

    Hii nafasi naona itamfwaa sana huyu baba maana kila sifa anayo Kuanzia uwezo wa kuzungumza vizuri lugha ya wazungu,ufahamu mzuri wa sheria za kimataifa,kuielewa dunia,kufahamiana na wakubwa & ujasiri wa kukabiliana na mtawala katili kuliko wote kwenye historian ya Tz
  20. L

    Maonyesho ya biashara ya 130 ya kimataifa ya Guangdong yaendelea kujenga picha nzuri ya ushirikiano kati ya China na Afrika

    Maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Guangdong awamu ya 130 ambayo ni maarufu kwa jina la Canton Fair yamefunguliwa tarehe 15 Oktoba mjini Guangzhou. Maonyesho haya yanatajwa kuwa ni maonyesho ya muda mrefu zaidi na endelevu zaidi kati ya maonyesho yote ya kimataifa ya biashara duniani hadi...
Back
Top Bottom