ushirikina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mocoservices

    Ubaguzi, Uchawi na Ushirikina kikwazo cha maendeleo baadhi ya vijiji Tanzania

    Habari yako mwana jukwaa. Naandika uzi huu nikiwa Katikati ya Tanzania (kanda ya kati). Nimeishi hapa kwa miezi 4 sasa, kwa hiyo ninacho andika nina kifahamu vizuri kwa kushuhudia kwa macho yangu. Naishi kwenye mkoa wa 3 toka mwisho kwa umasikini nchini hapa, mkoa ambao elimu iko chini sana na...
  2. GENTAMYCINE

    Kwanini Viongozi ( Marais ) wengi wa Bara la Afrika wanaamini Ushirikina kwa 85% wawapo Uongozini?

    1. Kuna Mmoja akitaka Kuuliwa akivaa Kofia yake Maadui zake hawamuoni. Na huyo huyo pia kama Maadui zake wakimkaribia hugeuka Mbuzi na Kondoo wengi. 2. Kuna Mwingine akienda Kuhutubia Watu lazima auoge Mkojo wake. 3. Kuna Mwingine ili Safari yake ya mbali ili ifanikiwe au azime Jambo fulani...
  3. GENTAMYCINE

    TCRA mmebariki huu Upuuzi wa Viongozi wa Timu za Ndondo Cup Kusifia kufanya Ushirikina Mubashara Redioni Clouds FM?

    "Hela tuliyopata tumeenda kununua Mayai Viza, Kuku Mweusi na Udi na kumpelekea Mganga wetu wa Kienyeji na kwa jinsi tunavyoenda Kuwaroga Watatukoma" Shabiki wa Timu Moja inayoshiriki Michuano iliyosifiwa na inayosapotiwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ya Ndondo Cup' kwa Mikoa...
  4. Mathanzua

    TAMISEMI mpo wapi, Wilaya ya Mvomero hakuna kinachoendelea. Ni upigaji, uonevu wa watumishi na ushirikina tu

    Kwa kuandika bandiko hili mtu asije akadhani kwamba mimi ni mtumishi,sio mimi ni mdau wa maendeleo ninayekerwa na hali halisi ilivyo katika Wilaya yangu ya Mvomero.Taarifa nyingi zinakera,ndio, zinakera sana,ni kama Wilaya haina mwenyewe. Kila mahali ushirikina umekuwa gumzo, wafanyikazi...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Wanaosema Wasukuma ni Wakarimu, wana upendo halafu muda huo huo wanapenda ushirikina na Uchawi, hawajui kile wanachokisema

    Bila Shaka mpo Pouwa! Miaka na miaka nimekuwa nikisikia Watu wakisifia baadhi ya makabila Kwa Sifa nzuri, moja wapo ya Makabila yanayosifiwa ni pamoja na Ndugu zangu Wasukuma(kwani Mimi ni Mnyamwezi). Sifa wapewayo ni Upendo, ukarimu na kuwa Watu Wema. Lakini muda huohuo utasikia Wakiimbiwa...
  6. BigTall

    DOKEZO Nakatuba Mkoani Mara kimekuwa Kijiji cha watu kuuawa kwa sumu na ushirikina, Serikali iamke hali inatisha

    Bora niseme na jamii ijue kinachoendelea, taarifa ni kuwa kuna taarifa za watu kuuawa kwa sumu katika Kijiji cha Nakatuba, Wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara. Pia kuna matukio yameshamiri yakihusisha imani za kishirikina na kuuana katika kijiji hicho hadi kusababisha baadhi ya vijana kukimbia na...
  7. The Sheriff

    Kuna Haja ya Kutokomeza Kabisa Matukio ya Mauaji Yanayochochewa na Ushirikina Tanzania

    Mauaji yanayochochewa na ushirikina ni tatizo linaloendelea kutokea Tanzania na linahusisha imani na vitendo vinavyohusiana na uchawi na ushirikina. Katika muktadha huu, watu wanaweza kuuawa au kuteswa kutokana na tuhuma za kuhusika na uchawi au kutumia sehemu za miili ya watu kwa madhumuni ya...
  8. sky soldier

    Kuna watu wanamiliki majini bila kificho na kuyatumia kwenye tiba sambamba na visomo vya Quran takatifu. Huu sio ushirikina?

    Ushirikina sio kutumia uchawi pekee, hata unapomshirikisha Mwenyezi Mungu na majini huo nao ni ushirikina. Mkasa huu niliweza kuushuhudia live kwa macho yangu 2019, Mgonjwa alipona maradhi yake lakini hadi leo najiuliza ilikuwa sahihi kwa Sheikh / Ustadh kuyatumia majini sambamba na kuitumia...
  9. M

    Kwanini USHIRIKINA ni dhambi kubwa kuliko zote kuwahi kufanyika hapa duniani?

