utapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. gonamwitu

    Hey guys, hivi hii ni kweli au utapeli?

    Hey guys salamu nawasalimu habari ya nyinyi? Naomba kuuliza wakati nipo net naperuzi kuna page imefunguka kuna maelezo nimejaza then vikatokea vibox nikabifungua ikatokea iPhone 11 wakaniambia nimeshinda kuipata hiyo gift nijaze details zangu including bank card number hii iko vipi? Code...
  2. Mukulu wa Bakulu

    AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

    Huu ni ushauri wa bure. Haya makampuni ya fursa hebu wajitahidi kubadili mbinu za kutapeli watu. Hii ya kutajirika ndani ya siku 2 imepitwa na wakati. Qnet acheni kukodi magari ya watu na kujifanya ni yenu. Na visimu vya Iphone 6 Iphone 8. Badilini mbinu basi. Kupiga picha na selfie kwenye...
  3. R

    Kama for centuries hakuna dawa ya mafua toka mitishamba, epuka na utapeli wa Madagascar and the like!

    Mpaka kesho hakuna dawa ya mafua na limekuwa tatizo la waafrika/dunia from time immemorial. Leo anatokea tapeli anawadanya mnachukua ndege kwenda eti kuchukua dawa! AIDS imeua mpaka leo na ahueni ilipatikana baada ya USA scientists kuleta ARV! Mitishamba imetumika sana ikaonekana hopeless, watu...
  4. Pdidy

    Ukinunua 500 mb unapewa 250 mb huu n utapeli yakinifu airtel

    Hayaa mambo nilijua tcra wameshayamaliza bado yanaendelea aise corona nyingine hii kha
  5. Miss Zomboko

    Mbeya: Vijana 11 wakamatwa kwa utapeli wa 'ile pesa tuma kwenye namba hii'

    JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kupitia Mtandao wa Facebook kwa kutumia majina ya viongozi wa Serikali na wasanii maarufu. Aidha vijana hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanashirikiana na mawakala wa...
  6. S

    PSSSF acheni uhuni na utapeli, kama hela za pensheni hamna semeni

    Acheni kuwasumbua wazee wa watu. Leo masikini wazee wanakwenda kutafuta hela zao bank wanaambiwa hakuna hela kwa vile hamjahakikiwa. Hamjawahi kutoa notice ya uhakiki kwa mwezi wa January, 2020, mnategemea mtu atapataje taarifa. Acheni uhuni na utapeli, kama mmeishiwa hela waambie wastaafu wajue...
  7. EvilSpirit

    Huyu anajifunza utapeli au ni mbobevu

  8. DocJayGroup

    Napenda sana mtoto, lakini najua mtoto si wangu. Ila mdada analeta ghasia. Nifanyeje? Nipo Marekani kwa sasa. Naomba ushauri

    Wadau Yamenikuta. Sitaki kuandika story ndefu sana. Lakini huyu mdada nilikutana naye nilivyokuja Tanzania na alinifanyia vituko ambavyo kwa kweli siwezi kuviandika hapa. Tokea nimwache amekuwa ni ghasia kweli. Nilishapima mimba naye na nikamkuta ameficha mkojo kwenye nguo ya ndani sababu...
  9. Singida ndio home

    UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

    Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari ya kifahari aina ya BMW X6, sijui kama ilikuwa ni bahati mbaya au maksudi kimaslahi hio gari ilikula...
  10. donlucchese

    Wadada muwe waaminifu mnapoazima fedha toka kwetu wanaume

    Habari za wakati huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza, natoa rai kwa wadada (wanawake) wote kwamba mnapoazima fedha kwa marafiki zenu wa kiume, muwe waaminifu katika urejeshaji. Kuna dada mmoja ambaye ni colleague wangu kazini, majuzi mida ya saa tano usiku nikashangaa...
  11. mirindimo

    Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

    Habari wadau, niliwahi kuja na uzi hapa kuhusu D09 CLUB Miezi michache kabla haijapotelea kusikojulikana na nilishambuliwa sana na waliliwa pesa zao na bila kujua hatma yao wanarudishiwa vipi na nani. Leo naomba nije na mambo 30 usiyoyajua kuhusu Qnet. Qnet ni network marketing ambayo imevuta...
Back
Top Bottom