video

  1. Mjanja M1

    Video: Wanaume tuwe makini na Wadangaji

    Huyu Mwanamke anasema kuwa alitoa Mbususu na akamuwekea madawa Mchizi ili Rungubesh lisizi. ANGALIA VIDEO HAPA SIJUI KAMA ANA WAZAZI HUYU
  2. Mjanja M1

    Video: Huyu ndio Mwanamke asietaka kumpikia Mume wake

    Wengi mnamjua kama Diva The Bawse, huyu Mwanamke anajiita Rihanna na pia bila kusahau anajiita Beyonce. Huyu Beyonce wa Bongo hataki kumpikia wala kumfulia Mume wake, kwa mujibu wa hii Video. ANGALIA VIDEO HAPA 📹 ZamaradiTv
  3. Mjanja M1

    Special Thread: Video za udambwi/manjonjo kwenye mpira wa miguu

    Wanasema mpira sio kushinda magoli tu, bali mpira ni kujua kuuchezea na kuutawala. Huu ni uzi maalumu wa kutupia video za udambwi dambwi wa mastaa kwenye ulimwengu wa mpira wa miguu. Mimi naanza na hawa viumbe wawili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo DONDOSHA NAWEWE CLIP YA VIDEO...
  4. MK254

    Video: Vijana wa Kipalestina waingia barabarani wakilaani HAMAS

    Kumekucha, wameanza kutia akili, kimsingi haitokuja waue Wayahudi wote, hivyo lazima wakubali kuishi kwa amani. Kila nikikumbuka picha ya huyu mwamba huwa nacheka sana, alidhani vita ni zile movie za kihindi https://www.instagram.com/reel/Cz_c9SDt4TH/ https://www.instagram.com/reel/Cz_c9SDt4TH/
  5. Mjanja M1

    Pre GE2025 Video: Makonda aingia Kahama na Greda la kuchongea Barabara

    Hivi ndivyo Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo (CCM), Paul Makonda alivyoingia Kahama Mkoani Shinyanga leo January 27,2024 akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake. Nini maoni yako? 📹 AyoTv
  6. Mjanja M1

    Video: Mwizi kapatikana, kwa adhabu hii harudii tena

    Wananchi wamemwambia Mwizi "sisi hatukupigi hata kidogo, ila we amisha maji kwenda ndoo nyingine kisha ondoka". ANGALIA VIDEO HAPA Nini maoni yako?
  7. Mjanja M1

    Video: Penzi la Kitanga lamnenepesha Haji Manara

    Haji Manara aendelea kuneemeka na penzi la Mke wake Zailyssa, kupitia ukurasa wake wa Insta Haji Manara ame-share video inayomuonyesha akifanyiwa usafi wa miguu na Mke wake Zailyssa. Ameandika Manara, "Kupendwa Raha nyie, Siku mbili tu nimeongezeka kilo kumi dadadeki, Sijui nilichelewa wapi...
  8. Mjanja M1

    Video: Mama wa kambo awatesa watoto wa kufikia (Inasikitisha sana)

    Hili ni tukio la kweli. UNYANYASAJI KWA WATOTO NI KOSA KISHERIA, TOA TAARIFA UNAPOONA MATUKIO YA NAMNA HII KWENYE JAMII.
  9. R

    Kwanini Mchambuzi wa video wa Simba yupo hadi sasa?

    Simba ni club ya kwanza Tanzania kusajili Mchambuzi wa video(video analysis) aliyetokea nchini Zimbabwe. Kabla ya mechi ya Simba na Kaizer Chief wachambuzi wakubwa Afrika walieleza sifa kubwa ya Kaizer Chief ni kufanya counter attack na kufunga kupitia cross au kona. Tulipocheza nao tulifungwa...
  10. Mjanja M1

    Video: Benki wameingia cha kike baada ya kutoa mkopo wa 50 Milioni

    Utapeli ni janga kwenye jamii yetu, angalia hapa jinsi jamaa alivyowatapeli Benki mkopo wa 50 Million. Nini maoni yako?
  11. Mjanja M1

    Video: Hii ndio maana halisi ya Fear Women

    Wanawake sio watu wa mchezo mchezo, kuwa makini sana na kiumbe kinachoitwa Mwanamke. ANGALIA VIDEO HAPA
  12. Mjanja M1

    Video: Utukutu wa Messi uwanjani

    Angalia hapa jinsi Lionel Messi anavyoleta usumbufu uwanjani. Nini maoni yako?
  13. Mjanja M1

    Video: Manara na Chawa wake wakimshambulia Dulla Makabila

    Haji Manara ameamua kuungana na Dotto Magari kumshambulia aliekuwa Ex wa Mke wake Dulla Makabila. Angalia video hapa Nini maoni yako? Written by Mjanja M1
  14. Mjanja M1

    Video: Padri ampiga mtoto kofi

    Angalia hapa jinsi Padri alivyompiga mtoto kofi kwenye madhabahu.
  15. Mjanja M1

    Pre GE2025 Video: Makonda alivyoingia na Mkokoteni wilayani Hai

    Angalia hapa jinsi Makonda alivyoingia kwenye mkutano na Mkokoteni wa Ndizi. Nini maoni yako? 📹 WasafiTv
  16. Mjanja M1

    Video: Mchungaji Pilipili akiwa Club

    Mchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata. Nini maoni yako?
  17. Mjanja M1

    Video: Kijana atoa uhai wake kwa kujirusha baharini

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri Bahari Zanzibar Shekha Ahmed Mohamed, amekiri kupokea taarifa za kujirusha baharini kwa kijana huyo Mahmoud Mwalim Saleh ‘30’ wakati akiwa kwenye Boti ya Zanzibar 3 iliyokua ikitokea Pemba kurejea Zanzibar Tukio hilo limetokea majira ya saa 4:30 asubuhi...
  18. FRANCIS DA DON

    Nimeona video ya kijana akijirusha kwenye boat ya Zanzibar fast ferries, nini kilijiri?

    Video hiyo hapo Update: 28/01/2024 https://www.instagram.com/p/C2kWfSMtkKS/?igsh=NTc4MTIwNjQ2YQ==
  19. Mjanja M1

    Umegundua nini kwenye hii video ya maaskari

    Umegundua kitu gani kwenye hili Gwaride la maaskari.?
Back
Top Bottom