uviko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    #COVID19 James Mbatia: Ndani ya wiki mbili zijazo Corona itatupiga sana Tanzania

    17 July 2021 Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI azungumzia hali ya tishio kwa afya-ya-umma (public health ), umasikini na ukosefu wa ajira kwa vijana Tanzania Mwenyekiti wa chama cha NCCR - MAGEUZI Mh. James Mbatia kwa kina atoa angalizo juu ya gonjwa kubwa lililo janga la kidunia la corona covid-19...
  2. TechTino

    SoC01 Kipato duni na Ugonjwa wa UVIKO - 19 (COVID-19)

    UMASKINI NA UVIKO-19 (COVID -19) Athari za janga hili kwa umaskini hutegemea kwa sababu kadhaa. Kuongeza usawa na kupungua zaidi kwa ukuaji wa uchumi inaweza kusukuma watu zaidi katika umaskini. Janga hili pia linatoa changamoto kwa serikali , uwezo wa kifedha ambao ulikuwa tayari...
  3. isajorsergio

    #COVID19 Napambana na COVID-19 deadly Delta

    Habari 👋🏾 Kumekuwa na hali ya watu wengi kupuuza na kutokuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO na wengine wakienda mbali kudai hakuna ugonjwa kama huo. Napenda kuwaambia COVID-19 deadly Delta yupo Tanzania na kila mahali, nimepatwa na ugonjwa ilhali nipo eneo lilotengwa na pembezoni katika...
  4. TheChoji

    Kwenye UVIKO hatupigwi kweli?

    Hili li ugonjwa limekaa kipigaji pigaji sana. Mi sio mtaalam wa mambo haya, lakini sijui kwanini naona kabisa li korona kama ni li biashara fulani la kupigia hela. Kinachonifanya niwe na wasiwasi ni haya mambo yafuatayo: 1. Ndani ya miaka miwili, kuna zaidi ya variants 5 za korona! Halafu eti...
  5. J

    #COVID19 Rais Samia: Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 100 wa Corona. Chanjo itakuwa ya hiyari

    Rais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi. Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari. Serikali imeshatenga usd 470 milioni kukabiliana na covid 19. Nawasalimu kwa jina la...
  6. Shujaa Mwendazake

    #COVID19 Rais Samia: Tanzania tuna wagonjwa wa Wimbi la Tatu la Corona

    “Tanzania tuna wagonjwa wa wimbi la Tatu la Corona. Hili jambo bado lipo, tuchukue hadhari zote na tunawaomba viongozi wa dini mseme hili kwa sauti kubwa" Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizungumza na baraza la maaskofu katoliki (TEC) #Tanzania #COVID19 ========= Rais Samia Suluhu...
Back
Top Bottom