utawala bora na uwajibikaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KiuyaJibu

    Hii Taarifa ya Tanzania kutumia bilioni 558 kununua magari imekaaje?

    Kama kweli Serikali inanunua magari mpya (brand new); kuna ulazima wa kutumia kiasi chote hicho kununua magari kila mwaka; wakati gari jipya lina warranty ya miaka mitano.
  2. K

    Mawakili na wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuboresha utawala bora nchini

    Hawa watu wakifungua kesi nyingi nyingi zinazowahusu polisi, wakuu wa wilaya, mawaziri, wakuu wa mikoa nk zitawaweka busy na zitawapa aibu angalau wataanza kukemea uonevu unaofanywa na watu wao wa chini. Kwa wiki hizi za karibuni nchi imepitia katika heka heka nyingi ambazo ni nyingi zinaumiza...
  3. Kaka yake shetani

    Kufa kwa Serikali zilizopo muda mrefu zinakuwa na wingi wa idara za uchawa kwa ajili ya Rais

    Yani sasa hivi ukitaka kwenda jela tukana Rais. Hii ni moja ya dalili ya mwisho kwa nchi zilizokosa utawala wa haki au chama kujiogopa ili kubakia nafasi yao. Nchi zilizofanya haya moja wapo Tanzania inakaribia ukingoni. Yaani sasa hivi chama au Rais hata mimi kaka yake shetani siogopwi sababu...
  4. BLACK MOVEMENT

    Kiongozi wa nchi msafi hawezi kamwe kuongoza nchi iliojaa viongozi wezi. Rejelea Sani Abacha wa Nigeria

    Kiongozi Msafi katika Taifa loloe lile kamwe na Daima haijawahi tokea akaongoza Taifa liliojaaa wapigaji wa mali za Umma. Kule Nigeria inaaminika Gen Sani Abacha kwenye utawala wake kulikuwa na upigani ambao haujawahi fikiwa hadi leo, Kila kiongozi alikuwa anakula kwa urefu wa Kamba yake...
  5. P

    SoC04 Mabadiliko ya Katiba ya Tanzania kwa Kuongeza Uwajibikaji, Utawala wa Haki na Sheria, na Utekelezaji wa Shughuli za Serikali

    Kwanza kabisa ili kuifikia Tanzania tu itakayo Tanzania yenye mafanikio kiuchumi, kisiasa na kijamii tunatakiwa kuangalia namna ya mawazo, au vile tunavyopanga vinaweza kutimizwa. Tunapaswa kuzingatia Mchakato rafiki wa kuwapata wasimamizi bora wa mipango na rasilimali za watanzania Nguvu na...
  6. Littledidah

    SoC04 Kutungwa sheria kwa viongozi watakaoshindwa kutatua matatizo walioahidi kwa wananchi awamu iliyopita kutopata nafasi ya kugombea katika awamu zijazo

    TANZANIA TUITAKAYO Nchini Tanzania wananchi uingia mkataba na viongozi kwa muda wa miaka mitano kwa lengo la kuboresha sehemu zenye mapungufu na kutatua kero na changamoto za wananchi katika nyanja mbalimbali. Swali ni kwamba ndani ya hiyo miaka mitano hadi kukamilika miaka hiyo, viongozi...
  7. Makox

    Nilitengenezewa zengwe na mzazi wa mwanafunzi mpaka nikafukuzwa kazi

    Ninawasalimu kwa heshima za hadhi zote ndugu zangu wa JF. Kwa heshima kubwa ninawashukuru sana kwa mawazo yenu yote juu ya maada niliyoileta kwenu iliyosema "NILITENGENEZEWA ZENGWE NA MZAZI WA MWANAFUNZI MPAKA NIKAFUKUZWA KAZI". Nimeona nisikae tu kimya bila kuwafahamisha...
  8. R

    Dr. Emanuel Nchimbi put your words into action

    “Embracing Nyerere's Legacy for Tanzanian Progress” In an emotive and forward-thinking speech delivered at the Mwalimu Nyerere Memorial Academy on April 8th, 2024, Dr. Emanuel Nchimbi, the Secretary-General of Chama cha Mapinduzi (CCM), outlined a compelling roadmap for Tanzanian leaders to...
  9. Analogia Malenga

    Je, uwekezaji finyu kwenye somo la Uraia, ni nia ya kuwafanya watu wasijue haki na wajibu wao ili kuiwajibisha Serikali?

