uzi maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jobless_Billionaire

    Uzi maalumu kwa watu wasiofunga kipindi cha mfungo

    Salaaam... Tupo katika kipindi ambacho Waislamu na Wakristo kwa pamoja tupo katika mfungo. Hata hivyo ndani ya kipindi hiki, si wote tutafunga/ tunafunga na hii ni kutokana na sababu mbalimbali aidha kiafya na nyinginezo ambazo hazitaruhusu uwe katika mfungo. Uzi huu ni maalumu kwa wale...
  2. Nomadix

    Uzi maalum: Share chochote kuhusu hobbies

    Habari wakuu Sijapata neno sahihi la kiswahili linaoendana na hobby. Hobbies ni kitu unachofanya kinachokupa furaha au kuridhika hasa muda unapokuwa uko free. Hobbies nazopenda Kusikiliza muziki hasa wa Pop, Reggae, Country, R&B, Trap na Jazz. Kuchora(sketching/drawing) nitaleta picha...
  3. M

    Uzi maalum kuhusu kodi/tozo/ushuru nchini Tanzania zifaazo na zisizo faa

    Habari wananchama na wasio wanachama. Nimeamua kuleta huu uzi kama haupo unaofanana nao tuweze kujadili 1. Kodi/tozo/ushuru kandamizi ziweze kuondolewa 2. Maoni juu ya namna ya kupata vyanzo vipya vya mapato 3. Namna za ukwepaji wa kodi/ushuru/tozo na kuweza kudhibiti. 4. Tukumbushane pia kodi...
  4. ommytk

    Uzi maalum kwa wagonjwa wa kisukari kupena mawazo na kusaidiana uzoefu wa kuishi kwa imani

    Nimeweka huu Uzi ili watu wanaoishi na ugonjwa kisukari kuelezana na kusaidia mawazo na uzoefu na changamoto za ugonjwa na kuelezana namna kukabiliana nazo karibuni
  5. Loading failed

    Uzi maalum kwa waliokosea kuoa na kuolewa au kuwa kwenye mahusiano

    Ndugu zangu salaam Huu ni uzi maalum kwa wale waliokosea kuoa na kuolewa pia kw wale waliokosea kuwa kwenye mahusiano. Tuambieni ni nini ulikiona kwa mwanamke wako au mwanaume wako ukagundua hapa ulikosea kuoa au kuolewa nae. Pia kwa wale wengine tuambieni ni nini mlikiona kwa wapenzi wenu...
  6. Stephen Ngalya Chelu

    Tales from another World: Uzi maalum wa kusimulia ndoto tunazoota (Just for fun)

    Ndoto ni kama movies ambazo zinatengenezwa akilini mwetu. Wakati tukiwa tumepumzika usiku, ubongo huwa upo kazini bado, hutuandalia ulimwengu mpya ambao huwa na mambo tofauti na haya tuyaonayo kwenye ulimwengu wetu huu wa kawaida. Mengine ya kufurahisha, kushangaza na hata kuogofya. Hivyo basi...
  7. Genius Man

    uzi maalum kwa wale wenye shida mbalimbali wanaohitaji msaada au ushauri tunduizi

    nimefungua uzi huu kwa lengo la kutaka kusaidia watanzania wenzangu kwa namna moja au nyingine wale wanaopitia changamoto mbalimbali kwenye maisha na kwamba wanahitaji ushauri au msaada wa aina flani ili kuweza kutatua changamoto hizo. Kwa wale ambao wataguswa na changamoto za mtu yoyote pia...
  8. MamaSamia2025

    Uzi maalum wa kujipongeza kwa maamuzi kadhaa mazuri uliyowahi kufanya maishani.

    Karibu kila mtu anajutia uamuzi fulani aliowahi fanya maishani. Na wengi wana majuto kwenye ishu za ndoa na biashara. Kimsingi majuto ni mengi sana. Sasa mimi nimeamua kuandika huu uzi ili TUJIKUMBUSHE maamuzi kadhaa mazuri tuliyowahi fanya na kutuletea matokeo mazuri. Inaweza saidia kuleta...
  9. M

    Uzi maalum wa kujuzana kwa wale waliotuma maombi ya Appeal katika bodi ya mikopo HESLB

    Wadau habari zenu, Leo nimeona bodi ya mikopo wametoa taarifa lakini ghafla wakaifuta katika mitandao yao ya kijamii, je bado majibu ya appeal hayajatoka rasmi? Naomba tutumie uzi huu kupeana updates kwa kile kilichojiri kuhusiana na maoimbi ya APPEAL.
  10. C

    Nahitaji kazi, ni mtaalam wa Nails, makeup and Hair

    Habari ya jumapili, bila shaka mu wazima. Mimi ni dada mchapakazi, Nina elimu ya masuala ya urembo ,namaanisha nails, makeup and hair. Natamani nifungue biashara lakini imekuwa shida kupata mtaji.kwa sasa nimeona itafute kazi ili niweze kukusanya pesa. Napenda kuchukua Fursa hii kuomba...
  11. OMOYOGWANE

