utawala bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SoC03 Hadithi ya Wanyama wa Msitu: Jinsi Uwajibikaji na Utawala Bora ulivyosaidia kuleta Mabadiliko Chanya katika Jamii Yao

    HADITHI YA WANYAMA WA MSITU: JINSI UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA ULIVYOSAIDIA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA JAMII YAO. Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Picha | Msitu wa kijani kibichi Katika msitu wa kijani kibichi, wanyama mbalimbali walikuwa wakiishi kwa amani na utulivu. Hata hivyo, katika...
  2. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi mbaya; aliua mifumo ya utawala bora akawadanganya Watanzania na vitu vidogo kama madaraja, stendi, ndege n.k

    Kwa vipimo vyote Magufuli alikuwa kiongozi mbaya ila kwakuwa Watanzania ni watu wenye upeo mdogo aliwa win mioyo yao. Magufuli alihakikisha mifumo yote ya good governance anai paralyze au kuiuwa kabisa ili yeye ndio awe sheria alisahau kwamba binadamu hupita ila continuity ya taifa inategemea...
  3. SoC03 Kuchochea Utawala Bora na Uwajibikaji katika Sekta ya Afya

    Andiko la Kuchochea Utawala Bora na Uwajibikaji katika Sekta ya Afya. Utangulizi: Sekta ya afya ni muhimu sana katika maendeleo na ustawi wa jamii. Ili kuhakikisha huduma za afya zinatolewa kwa ufanisi na kwa manufaa ya umma, utawala bora na uwajibikaji ni muhimu. Andiko hili linalenga...
  4. J

    SoC03 Utawala Bora chachu ya Maendeleo yasiyokoma

    Utawala Bora ni namna ya kuwaongoza watu katika namna inayofaa,kwa kutumia rasilimali za taifa husika ili kuleta maendeleo katika taifa Hilo. Utawala Bora huchochewa zaidi pale anapokuwepo kiongozi Bora. SIFA ZA KIONGOZI BORA. 1. Mwajibikaji. Kiongozi Bora huyapa kipaumbele majukumu...
  5. F

    SoC03 Kukuza utawala bora kwenye uchumi nchini

    Kuleta utawala bora katika nyanja ya uchumi wa Tanzania ni muhimu kwa maendeleo endelevu na ustawi wa nchi. Utawala bora unahusisha uwajibikaji, uwazi, ushiriki wa wananchi, utawala wa sheria, na kupambana na ufisadi. Hapa chini ni orodha ya hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kufanikisha...
  6. Waziri Ummy Mwalimu, Mfuko wa Bima ya Afya unawatesa Wagonjwa wasio na hatia na unakiuka kanuni za utawala bora

    Mheshimiwa Waziri Ummy Mwalimu, Napenda kukufahamisha matatizo matatu kuhusu Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF), kama ifuatavyo: Mosi, mikataba yote kati ya NHIF na vituo vya Afya inacho kifungu kinachovunja sheria ya mikataba, kanuni za utawala bora, na heshima ya utu wa wamiliki wa vituo...
  7. SoC03 Nafasi ya uzalendo katika kuimarisha Utawala Bora

    Utangulizi: Utawala bora ni msingi wa jamii inayofanya kazi vizuri na yenye ustawi. Inajumuisha kanuni kama vile uwazi, uwajibikaji, utawala wa sheria, na ushiriki wa raia. Ingawa kanuni hizi ni muhimu kwa utawala bora, jukumu la uzalendo halipaswi kupuuzwa. Uzalendo, upendo na kujitolea kwa...
  8. SoC03 Utawala Bora na Uwajibikaji sekta ya uchumi Tanzania

    Utawala bora na uwajibikaji ni mambo muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote. Katika Tanzania, kama nchi nyingine, sekta muhimu kama biashara, viwanda na usafirishaji,na sekta ya kilimo na madini zinahitaji utawala bora na uwajibikaji ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu. Kwa...
  9. SoC03 Serikali za Majimbo zitaongeza Kiwango cha Uwajibikaji na Utawala Bora Nchini

    Kawaida, kwa Tanzania ukizungumza juu ya majimbo, watu wengi hudhani ni yale yanayowakilishwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Majimbo ninayozungumzia hapa, ni mikoa inayoongozwa na Wakuu wa Mikoa kwa sasa! Swala la serikali za majimbo limezungumzwa siku nyingi na mara...
  10. SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora ni muhimu ili kuzuia mikataba inayonyonya damu

    Nimevutiwa kuandika Makala hii kutokana na mjadala unaoendelea hivi sasa, kuhusu mchakato wa bandari ya Dar-es-Salaam kuingia mkataba wa uendeshaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Ni habari ambayo imetawala vyombo vingi vya habari! Kielezo Na. 1: Bandari ya Dar-es-Salaam Chanzo: KWELI -...
  11. SoC03 Falsafa ya Julius Nyerere: Uwajibikaji na Utawala Bora kama Msingi wa Maendeleo ya Kijamii katika Afrika

    FALSAFA YA JULIUS NYERERE: UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KAMA MSINGI WA MAENDELEO YA KIJAMII KATIKA AFRIKA Imeandikwa na: Mwl.RCT I. Utangulizi Uwajibikaji na utawala bora ni muhimu sana katika kuleta maendeleo ya kijamii, hasa katika nchi za Kiafrika. Julius Nyerere aliamini katika uwajibikaji...
  12. Wabunge wetu mnataka mpigwe na mayai viza ndio mjue mnatukosea?