    Habari zenu Hivi ulishawahi kukaa chini na kujiuliza kwanini amri ya kwanza ya Mungu kwenye Torati imekemea suala la Ushirikina kabla ya kukemea uuaji, uongo, ushoga, uzinzi, wizi n.k? Kwanini iwe ni suala la Ushirikina? Kwanini vilevile kitabu cha Quran kikaja tena kupigilia msumari ww Moto...
  10. Hemedy Jr Junior

    Ni rahisi kujifunza ushirikina kama utakuwa mfuasi wa waganga wakienyeji

    Ona mambo haya ni uchawi mtu tafadhari usijaribu utaenda kuangamia, mimi nakufunulia ila usiyafanye. Vipi unaweza ficha kivuli chako na mshirikina asikione kwa namna yeyote? kwa sababu wachawi wanapotaka kumloga mtu, huchukua na hushambulia kivuli chake. ( Hapa sizungumzii kivuli cha juani...
  11. T

    TBC, kutumia picha za Simba SC katika habari yenu ya ushirikina si sawa

    Huu ni weledi gani kwa TBC? Iweje mtumie matukio ya Simba kuhusianisha na ushirikina? Mmekosa namna bora ya kuwasilisha habari yenu bila kuitaja Simba? Bila shaka mtalifanyia kazi na kuwahoji walioandaa na kuitoa habari hiyo. Ni lazima watakuwa na vinasaba vya utopolo.
  12. ChoiceVariable

    Katavi: Wanaume wamewasusia wanawake kushiriki mazishi ya watoto kutokana na imani za kishirikina

    Hamjambo? Wanaume wa kitongoji cha Namanyere kwenye mji mdogo wa Majimoto mkoa wa Katavi wamesusia wanawake kushiriki maziko ya watoto wanaofariki kwa madai kwamba vifo ni vya ushirikina unofanywa na wanawake. === Kwa utamaduni wa maeneo mbalimbali nchini Tanzania...
  13. Makonde plateu

    Nimemshauri akasomee ulozi na uchawi (vodoo) Afrika Magharibi

    It serious unafikiri mimi ningemshauri ninj? Zaidi ya kumwambia kwamba akasomee ulozi na uchawi Afrika magharibi kwa sababu kwa alichofaulu ni kiwango kizuri kwa hiyo fani na ama kwa hakika vodoo inalipa sana kama ukichanga karate zako una nagasi kubwa sana ya kutoboa maisha kwahiyo hapa...
  14. M

    Ushirikina wa wamiliki wa baa na grocery unaligharimu taifa. Serikali iingilie kati, watumishi wa umma wanamalizwa

    Watumishi wanarogwa na kusahau familia zao. Wanabaki kuwaza urabu na mbunye za mabaamedi. Wanashindwa kufanya maendeleo ya taifa lao. Wanapigwa vipapayu. Hapa bila serikali kuingilia kwa kudhibiti watumishi wataisha. 👇
  15. BARD AI

    Ushirikina, Tiba Mbadala zinavyogharimu maisha ya watu Tanzania

    Oktoba 13, 2022, nilipita katika Taasisi ya Ocean Road (ORCI) na kushuhudia wagonjwa wakiendelea na matibabu. Baadhi walikuwa waliowahi matibabu ugonjwa ukiwa bado katika hali ya chini na wengine wakiwa wamechelewa na ugonjwa ulikuwa juu. Nje ya ukuta wa jengo hilo watu wawili walikuwa...
  16. S

    Ushirikina Migahawani

    Leo ni wikiendi na kwa kiasi kikubwa upande wangu mishemishe za utafutaji huwa zinapungua kiasi. Muda si mrefu nimeingia mgahawani kwa ajili ya kupata breakfast. Nilipofika, wahudumu walikuwa busy kiasi jikoni basi nikaamua kuendea meza ya vyombo ili nichukue kikombe nimimine chai. Pembeni...
  17. Askarimtu

    Sayansi na ushirikina

    Kwa maana hiyo wanasayansi wote wanafanya shughuli za ushirikina aidha kwa kujua au kwa kutokujua. Natafuta ufafanuzi zaidi au hakiki (evidences) juu ya hii taarifa. Kwanini sayansi na ushirikina kwa karne hii ni vitu vyenye uhusiano???
  18. Sildenafil Citrate

    Tanzania ya pili Afrika kwa imani za kishirikina

    Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili Afrika katika kuamini ushirikina ikitanguliwa na Cameroon kutokana na ukubwa wa matukio yanayohusishwa na imani za kishirikina ikiwemo mauaji ya wazee 117 katika kipindi cha Julai 2017 hadi Mei 2018. Mauaji hayo ambayo yalihusisha wanaume 91 na wanawake 26...
  19. M

    Mpina ataka kumuumbua Waziri Mwigulu bungeni, apatwa na kigugumizi, Spika ambana "mi sielewi"

  20. Equation x

    Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu au kwa Ushirikina?

    Katika jamii zetu, kumekuwa na mijadala ya hapa na pale, kuhusu vifo vya binadamu. Kuna wengine watasema, huyu amekufa kutokana na mpango wa Mungu, na wengine watasema yule amekufa pasipo mpango wa Mungu (kishirikina). Sasa wakuu, nataka kujua; Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu...
Back
Top Bottom