    Uzi maalum wa kuelezea stress zako na njia unazotumia kukabiliana nazo

    Picha linaanza daktari anakusomea majibu ya vipimo vyako bila kutarajia anakwambia una UKIMWI , ile hali na mshutuko utakaoupata baada ya hapo ndio STRESS zenyewe. Just imagine umesota sana mpaka ukapata kazi mambo yako yapo vizuri, mke wako kajifungua mtoto mzuri wa kike. Bila kutarajia boss...
  12. ubongokid

    Uzi Maalum kwa Wanaotamani Nafasi za Uteuzi Serikalini

    Habari za Wakati Huu; Kwanza Kabisa niseme tu kwamba Hii habari/hali ya kusikia na kuona sura na majina yaleyale katika nafasi za UTEUZI nafikiri inachangia PIA katika kudororesha Utendaji Serikalini na kuondoa Uwajibikaji.Kwa kuwa majina ya TEUZI na Tenguzi hupelekwa kimya kimya na kutangazwa...
  13. P h a r a o h

    Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

    Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na...
  14. Abou Shaymaa

    Uzi Maalum Kwaajili Ya Watu Wa Nahaw Swarfu Na Balagha

    Haya ndugu zanguni kwa wale waliosoma elimu za lugha ya kiarabu kama nahaw swarfu balagha tukutane hapa kwaajili ya kukumbushana baadhi ya mambo katika lugha, Tutumie jukwaa hili kwa manufaa sio tu malumbano.
  15. Rule L

    Uzi maalum wa kushare habari mbalimbali kuhusu ushamba kwenye vitu mbalimbali

    Mimi vitu vya kishamba ambavyo nimewahi kuviona ni kama ifuatavyo. 1. Hii ilikua kipindi Cha redio za cassette msukuma ameweka Kanda na amenyanyua antenna kana kwamba anasikiliza radio stations. 2. Mzee mmoja alipeleka radio kwa fundi ili apate radio taifa (tbc) maana zilikua zinasikika radio...
  16. ndege JOHN

    Uzi maalum wa picha za round about na junction mbalimbali za mikoa

    Tuonyeshe round about za mahali ulipo. Mimi naipenda sana ile ya Msamvu Moro yenye bibi na bwana na ile ya Singida yenye kuku na alizeti nyingine ndo hii ya mjusi wa Tendeguria Lindi panaitwa fisi.
  17. Kyambamasimbi

    Uzi maalum wa kupeana faraja hasa tuishio mbali na familia zetu. Tukitafuta Maisha ya kesho

    Habari wanajf. Binafsi Niko visiwa vya Haiti Marekani ya kaskazini. Kiujumla Maisha ndio yalinifanya nikafika huku, kwa sikuwahi kuwaza kuwa ntavuka visiwa vyetu vya Tanzania Yaani Pemba na Unguja. WATU WA HUKU(WAHAITI) Watu wa huku ni weusi ti Kama sisi huwezi kutofautisha na wasukuma...
  18. Mr Dudumizi

    Waziri Bashungwa simamia na kukamilisha miradi ya barabara za Dar au ujiuzulu na kumpisha anayeweza

    Niaje waungwana Huyu Mhe. Innocent Bashungwa, alikuwa ni miongoni mwa mawaziri wachache sana niliowaheshimu sana katika baraza hili la mawaziri wa raisi Samia. Kila alipopelekwa alionesha kupamudu vizuri kiutendaji, na kiusimamiaji lakini sasa huku alipoletwa sasa hivi (wizara ya ujenzi)...
  19. Lugoda lwa chuma

    Uzi maalumu kwa wafanyakazi wa miradi ya kikandarasi(watingaji) kwenye kampuni za kigeni.

    Habarini wana jamvi huu uzi ni mahususi kwa watingaji wote iwe umeajiriwa (yappi, chico, cce, crsg au kampuni nyingine yoyote inayo simamia mradi wowote wa ujenzi iwe barabara, reri, uwanja wa ndege au bwawa la umeme n.K .Tupeane changamoto,uzoefu na connections haijalishi wewe ni engeneer...
  20. Lugoda lwa chuma

    Uzi maalumu kwa wafanyakazi wa miradi ya kikandarasi (watingaji) kwenye kampuni za kigeni

    Habarini wana jamvi huu uzi ni mahususi kwa watingaji wote iwe umeajiriwa (YAPPI, CHICO, CCE, CRSG au kampuni nyingine yoyote inayo simamia mradi wowote wa ujenzi iwe barabara, reli, uwanja wa ndege au bwawa la umeme n.k. Tupeane changamoto, uzoefu na connections haijalishi wewe ni engeneer...
Back
Top Bottom