valentine

  1. Beesmom

    Tutakaoibuka valentine single tujuane hapa

    Mambo zenu wakuu? Tutakaoibuka valentine single and we never regret it. Big up to us. Japo kiugumuugumu kwangu aisee,..maana upweke nao nongwa lakin unakuwa umekwepa vingi viumizavyo. Yes am single mom again. (Kiukweli kinachoniponza ni hasira nikigundua kitu bas nareact and no retreat no...
  2. Kasie

    Thank you Valentine Babes For the Ride 😍😍

    Dear Valentine Babes....😘 Though am tired for the trip but am super exited for the next trip...🥰 I reserve all the stamina for April babes, am hyper than ever. My eyes are halfway open. Can’t say more than thank you darling Valentine for the surprise trip. Be blessed always 😘😘😘 This...
  3. Tonytonio

    Valentine's day

    Natumaini nyote wazima wa afya na mungu atuepushe na magonjwa yote hatarishi Amen! Wakuu hapa nina swali la kizushi. Yeyote mwenye wazo karibu :)! Kuna umuhimu gani wa kusheherekea siku ya valentine?!
  4. Sky Eclat

    Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    Hili ndilo vazi langu rasmi la siku ya leo ya Valentine

    Kwa kuwa mimi sio mtu wa wanawake, na mpenzi Sina, Basi leo nimegonga pamba zangu kali za timu yangu pendwa, niipendayo sana kutoka katika mji wa Baraka Mbeya City
  6. Inog01

    Mke wangu uko wapi? Nimechoka kuwa single nahitaji kuoa

    Habari wanajamvi.Nahitaji kuoa sasa. Nina miaka 29. Dini mkristo Kazi nimejiajiri. Nahitaji msichana atakayekuwa mke wangu Umri asizidi miaka 27 . Dini awe mkristo Akiwa mweupe ama maji ya kunde ni vizuri zaidi, asiwe chibonge. Niko serious aliyetayari ani PM tafadhari.
  7. M

    Hizi kampeni za Valentine's Day katika media za Tanzania zina tija gani kwa maendeleo ya Watanzania?

    Wiki hii kila ukifungulia tu Redio yoyote cha Kwanza utakachokutana nacho ni mambo ya Mahaba hasa kuelekea Siku ya Wapendanao (Valentine Day). Je, ina maana Media za Tanzania zinashindwa pia kwa Umoja wao huu huu (Media Agenda) basi wakawa Wanayasema yale ya Ukweli kuhusu Maisha ya Mtanzania...
  8. Mzizi Tanzania

    INAUZWA Ofa ya perfume msimu huu wa Valentine Day kwa Dar

    Jipatie ofa ofa ya perfume msimu huu wa Valentine Day kwa bei nafuu kabisa kwa ajili ya kunogesha siku ya wapendanao ukiwa na perfume bora kabisa! Tunapatikana -Mbezi Beach Dar unaweza kuweka order na kuletewa ulipo utachangia nauli kidogo. Wasiliana nasi kwanjia ya WhatsApp/Call/Text kwa...
  9. itel Mobile Tanzania

    Itel yazindua Promosheni ya 'Nogesha Valentine na itel'

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel imezindua kampeni ya promosheni ya ‘Nogesha Valentine na itel’ jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari hivi punde jijini Dar es Salaam meneja mahusiano wa itel Bw. Fernando Wolle amesema lengo la kampeni hiyo ni kuonesha upendo kwa wateja...
Back
Top Bottom