    Hili jambo nilishuhudia nchi moja Ulaya na matukio hayo baadhi ya nchi Afrika yamekuwapo. Wananchi wamekuchagua (au wamewekewa) mwakilishi wao kuwasemea Bungeni, lakini badala ya kutimiza wajibu wako kwa waliokutuma unaenda kutumika kupitisha vitu ambavyo unajua kwa uwazi kabisa watu hawataki...
  13. D

    SoC03 Mabadiliko kuhusu uwajibikaji au utawala bora katika nyanja mbalimbali kwenye Elimu, Afya, Malezi, Teknolojia, Sheria

    Mabadiliko kuhusu uwajibikaji au utawala bora katika nyanja mbalimbali kama elimu, afya, malezi, teknolojia, na sheria linaweza kuwa na athari kubwa katika kuboresha huduma na maendeleo katika maeneo hayo. Hapa chini nimeandika andiko linalojumuisha maoni na mawazo kadhaa kuhusu mabadiliko hayo...
  14. SoC03 Kuwezesha Mabadiliko: Kuongezeka kwa Uwajibikaji na Utawala Bora katika Nyanja Mbalimbali

    Katika enzi ambayo ina sifa ya kuongezeka kwa mahitaji ya uwazi na utendakazi wa maadili, dhana za uwajibikaji na utawala bora zimekuwa msingi wa kuleta mabadiliko chanya katika nyanja mbalimbali. Kuanzia utawala na elimu hadi huduma za afya na fedha, jamii duniani kote zinashuhudia mabadiliko...
  15. L

    SoC03 Mambo yanayochochea utawala bora na uwajibikaji katika nyanja mbalimbali

    Utawala bora na uwajibikaji; Ni mamlaka na haki ya kuongoza kwa kufuata taratibu za kikatiba, na kujitoa katika kufanya mambo yote yaliyo majukumu anayotakiwa kufanya kiongozi au mtu yeyote aliye na dhamana katika eneo husika. Uwazi, usawa, Uhuru wa vyombo vya habari pamoja na uwajibikaji ni...
  16. M

    SoC03 Namna utawala bora na uwajibikaji vilivyo muhimu katika maendeleo

    Ni matamanio ya kila nchi kuwa na maendeleo ya kiasi cha juu sana hata kufikia hatua ya kujitegemea. Hivyobasi,ili nchi iweze kupata maendeleo hayo inapaswa kuwa na viongozi wazuri wanaowajibika.Uongozi na uwajibikaji ni maswala mawili tofauti yanayotegemeana kwani kiongozi mzuri ni yule...
  17. I

    SoC03 Utawala Bora katika jamii au nchi

    Utawala ulio boraa ni mchakato ambao una lengo la kukuza ufanisi, uwazi, uwajibikaji, na ushirikishwaji katika utendaji wa serikali. Katika kujenga utawala bora, ni muhimu kuwa na mabadiliko yanayochochea maendeleo katika nyanja zote, ikiwemo uwajibikaji. Hapa chini nimeandika andiko ambalo...
  18. SoC03 Matumizi ya sarafu moja kama njia ya kuleta mabadiliko katika uwajibikaji na utawala bora katika nchi za Afrika

    Wazo la kuwa na sarafu moja ya Afrika limekuwa likijadiliwa tangu mwanzoni mwa miaka ya 1980, na jitihada zimefanywa katika miongo iliyofuata kuelekea lengo hilo. Matumizi ya sarafu moja katika bara la Afrika yanaweza kuwa na athari kubwa katika kukuza uwajibikaji na utawala bora. Hapa kuna...
  19. SoC03 Natamani viongozi wote wangekuwa na mimi utotoni

    Usichomoe! "Nimekwambia usichomoe kabla haijafika mwisho, aya irudishe alafu upunguze sauti kidogo saivi ni usiku tusisumbue majirani" Muda wote huo baba kwani huchoki? "Hapana hadi ifike mwisho ndo nitakuruhusu uichomoe" Hayo...
  20. SoC03 Uwajibikaji na Utawala bora: Mabadiliko yanayohitajika Tanzania

    Utangulizi Uwajibikaji na utawala bora ni masuala muhimu katika kukuza maendeleo endelevu na ustawi wa jamii katika Tanzania. Kwa muda mrefu, nchi yetu imekabiliwa na changamoto katika nyanja mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ufisadi, ukosefu wa uwazi, na udhaifu katika utekelezaji wa sheria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…