uti

UTI Mutual Fund was carved out of the erstwhile Unit Trust of India (UTI) as a Securities and Exchange Board of India (SEBI) registered mutual fund from 1 February 2003. The Unit Trust of India Act 1963 was repealed, paving way for the bifurcation of UTI into: Specified Undertaking of Unit Trust of India (SUUTI) and UTI Mutual Fund (UTIMF).
T Rowe Price Group Inc (TRP Group), through its wholly owned subsidiary T Rowe Price Global Investment Services Ltd. (TRP), has acquired a 26% stake in UTI Asset Management Company Limited (UTI AMC).
UTI Mutual Fund is the oldest and one of the largest mutual funds in India with over 10 million investor accounts under its 230 domestic schemes/plans as of 30 September 2017.
UTI Mutual Fund has a nationwide distribution network, which is spread across the length and breadth of the country. Its distribution network comprises over 48000 AMFI/NISM certified Independent Financial Advisors and 174 Financial Centers.UTI Mutual Fund has been the pioneer for launching various schemes viz. UTI Unit Linked Insurance Plan (ULIP) with life and accident cover (Launched in 1971), UTI Mastershare (Launched in 1986), India's first Offshore Fund – India fund (Launched in 1986), UTI Wealth Builder Fund, the first of its kind in the Indian mutual fund industry combining different asset classes i.e. equity and gold which are lowly correlated.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Matumizi ya nepi za kutupa (diapers) yatajwa kusababisha UTI kwa watoto

    Matumizi ya muda mrefu ya nepi za kutumia na kutupa za watoto maarufu pempasi yamekuwa yakisababisha athari kwa kundi hilo huku walio wengi wakipata magonjwa ya ngozi na mfumo wa mkojo yaani UTI. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Oktoba 23, 2023 na Daktari bingwa wa magonjwa ya kinamama na uzazi...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Umemtongoza kabla ya game anakuambia anaomba pesa akachome sindano za UTI, utachukua uamuzi gani?

    Yamemkuta jamaa huko mtaani. Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo. Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada...
  3. Lububi

    Kupima tezidume, UTI sugu, bawasiri, figo, ini, kibofu, utumbo...dar

    Nawasalimu nyote kwa nguvu za huyo atiaye uhai. Kwa mtanzania wa kawaida asiye na bima ndan ya dar wapi pa uhakika kupima vipimo tajwa hapo juu kwa wakat mmoja? Bajet yake ni sh ngap? Mwenye mzaha katika afya aniache kwa leo. Natanguliza shukran
  4. Spinal Health

    Fahamu afya ya uti wako wa mgongo: MUHIMU!

    Kuna vitu vitatu: Ubongo, Mishipa ya fahamu na Uti wa mgongo. Vitu hivi vinafanya kazi bega kwa bega na kwa kutegemeana sana, Kitu kimoja kati ya hivo kikipata shida basi mfumo mzima unavurugika na hapo ndipo magonjwa yanaanza kujitokeza, mara nyingi ni magonjwa yanayohusiana na uti wa mgongo...
  5. Spinal Health

    Hizi ni Dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo:

    Hizi ni dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo: 1 Maumivu mkali ya mgongo 2 Maumivu makali sehemu ya kiuno (Nyongo) 3 Maumivu ya kichwa yasiyoacha 4 Maumivu ya shingo na mabega 5 Vichomi sehemu ya kiuno Kama una dalili yoyote kati ya hizo, basi kuna uwezekano mkubwa kuwa una shida kwenye uti wa...
  6. Spinal Health

    Afya ya Uti wa mgongo

    Je, unafahamu nini kuhusu afya ya uti wa mgongo?
  7. Rose Bud

    Je, hizi zinaweza kuwa ni sababu za ongezeko la UTI?

    Kwa miaka ya hivi karibuni watu wanaokuwa diagnosed na UTI imeongezeka maradufu. Katika kutafuta sababu nimekuja na sababu tatu ambazo zinazoweza kuchangia. Wakuu, je wewe unadhani ipi ni sababu kubwa kwa ongeze la ugonjwa huu kati ya hizi A: Ongezeko la mwanawake wa sikuhizi kushindwa...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ngassa: Miundombinu ni Uti wa Mgongo Kwenye Uchumi wa Nchi

    ".. Serikali yetu imeweka nguvu kwenye Miundombinu ya uchumi kwa kuwa miundombinu ni uti wa mgongo kwenye kukuza uchumi wa Taifa na mtu mmoja mmoja. Barabara, Umeme, Mawasiliano na Huduma za kifedha ni muhimu sana katika kukuza uchumi jumuishi na shindani..." "...Hivyo tunapoona wakandarasi...
  9. Abuxco

    SoC03 Kilimo ni uti wa Mgongo katika karne ya sasa

    Utawala bora na uwajibikaji ni mambo muhimu katika maendeleo ya nchi yoyote, na sekta ya kilimo haipo nyuma. Tanzania, kama nchi inayotegemea kilimo kwa kiasi kikubwa katika uchumi wake, inahitaji kuweka mkazo katika kuleta mabadiliko na kuboresha utawala bora na uwajibikaji katika sekta hii...
  10. A

    Sitosahau nilipopata Gono na UTI kwa mke wa jirani yangu

    Nikiwa nimehamia kigezi kwenye kamjengo kangu, nilikuwa naishi bado single sijapata jiko ratiba yangu naondoka zangu asubuhi naingia job narudi zangu usiku na napitia Tariano pale nakunywa vibia kazaa na kula msosi narudi home. Wikend nilikuwa nashinda home kwa shughuli za usafi majirani...
  11. Disney mbola

    UTI sugu inaweza kutibika kwa kitunguu swamu?

