visa

  1. S

    Unafanyeje biashara kipindi hiki cha Corona?

    Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu! Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha! Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
  2. Sky Eclat

    Mchepuko atendae visa vya kutikisa ndoa

    Huyu kaka mstaarabu flani umri 39. Amepata uhamisho kwenda Dodoma. Huku Dar alijiweka vizuri, mke wake ana pika mama ntilie lakini ni wale mama ntilie wa kishua ana pick up yake ya kuendea machinjioni na kwenye soko la ndizi. Jamaa amafika Dodoma alikaa guest house wiki moja, wiki ya pili...
  3. Analogia Malenga

    Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

    Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10. Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona. Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
  4. K

    Rekodi zaonyesha tumeonewa kwenye hili la Visa

    Rekodi zinaonyesha sababu ya eti Watanzania wapewe zuio la viza kwa sababu hawarudi si la kweli kuna nchi nyingi sana wanatuzidi. Kuna sababu nyingine za siri https://www.dhs.gov/immigration-statistics/yearbook/2018/table27 https://www.dhs.gov/immigration-statistics/yearbook/2018/table34...
  5. Kurzweil

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani) Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na...
  6. budebajr

    Uwakala wa soko la utalii na usafiri wa ndege (Travel & tours)

    Tujuzane machache soko la utalii tunalionaje, kuanzia miaka ya nyuma na hivi sasa hususani ukuaji, maeneo yanayokua, changamoto, muamko wa wazawa (Watanzania) na hata ongezeko la watalii kutoka nje ya nchi.
  7. X

    Kupata visa

    Kwa wanaohitaji aina yoyote ya visa ya marekani, Canada au schengen (Belgium, Germany, Italy, France, Norway ,Sweden, Denmark. Etc) ni PM tunakusaidia kuprocess visa, maandalizi ya interview, kupata invitation letter, hotel booking, flight booking..karibuni sana Kama unaswali lolote usisite kuuliza
  8. Miss Zomboko

    Visa vya ugonjwa wa Surua duniani vyazidi kuongezeka

    Chanjo Takriban watu 140,000 hufariki duniani kutokana na ugonjwa wa surua au ukambi huku ulimwengu ukishuhudia ongezeko la maambukizi ya ugonjwa huo. Bara la Afrika linasadikiwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo (52,600) kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, WHO...
  9. aleesha

    Kwa nini ikitokea visa vya mauaji Zanzibar wahusika ni watanganyika?

    KIJANA mmoja alietambulikana kwa jina la Noel Jengeni Mlilo mwenye umri 27, mkazi wa shehia ya Wawi wilaya ya Chakechake, na mwenyeji wa Mkoa wa Songwe Tanzania bara, amekutikana kichakani akiwa amefariki, shehia ya Mtuhaliwa wilaya ya Mkoani Pemba. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kaka...
  10. D

    Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, imetangaza rasmi ushirikiano wa kimkakati kati yao na Maxcom Afrika

    Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, imetangaza rasmi ushirikiano wa kimkakati kati yao na Maxcom Afrika ambayo itawawezesha wauzaji zaidi ya 30,000 kupokea malipo ya Visa kwa kutumia simu ya mkononi pamoja na mawakala 20,000 ambao watawezeshwa kupokea amana na kutoa malipo na...
  11. M

    Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivyo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Back
Top Bottom