    Wakati wengi wanazungumzia ufaulu wa hesabu, jambo la kushangaza ni kwamba, waliopata A kwenye somo la hisabati ni wengi zaidi kuliko waliopata A kwenye somo la Civics. Hapa nimetumia masomo saba ambayo wanafunzi wote wanasoma na kuangalia ufaulu wa masomo hayo. Nimewaza zaidi inakuwaje watoto...
  10. Wilson john

    Tunavyoweza kuchochea mabadiliko katika Utawala Bora na Uwajibikaji

    Utangulizi Utawala bora na uwajibikaji ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote. Nyanja hizi ni muhimu katika kukuza uwazi, usawa, na ufanisi katika utoaji wa huduma za umma na maamuzi ya kisiasa. Katika andiko hili, tutajadili umuhimu wa kuleta mabadiliko katika nyanja hizi na jinsi...
  11. S

    SoC03 Serikali ifanye haya kuimarisha Utawala bora na Uwajibikaji katika Sekta ya Afya

    Afya ya msingi(PHC) Upatikanaji wa huduma ya afya na mipango ya afya ya msingi katika ngazi ya jamii, Zahanati,na vituo vya afya ni changamoto ngumu sana katika nchi zinazoendelea. Utawala Bora katika afya ya msingi ni jambo muhimu sana ambalo serikali imesahau kuwekea kipaumbele. Hii...
  12. D

    SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji: Kitovu cha Elimu Bora

    Utawala bora na uwajibikaji ni vipengele muhimu kwenye utendaji thabiti wa sekta yoyote pamoja na sekta ya elimu. Utawala bora unahusu taratibu na miundo inayotumika katika kufanya maamuzi na utelekezaji kwa uwazi, ushirikiano na uwajibikaji vilevile uwajibikaji unahusu majukumu ya wahusika au...
  13. AfrixOne

    SoC03 Utawala bora na uwajibikaji ndio nguzo ya msingi katika kuleta amani na maendeleo ya taifa

    Utawala Bora ni dhana inayohusu utawala mzuri na wa haki, ukiwezesha ushiriki wa wananchi katika maamuzi ya serikali yao na kuimarisha mifumo ya kisheria na utawala. Inalenga kuendeleza utawala ulio wazi, uwajibikaji, na ufanisi katika kutoa huduma na maendeleo kwa jamii. Uwajibikaji ni jukumu...
  14. D

    SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji katika Kuenzi Rasilimali za Asili na Uhifadhi wa Mazingira

    Utawala Bora na Uwajibikaji katika Kuenzi Rasilimali za Asili na Uhifadhi wa Mazingira Utangulizi Rasilimali za asili na mazingira ni hazina muhimu kwa maendeleo na ustawi wa jamii na taifa. Kuhifadhi na kuenzi rasilimali hizo ni jukumu letu sote. Katika makala hii, tutajadili jinsi utawala...
  15. officialsalmatz

    SoC03 Kuchochea Utawala Bora na Uwajibikaji kupitia teknolojia

    UTANGULIZI Teknolojia imechukua nafasi kubwa sana na kuwa msaada mkubwa kwa utendaji kazi kiurahisi na kwa haraka katika maisha ya watu wote dunia kwa sasa na inaaendelea kukua na kubadilika kwa kasi kubwa kila siku. Teknolojia kwa sasa inauwezo mkubwa wa chochea utawala bora na uwajibikaji, sio...
  16. Ramsey255

    SoC03 Kukuza utawala bora na uwajibikaji

    Mabadiliko katika Nyanja ya Siasa: Kukuza Utawala Bora na Uwajibikaji Utangulizi. Mabadiliko katika nyanja ya siasa yana jukumu muhimu katika kuendeleza utawala bora na uwajibikaji katika jamii. Kupitia makala hii, nitaainisha baadhi ya mabadiliko ambayo yanaweza kuchangia katika kuimarisha...
  17. Abuxco

    SoC03 Kuleta mabadiliko ya kweli katika utawala bora na uwajibikaji kupitia sensa ya watu na makazi

    Sensa ya watu na makazi ni zoezi muhimu linalofanywa na serikali kwa lengo la kukusanya takwimu sahihi na za kina kuhusu idadi ya watu na makazi, na tabia zao. Sensa hutoa taarifa muhimu kwa maendeleo ya kitaifa na kimataifa katika maeneo kama mipango ya maendeleo, usimamizi wa rasilimali,na...
  18. G

    SoC03 Mabadiliko katika Sekta ya Madini kwa Utawala Bora na Uwajibikaji

    Sekta ya madini ni muhimu kwa uchumi na maendeleo ya nchi yetu. Hata hivyo, kumekuwa na changamoto kadhaa zinazoathiri ufanisi na uwajibikaji katika sekta hii. Kwa lengo la kukuza utawala bora na uwajibikaji, mabadiliko yafuatayo yanaweza kutekelezwa: Kuboresha uwazi na upatikanaji wa taarifa...
  19. P

    SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji katika Sheria na Haki

    UTAWALA BORA NA UWAJIBIKAJI KATIKA SHERIA NA HAKI Siku moja tembo alimwona swala anakimbia kwa spidi kali sana akamsimamisha na kumuuliza, "ndugu yangu mbona unakimbia hivyo? shida nini? Huku swala akihema akamjibu" kijijini kwetu polisi wanakamata mbuzi wote waliopo kule." Kwa mshangao...
  20. G

    SoC03 Nguvu ya Utawala Bora na Uwajibikaji

    Utawala bora ni mfumo ambao unasimamia sheria,taratibu na kanuni ambazo husimamiwa na serikali au taasisi yoyote ili kuhakikisha kuwa hakuna ukiukwaji wa haki za binadamu,uvunjifu wa sheria pamoja na maadili ya kazi ambayo yameweka ili kumwongoza kila mmoja katika utendaji wake wa kazi ili...
Back
Top Bottom