Najua jukwaa lenu lina mashabiki kindaki ndaki wa either simba au yanga.
Yaani yeye na simba au yeye na Yanga.
Haya hebu tutajane hapa ili tujuane.
kuna watu wanaojulikana kabisa na wengine hawajulikani ila wanaweza kujitaja tu wenyewe
NAANZA MIMI 1:YANGA
Rais Joe Biden ametetea uamuzi wake wa kuondoa Vikosi vya Marekani Nchini Afghanistan. Rais huyo amekosolewa kwa kiasi kikubwa kutokana na namna Vikosi vya Taifa hilo vilivyoondoka.
Hata hivyo, katika hotuba yake Biden amesema kuendelea kukaa zaidi halikuwa suala lililohitaji mjadala na hakuwa...
On 20th August Opposition fighters loyal to Afghanistan's ousted government retake three northern districts from the Taliban just days after the Islamist group reestablished its control over most of the country.
The Taliban swept through Afghanistan, taking most of its 34 Afghan provincial...
Inaitwa Afghanistan the graveyard of Empires
USSR walikuwepo miaka ya 80 wakashindwa na Mujahdeen (wakisaidiwa na USA)
Taliban wakaingia mwishoni mwa miaka ya 90 ikawa rasmi sasa ni Unstable, Rogue state, safe heaven for radical, extremist terror group kama Alqaeda wakajitanua mpk maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.