Habari zenu wana JF wenzangu.
Mara nyingi katika maisha yetu tumekuwa tukikutana na mambo kadha wa kadha, ikiwamo fursa, ajira, changamoto, connections na hata Utapeli.
Katika maisha yetu haya yaliyojaa harakati, utapeli umekuwa ni mkubwa sana.
Takribani miezi miwili iyopita nilikutana na...