Anajidai kwamba amelijua jina lake bila kuambiwa, lakini anapomuuliza anamuumbua kwamba walishakutana kabla na akampanga nini cha kuongea mida ya asubuhi kabla ya misa, AIBU, AIBU, UTAPELI!! Ona video
https://www.instagram.com/reel/CuXfRL1sy1t/?igshid=NTc4MTIwNjQ2YQ==...