ushirikina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    SoC02 Uchawi na Ushirikiana unavyoathiri maendeleo ya taifa

    Kwa majina naitwa ramadhani selemani ramadhani ni kijana wa kitanzania. Leo nimependa kuzungumzia maswala ya imani ya kishirikina na uchawi zinavyo athiri maendeleo ya nchi kwa ujumla. Katika mchi kuna makabila mbalimbali zaidi ya 150 kila kabila lina utamaduni wake na imani zake. Katika...
  2. Linguistic

    Njombe: Ahukumiwa miaka mitano jela kwa kosa la ushirikina

    Mahakama ya Wilaya ya Ludewa imemhukumu kifungo cha miaka 5 jela John Chale(60) mkazi wa kata ya Ilela wilayani Ludewa mkoani Njombe kwa kosa la kumfanyia vitendo vya kishirikina mtoto wa mdogo wake Videana Chale(18) na kupelekea kupata ukichaa. Akisomewa hukumu hiyo na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa...
  3. Sildenafil Citrate

    Ruvuma: Watu 13 Matatani kwa kumzika mzee akiwa hai

    Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu 13 kwa tuhuma za kumzika, akiwa hai, Mzee Frolence Komba (78) katika makaburi ya shamba la Mungu yaliyopo Kijiji cha Mahanje, Halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma. Chanzo ni tuhuma za kumhusisha mzee huyo kumuua mtoto wake Severine Komba (34) kwa...
  4. Sky Eclat

    Utajiri wa ushirikina una masharti magumu sana

    Bwa Uyoga alikua mfanyabiashara wa kawaida lakini huku Kwamtogole tulimuona wa mboga saba, alikua na usafiri wa IST na mke wake hakupanda basi kwenda sokoni. Watoto walisoma English Medium. Katika kupambana na maisha alikutana na fundi aliyemuahidi utajiri wake utaongezeka akifuata masharti...
  5. emmarki

    Aina mpya ya ushirikina

  6. I

    Ushirikina bado upo sana katika siasa za Tanzania!

  7. Google Diggers

    Ushirikina: Watu kugeuka kuwa na miguu ya ng'ombe

    Wakuu igweee... Imeibuka hali ya watu kutishia Kwa kuonesha miguu ya ngombe. Na inadaiwa wanaofanyiwa hivyo wametembea kufanya mapenzi na wake au waume wa watu. Kuna ukweli. Siulizii hivi kutaka kujua Ili watu waendelee lkn kama ndivyo kwanini hawaweki wazi kabisa kuliko kama vile Kuna shimo...
  8. T

    Nini maana ya Ushirikina kwa mujibu wa vitabu vitakatifu?

    Ahlan wa sahla Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu Torati, Zaburi, injili na Quran , Mungu amekemea sana kuhusu hii dhambi ya ushirikina. Ama kwa hakika ndio amri ya kwanza aliyopewa Musa ktk zile amri kumi ili awaongoze wana wa izraeli. Kwenye kitabu kitakatifu cha Quran vivyo hivyo imekemewa...
  9. Sky Eclat

    Mapenzi ya ushirikina yana gharama kubwa

    Ni huyu jirani yangu mama Sikujua hapa Kwamtogole. Alikwenda kwa mganga ili kumuweka sawa baba Sikujua asifurukute. Maganga alimpa mama Sikujua dawa ya kuweka kwenye maji ya kuoga. Siku ya tukio mama sikujua aliamka alfajiri na kupasha maji moto. Aliyapeleka bafuni akitangulia na sabuni ya...
  10. S

    Uchifu ni ushirikina, ukabila na kafara

    Jamii ya watanzania ilishatoka huko kwenye uchifu! Na huu upuuzi ukiendekezwa utaturudisha nyuma sana hasa kwenye baadhi ya jamii kwa kuongeza ushirikina na uchawi hivyo kupelekea mauaji kila kona ya nchi! Ukitizama nchi ya Nigeria ina matatizo mengi sana kwa kuwa inaruhusu uchifu kitu ambacho...
  11. J

    Chifu Butale: Chifu ni Sauti ya Mungu, Uchifu siyo Ushirikina au Uchawi bali ni Ukuhani na Utume

    Mwenyekiti wa machifu wa Wasukuma Chifu Butale yuko mubashara Star tv akitolea ufafanuzi mjadala uliopamba moto nchini wa nafasi ya chifu katika taifa. Chifu Butale anasema uchifu siyo ushirikina au uchawi bali uchifu ni uwakilishi wa mungu yaani ni utume na ukuhani. Chifu Butale anasema yeye...
  12. GENTAMYCINE

