utalii

  1. ngaboru

    Natafuta kazi kwenye sekta ya utalii Dodoma

    Habari wanajukwaa, kichwa cha habari hapo juu chahusika. Nina uzoefu wa kufanya reservation, sales, office administration pamoja na reception.
  2. Cvez

    Kampeni ya kukuza Utalii kwa kutumia wasanii wa ndani.

    Katika kuelekea mwishoni wa mwaka jana kulikua na harakati za kutangaza utalii wa nchi yetu kutumia "celebrities" wetu wa Kitanzania. Katika kampeni wasanii wa filamu pamoja na wa Bongo fleva walihusika kwa kushirikiana na kiongozi wa Wizara husika. Mimi ni mdau wa utalii na ninajua utalii wa...
  3. BASIASI

    CAG tunaomba ukague hizo pesa za wasanii kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii

    Nimefuatilia sana majibishano ya baadhi ya viongozi tukajua n bifu za kawaida. Sasa kwa yanayoendelea kila msanii anakana hajapewa hela jamani tunaomba hii hali ikaguliwe na CAG wetu na jambo hili liwekwe wazi ama bungeni ama kwenye vyombo vya habari. Leo mtaruhusu haya atakuja mwingine...
  4. budebajr

    Uwakala wa soko la utalii na usafiri wa ndege (Travel & tours)

    Tujuzane machache soko la utalii tunalionaje, kuanzia miaka ya nyuma na hivi sasa hususani ukuaji, maeneo yanayokua, changamoto, muamko wa wazawa (Watanzania) na hata ongezeko la watalii kutoka nje ya nchi.
  5. Offshore Seamen

    Inabidi taxi za majini zianzishwe Dar es Salaam ili kurahisisha usafiri na kuwa sehemu ya utalii

    Sea taxi ni usafiri wa boti au meli ndogo zenye kubeba abiria kutoka eneo moja kwenda eneo lingine ndani ya bahari, na ndani ya boti abiria huweza kupata sehemu za burudani kama televisheni, eneo la wazi, mgahawa na sehemu ya mkutano. Hii imekuwa ikifanyika katika nchi mbalimbali mfano kwa...
  6. bahati93

    Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

    World citizen good morning, Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua...
  7. Sky Eclat

    Kwa hali hii soko la utalii tusilitegemee sana pamoja na kuwa na Bombardier

    Watalii wengi ni wafanyakazi wa kuajiriwa. Wengi hutegemea credit cards kifanyike utalii na wanalipa kila mwezi. Likizo huwa zinatolewa siku tano, yaani wiki moja; au siku kumi, yaani wiki mbili (ukitoa Jumamosi na Jumapili). Sasa mtalii amechukua likizo ya siku tano anakwenda Mikumi National...
  8. B

    CNN: Tanzania yatoa kivutio namba 1 cha kutembelewa kwa mwaka 2020, yazishinda nchi nyingine 30

    With its expansive landscapes and formidable animal life, the world's second-biggest continent is arguably the best for photographers. Throw in that sense of being in a place that hasn't changed for centuries, and sometimes millennia, and you get some of the most inspiring, and inspired...
  9. GENTAMYCINE

    Je, kipigo cha aibu alichopigwa bondia Mtanzania Seleman Said hakijatutangaza kidunia na kuimarisha sekta ya utalii?

    Nadhani yatupasa tusimlaumu wala kumsema vibaya Bondia Selaman Saidi kwa aibu ya Kufungia mwaka aliyotupa Watanzania jana pale nchini Saudi Arabia bali badala yake nadhani Watanzania wote hasa kwa Serikali kupitia Waziri wake Hamis Kigangwala wanatakiwa wamuandalie Mapokeza makubwa sana ambayo...
  10. K

    Shirika la Makumbusho ya Taifa Posta mnatia aibu Wizara ya Maliasili na Utalii

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mdau wa sekta ya utalii na tunaleta wageni wengi tu hapo Makumbusho ila kutokana na aibu na fedheha kutoka kwa wageni tunaowaleta imebidi niliseme hili. Choo kinachoonekana pichani kinatumika na wageni pamoja na wafanyakazi wa shirika la Makumbusho...
  11. J

    Serikali yanunua ndege ili kuutangaza utalii wa nchi yao

    Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na Serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii. Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na Serikali tofauti na hapo awali...
  12. Makanyaga

    Hasunga amsaidia Kigwangalla kunadi vivutio vya utalii

    Wakati Dk Hamis Kigwangalla akiambatana na wasanii wa bongofleva kuhamasisha utalii wa ndani, Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga ametoka kivingine. Kwa kutumia fursa ya Tanzania kuandaa mkutano wa kimataifa uliowakutanisha wadau wa korosho kutoka kila pembe ya dunia, Waziri Hasunga ameviuza...
  13. mashakani

    Biashara ya vitalu vya uwindaji yadoda

    Vitalu vya uwindaji wa kitalii 71 kati ya 159 vilivyopo nchini vimerudishwa na wawekezaji licha ya kuwa na idadi kubwa ya wanyamapori kutokana na sababu mbalimbali ikiwapo kuyumba kwa biashara ya uwindaji wa kitalii. Akizungumza na Mwananchi jana mjini hapa, kamishna mkuu wa Mamlaka ya...
  14. Kaka Pekee

    Mfanyabiashara Bilionea wa China Jacky Ma yupo nchini Tanzania

    Wiki Iliyopita nilipokuwa Nasafiri kwenda Serengeti na familia kupitia Mwanza, baada ya kutua na AirTanzania uwanja wa Ndege Mwanza majira ya Saa mbili kasoro Asubuhi...nilivutiwa na ndege moja Private Jet (Pichani)iliyokuwa imepaki pembezoni mwa kiwanja kwa ninavyozifahamu ndege (As Rubani wa...
  15. real G

    Mabasi ya utalii yatua Dar, mabilioni ya fedha yatengwa

    Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam imepitisha Sh75 bilioni za bajeti kwa mwaka 2018/2019 huku kipaumbele kikiwekwa kwenye utalii. Kati ya fedha hizo, Sh65 bilioni ni za maendeleo ambazo zitahusisha miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa kituo cha mabasi Mbezi Louis, madarasa na vibanda vidogo...
  16. BRAVER

    Kufungua kampuni ya utalii

    Naomba mwongozo iwapo nataka kuanzisha biashara ya Utalii, mambo gani ni ya muhimu kuyazingatia?
Back
Top Bottom