    Habari wanaJF, naomba kuuliza hivi ni kweli kitungu swaumu kinatibu UTI sugu? Je, Kuna tiba zingine za asili zinazoweza kumaliza tatzo hili? Asanteni sana naombeni ushauri na maoni
  12. God Fearing Person

    Vijana kuweni makini na UTI Sugu

    Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne kama masihara anachapa kavu dry na inamtoa Duniani UTI Sugu hawa wanawake sahivi wanaumwa Sana Location huku Tabata Kuna hatari...
  13. BARD AI

    Ndugulile: Tuwekeze Maabara kupata Vipimo sahihi, kuepuka UTI sugu

    Ongezeko la wagonjwa wenye maambukizi ya njia ya mkojo, maarufu kwa jina la UTI na typhoid limekuwa kilio kikubwa kwa Watanzania katika sekta ya afya kutokana na kutumia fedha nyingi katika kutibu wagonjwa kutokana na usugu wa dawa. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, ripoti ya Benki ya Dunia ya...
  14. Maleven

    Hivi mwanamke akikuambukiza UTI si ina maana amechepuka?

    Baada ya kukutana nae tu, siku mbili mbele nikaanza jisikia ovyo, nimepima nimekutwa na UTI, na hapa si inamana nipime na UKIMWI? Hii sio ishara ya kuchepuka?
  15. Sildenafil Citrate

    UTI sugu kwa wanawake

    UTI ni ufupisho wa maneno Urinary Tract Infection, au kwa kiswahili ikiwa ni maambukizi ya mfumo wa mkojo ambao huhusisha figo, kibofu cha mkojo, mrija wa mkojo pamoja na mrija unao unganisha figo na kibofu cha mkojo. Maambukizi haya kwa kiasi kikubwa husababishwa na bakteria jamii ya E...
  16. JanguKamaJangu

    70% ya Wagonjwa wa Kitengo cha Fiziotherapi Hospitali ya MZRH Mbeya wana tatizo la uti wa mgongo

    Asilimia 70 ya wagonjwa wanaopata matibabu katika kitengo cha Fiziotherapi Hospitali ya Rufani ya Kanda Mbeya, wanasumbuliwa na matatizo ya uti wa mgongo huku chanzo kikubwa kikitajwa ni kukaa kwa muda kwenye viti ambavyo havina teknolojia ya kuepukana na tatizo hilo. Vilevile, imebainishwa...
  17. Dr Yesaaya

    SoC02 Ujue ugonjwa wa UTI Kisha jikinge

    Jiepushe na Maambukizi katika njia ya mkojo kitaalamu – UTI (Urinary Tract Infections) Anaandika Dr MSANGY. 0752591744/0682080069 UTI – Ni maambukizi ya vimelea vya magonjwa katika mfumo wa mkojo – kuanzia katika figo (kidneys) unapochujwa mkojo hadi katika sehemu ya kukojoa yaan urethra. UTI...
  18. Adam tuga

    SoC02 Kilimo uti wa mgongo

    Ni majira ya Saa Kumi na Mbili jioni anaonekana Kijana mwenye furaha huku mbele yake kukiwa na watu takribani kumi na nane furaha hiyo inakuja pale kijana Shahibu Abdallah anayefahaamika kwa jina la SHEBY THE DON kufanikisha ndoto ya Familia yake kupata Elimu ya juu kwa wadogo zake wawili Nuru...
  19. MOONFISH

    MADAKTARI: Vipimo vya UTI kama ni hivi ni balaa

    Ni kauli ya Mwanahamisi Ally, mkazi wa Mabibo, jijini Dar es Salaam. Gazeti linasimulia mbinu kadhaa za uchunguzi alizotumia mwandishi kupima vipimo mbalimbali katika zahanati na hospitali mbalimbali, ili kuthibitisha malalamiko ya Mwanahamisi. Jaribio la kwanza ‘‘Saa 6:30 mchana natoka Mabibo...
  20. BARD AI

    UCHUNGUZI: Hospitali za DSM hazitoi majibu sahihi vipimo vya UTI

    “Kila nikihisi homa na kwenda hospitali kupima nakutwa na UTI. Imekuwa ikinitokea mara kwa mara, napewa dawa nakunywa lakini bado inarudi tena,” ni kauli ya Mwanahamisi Ally, mkazi wa Mabibo, jijini Dar es Salaam. Urinary Tract Infection au UTI ni ugonjwa unaosababishwa na maambukizi kwa njia...
Back
Top Bottom