    Naomba kujua tofauti kati ya 'Utamaduni wa Makabila' na 'Ushirikina wa Mwafrika' kwani kuna Mtu anatupeleka 'Kibla' tuparaganyike

    Kuna Mtu Mmoja kwa mbali anataka Kutuchezea Akili Watanzania akidhani ni 'hamnazo' wakati wenye Akili tumeshamshtukia kuwa ni Mdau wa Utamaduni wa Mwafrika ambao kwa uelewa wangu kwa 85% unahusisha mno Uchawi (Ushirikina) hivyo basi anataka Kulilazimisha hili Ubongoni mwetu ili awe Huru nalo na...
  13. Mayova

    Ni kweli biashara ya duka haisongi bila ushirikina?

    Jamani naombeni mniambie ukweli kwa wale wazoefu. Hivi ni kweli huwezi kufanya biashara ya duka bila uchawi au biashara yeyote bila kuhusisha waganga wakienyeji?
  14. GENTAMYCINE

    Nijuavyo Machifu na taratibu zao ni 100% Ushirikina je, Wanasiasa tukianza Kuwaamini na Kuwasikiliza nasi hatuwi pia wapenda Ushirikina?

    Nasubiri majibu yenu juu ya nililouliza kwani nami GENTAMYCINE kama Mwanasiasa na Mgombea Urais mtarajiwa wa 2025 nataka kujua ili kama vipi nami niende kwa Machifu wa Unguja na Pemba 'wanitambikie' ili nianze kuwa na Mvuto kwa Watanzania na niwe Rais kwani Ikulu 'Kunanoga' mno.
  15. M

    Hivi Rais Samia anavalishwa kweli Majoho ya Kimila au anafanyiwa tu Ushirikina uliochangamka kutoka Mwanza na Dodoma?

    Endeleeni tu kutufanya Watanzania wote ni hamnazo ( tuna Akili za Kipa Katoka ) hivyo mtatuzuga kwa kila namna wakati tuliobobea kwa Mambo hayo ( japo Juzi tulizidiwa na wa Yanga SC ) tumeshajua nini Kinaendelea. Naona kabla hajaiacha Ardhi ya Tanzania kwenda kwa Joe Biden Wasukuma kupitia Zuga...
  16. chizcom

    Hizi ndizo dhambi kubwa

    Dunia inavyozidi kuendelea kuna dhambi ambazo kila kona zinaongoza kwenye billboard za mbinguni. Hizi dhambi huwezi kukosa kusikia kwenye habari hata siku moja. 1-uzinzi 2-mauaji 3-dhulma 4-ushirikina miaka nenda rudi lazima ukutane nazo
  17. R

    Je, kwa matendo haya ni imani za kishirikina?

    Huyu mama Mdigo, several times weekly, anaamka usiku saa 10 anaanza kufagia uwanja, tena kwenye giza totoro bila taa, Je tafsiri yake ni nini? Nadhani ana imani na ushirikina fulani. Ebu wadigo please tufafanulie kufagia usiku, tena kwenye giza kuna maana gani? Mnaamini nini katika hilo? Pili...
  18. Mshana Jr

    Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

    Niliachana kabisa na mambo yote ya kishirikina miezi kadhaa iliyopita, na kuthibitisha hilo niliweka uzi rasmi hapa JF na kumrudia Mola wangu mazima. Na kuna hili ambao sikuwahi kulisema hapa lakini wale ambao niliwaumiza na roho ikaniongoza tusawazishe nilifanya hivyo. Na nikapata amani kubwa...
  19. May Day

    SoC01 Tuorodheshe ushirikina kwenye ile vita ya Maadui Watatu...yaani sasa iwe Vita dhidi ya Maadui Ujinga, Umasikini, Maradhi na Ushirikina

    Niliwahi kuja na andiko humu nikionesha huzuni yangu juu ya Kiongozi mmoja wa juu tena mwenye hadhi ya Udaktari aliyekuwa anaithibitishia Jamii kwamba kuna Mama kutoka eneo moja la nchi aliyekuwa na uwezo wa kushambulia Maadui zake akiwatumia Nyuki kwa njia ya nguvu za giza. Kama haitoshi...
Back
Top Bottom