Kuna wageni wanalalamika kuwa zaidi ya wiki sasa kila wakijaribu kuomba e-visa wanakuta website ipo down; wahusika tunaomba mcheki tafadhali
Mwingine kaandika hivi
"May I please ask for your help on who we can email or call to check on the evisa portal? We are trying to access the website but...
Habarini wakubwa wa kazi,maandalizi ya watani kunyoana kesho nadhani yanaenda kwa kasi nzuri….Rada za huku kwangu zinasoma kwamba bado tabu iko palepale,ila mwishoni mwa ligi watakaoteseka kesho watafurahia.
Binafsi ninapenda sana kushare mambo mbalimbali kuhusu maisha ya kila siku katika mfumo...
Miaka hiyo nikiwa ni kijana mwenye nguvu, walikuja kijijini kwetu jamaa wawili wameongozana na MZUNGU. Muda wote MZUNGU yuko kimya tu, zaidi ya salamu yake ya Jambo Toto, hata wazee aliowakuta aliwasalimia hivyo.
Jamaa wakatoa photo album iliyokuwa na picha ya vitu kadhaa walivyokuwa...
😶🌫️ - hii inapiga chabo kwa dirisha
😩 - Iko kwenye sexy vile inaona raha
🏃 - imetoka fumaniwa na mke/mume wa mtu
😂 - inachekea salio jipya kwa m-pesa
😭 - inalia vile inamdanganya mtu kwenye mahuy
🤧 - imechapwa shule venye inarudi
😕 - hii mdada ilitumiwa pesa kwa makosa kabla ya kutoa...
Hello Niko interested kutembelea nchi hapo juu za Africa kaskazini kwa utalii.
Ningependa kujua visa za nchi hizo zinapatkana wapi kama kwenye mabalozi au evisa na kwa gharama gani?
Niko Tanga, Tanzania
Nb:Nimejaribu kuangalia website zao mtandaoni sioni details zaidi.
Ningependa kwa wenye...
Hawa wamba ndio walikuwa wakileta burdani sana enzi hizo hamna Facebook Instagram Tiktok wala Youtube.
Unavyokaribia mwanzo wa mwaka mnasubiri kwa hamu toleo la jarida jipya lililobeba katuni zilizojaa visa na vitimbi vya hao wamba. Mwanzo wa mwaka kama hivi jarida linakuwa tayari limeshatoka...
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf amesitisha shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Lumuka uliyopo Kijiji cha Dirifu, Manispaa ya Mpanda kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Kipindupindu uliozuka katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo.
Agizo hilo amelitoa mara baada ya...
Heshima kwenu waungwana👊,
Tushare visa tulivyowahi kufanyiwa na wanawake/mademu zetu na namna tulivyovikabili ili tuongeze maarifa ya kuishi na hawa viumbe waliotusengenya na shetani pale Edeni 😅.
Mie naanza vya kwangu:
👉 Miaka iliyopita, nilikuwa nakula demu mmoja hivi wa kinyaturu. Huyu...
Haya ni mabadiliko muhimu na maelezo zaidi kuhusu taratibu za visa kwa mwaka 2025:
1. Mabadiliko ya Ada za Visa
Marekani: Ada za visa ya kawaida ya watalii (B1/B2) zimeongezeka kutoka $160 hadi $185. Visa za wanafunzi (F1) sasa ni $210.
Uingereza: Visa za masomo zimeongezeka kwa asilimia 10...
Ofisi ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) nchini Uganda imesema visa vya Mpox nchini humo vimezidi 800, ongezeko kutoka jumla ya visa 495 vilivyoripotiwa kufikia Novemba 20.
The World Health Organisation (WHO) country office has said Mpox cases in Uganda have surpassed 800, an increase from a...
Mimi sijui kusimulia vyema. Ila habari imekaa kiutata sana hasa ukizingatia BBC wanavyojua kuconceal information.
Wanadai alisababisha "disturbance" kwenye ndege iliyotakiwa kumrudisha baada ya kukamatwa.
Chanzo ni BBC
Hata wakati wa Mtume, mateso yalikuwa makubwa lkn uislam umeenea licha ya mateso. Mfano
1. Bilal bin Rabah (R.A)
Aina ya Mateso:
Kupigwa vibaya.
Kulazwa kwenye mchanga wa moto wa jangwani huku jiwe kubwa likiwekwa kwenye kifua chake.
Kupigwa mijeledi.
Aliyemtesa:
Umayyah bin Khalaf...
YAH: UTOAJI WA HUDUMA YA VISA ON ARRIVAL KUINGIA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuwajulisha wageni na wadau wote kuwa haijasitisha utoaji wa Visa kwa wageni kwenye vituo vya kuingilia na kutoka nchini.
Hata hivyo, Idara ya Uhamiaji Tanzania...
Katika uchunguzi mpya, imefahamika kwamba kumekuwa na udhalilishaji na madhila makubwa yanayowakumba watu wanaowadaiwa na wakopeshaji wa mitandaoni
Mmoja wa waathirika wa mikopo hiyo, Jackline Meena, anasema alikopa Sh. 50,000 lakini alilipa Sh. 250,000 na waliendelea kumdai na alipogoma kulipa...
Services offered:
1. Visa Consultation: We provide guidance on visa requirements, eligibility criteria, and application procedures for various countries.
2. Application Assistance: We help applicants complete visa application forms accurately and gather required documents.
3. Documentation...
Kama kichwa cha habari hapo juu
Nimeilipia huduma Fulani mitandaoni naona gharama ni kubwa sana ni kwamba voda huwa wanakata makato yao wa huduma ama ndio hali iliyopo
Katika muda huu wa mchana, bwana Cllint, mmiliki wa kampuni ya ujenzi, yuko kazini kama kawaida.
Anapopata nafasi anampigia simu mkewe, Joanna, na kumweleza ya kwamba leo atawahi kurudi nyumbani ili wawe pamoja kwasababu mwanamke huyo hatokuwepo weekend.
Haipiti muda Clint anampokea mgeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.