Badala ya watu kuabudu 'mungu' wao kazi ni maugaidi mpaka kwenye misikiti, karibu kila msikiti una handaki la kigaidi, inabidi ipigwe yote na kufanywa shamba.....
The 55th Paratroopers Reserve Brigade soldiers have been fighting in Khan Yunis over the past few weeks. IDF troops dismantled the...
Salaam Wakuu,
Nimekutana na Video ikimuonesha mchezaji wa PSG Kylian Mbappe akicheza mpira na Roboti. Kuna ukweli kuhusu video hii?
Tunaombeni ufafanuzi.
Video iliyosambaa mtandaoni
Jeshi la Polisi la Tanzania wanapaswa kuwa na Ueledi zaidi.
Tizama Video
Huyu ndugu yetu Hamza tusingempoteza.
https://youtube.com/shorts/6h1kmOlwE34?si=xwdoAccRSXkUmYeh
Hawa wanaisha hadi basi tu....
An Israeli fighter jet successfully assassinated Hamas leader Hassan Atrash, the IDF and Shin Bet announced on Saturday.
The assassination took place in the Rafah area in southern Gaza.
Atrash was responsible for the trade, production, and equipping of the...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli, aliwahi kupendekeza kufutwa utaratibu wa kutumia Watoto katika Siasa kwa kuwaita Chipukizi ambapo alihoji Watoto hao watakuwa na muda gani wa Kusoma endapo watakuwa katika masuala ya Kisiasa.
Hawa magaidi wa dini hizi hela wangezitumia vizuri wangebadilisha maisha ya Wapalestina, yaani miaka yote waliwekeza kwenye miundo mbinu ya kiugaidi tu. Israel wana kila haki ya kufyatua Gaza na kuifanya majivu, haiwezekani unaishi jirani na watu ambao kila siku wanawaza kukufuta kwenye ramani...
Kwa Uzi huu haina maana kwamba naunga Mkono Hamas, bali najaribu kuoanisha reaction ya Watanzania juu ya kutekwa na kuuawa kwa Mtanzania huko Israel na mamia ya watanzania waliookotwa Baharini na kusingiziwa kuwa Wahamiaji haramu.
Sipati picha ikiwa video za Wahanga wale tangu walipodakwa...
Niliwahi kusema hapa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki...
Mzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe...
Rais Biden amesema ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi kundi la Hamas litakapoangamizwa kabisa na kubakia raia Wema wa Palestine
Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas umefika
Source BBC news
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.