UTI Mutual Fund was carved out of the erstwhile Unit Trust of India (UTI) as a Securities and Exchange Board of India (SEBI) registered mutual fund from 1 February 2003. The Unit Trust of India Act 1963 was repealed, paving way for the bifurcation of UTI into: Specified Undertaking of Unit Trust of India (SUUTI) and UTI Mutual Fund (UTIMF).
T Rowe Price Group Inc (TRP Group), through its wholly owned subsidiary T Rowe Price Global Investment Services Ltd. (TRP), has acquired a 26% stake in UTI Asset Management Company Limited (UTI AMC).
UTI Mutual Fund is the oldest and one of the largest mutual funds in India with over 10 million investor accounts under its 230 domestic schemes/plans as of 30 September 2017.
UTI Mutual Fund has a nationwide distribution network, which is spread across the length and breadth of the country. Its distribution network comprises over 48000 AMFI/NISM certified Independent Financial Advisors and 174 Financial Centers.UTI Mutual Fund has been the pioneer for launching various schemes viz. UTI Unit Linked Insurance Plan (ULIP) with life and accident cover (Launched in 1971), UTI Mastershare (Launched in 1986), India's first Offshore Fund – India fund (Launched in 1986), UTI Wealth Builder Fund, the first of its kind in the Indian mutual fund industry combining different asset classes i.e. equity and gold which are lowly correlated.
Habari zenu wakuuu hope mko poa sana.
Leo nimeamua kuja na mda tajwa hapo juu naandika ukweli wa asilimia mia moja kuhusu hawa dada zenu na ugonjwa wao wa UTI unavyo tutesa.
Nianze moja kwa moja nimekuwa mtu wa toto mbili tatu na kujichanganya sana na wanawake, ila katika miaka ya nyuma sija...
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nilienda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano saba za ceftriaxone pamoja na co-amoxiclav tables nazo za siku saba ambayo nimeze baada ya kumaliza sindano sasa naombeni msaada kuwa hizi dawa zitanisaidia kupona...
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nimeenda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano 7 za ceftriaxone na pamoja na co-amoxiclav tables ya siku saba nimeze baada ya kumaliza sindano saw itansaidia kupona kwa haraka na ujauzito wangu hautapata madhara?
MAUMIVU YA MGONGO SUGU WA JUU, MABEGANI NA MISULI SHINGO KUKAZA
HOMA YA UTI WA MGONGO ( PNEUMONICAL MENINGITIS)
Ndugu zangu wana jamii forum kwanza nikili kwamba huu ugonjwa ninao na ni hatari sana kimaisha kiujumla na unakatisha tamaa sana kiasi kwamba mpaka inafika hatua unaweza kuchukua...
Nadhani wote tunashuhudia namna wabunge wanavyolinda na kupiga kelele zinapotajwa posho na maslahi Yao. Ni mashuhuda kwamba Mzee Pinda linapokuja suala la ufugaji wa nyuki yupo radhi afunge safari kwenda Kwa Mhe. Mkubwa wa nchini kulitolea ufafanuzi, tunafahamu nguvu watakayotumia akina Zitto...
Mimi na siku moja nimemaliza dozi za UTI , sasa leo nimejikuta na kunywa pombe ,naomben ushauri je nimekata dozi , na weza kuanza upya?
Nawaza sana naomben ushauri ndugu zangu.
Mahakama ya hakimu mkazi Arusha imeahirisha kwa mara nyingine shauri la uhujumu Uchumi linalomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai ole Sabaya na wenzake sita baada ya mshitakiwa Sabaya kuendelea kuwa mgonjwa.
Jana Novemba 3 mwaka huu mahakama hiyo iliahirisha shauri...
Wiki kadhaa nilikuwa nasumbuliwa na UTI baada ya kupata vipimo katika kituo cha afya X na doctor akanishauri nitumie dawa make alisema sio nyingi ni ya kawaida ..baada ya kumaliza dozi ikabidi nirudi kujiridhisha kama nimepona ugonjwa ila cha ajabu majibu yakatoka kuwa nina UTI ya kutosha kwa...
Watanzania wametakiwa kuchukua tahadhari kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ulijitokeza katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC).
Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt.Aifelo Sichwale amesema ugonjwa huo wa mlipuko husababishwa na bakteria wanaojulikana kama...
Jana Alhamisi muda wa saa 5 usiku hivi nikiwa natafuta Station za Radio nikaangukia Kiss FM 98.9, niliposikia neno "PID" ikabidi nisikilize kidogo kinachoongelewa maana nami nipo kwenye uwanja huo huo wa mambo ya Afya..
Nilipigwa na bonge la mshangao kwa yale niliyokuwa nikisikia,, maana...
Wadau wengi wamekuwa wakiumizwa na maradhi haya; hebu tuyaangalie kwa mapana yake:
What Is a Urinary Tract Infection?
About half of women will get a urinary tract infection or UTI at some point in life. It happens when germs infect the system that carries urine out of your body...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.