visa

  1. Influenza

    Uganda: Visa 24 vya madereva wa malori vyaongezeka, wakiwemo Watanzania 6. Jumla ya visa vya COVID19 vyafikia 227

    Jana, Mei 16, 2020 Uganda imetangaza visa vipya 24 vya COVID19 vimeongezeka na vyote vikiwa ni vya Madereva wa Malori na kufanya jumla ya visa kufikia 227 Wizara imesema jumla ya sampuli 2,598 zimepimwa kati ya hizo; 2,044 ni za Madereva wa malori na 554 ni za Wakazi wa Uganda ambapo zote 554...
  2. FRANC THE GREAT

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Habari! Karibu ili kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China. Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada...
  3. Influenza

    Visa vipya 43 vya COVID19 vya madereva wa malori vyathibitishwa Uganda. Wapo Watanzania Watano

    Jana, Mei 15, 2020 Uganda imetangaza visa vipya 43 vya #COVID19 vimeongezeka na vyote vikiwa ni vya Madereva wa Malori na kufanya jumla ya visa kufikia 203 Wizara imesema jumla ya sampuli 2,558 zimepimwa kati ya hizo; 1,838 ni za Madereva wa malori na 720 ni za Wakazi wa Uganda ambapo zote 720...
  4. beth

    Visa vipya 23 vya Coronavirus vyatangazwa, idadi ya wagonjwa yafikia 781

    Kenya on Friday recorded 23 new cases of Covid-19, raising the country's total number to 781, Health CAS Rashid Aman has said. This is out of the 2,100 samples that were tested in the last 24 hours. 11 of the cases were from Nairobi, Mombasa (5), Kajiado (3) with Kiambu and Wajir with two...
  5. FRANCIS DA DON

    Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

    Tumepata taarifa kupitia vyombo mbali mbali vya kimataifa juu ya nchi kadhaa zilizoweka total lockdown na baada ya uchumi kuyumba na njaa kuwa kali wakaamua kuondoa lockdown, kisha visa vya Corona vikashoot juu kwa kasi kwa mara nyingine tena, na sasa wanafikiria kurudisha tena lockdown. Nchi...
  6. J

    Visa alivyo kutana navyo mwalimu Nyerere Part 2

    Tunaendelea wanajamvi! Basi, Mwaka mmoja Nyerere alikuwa anatoka India aliko kwenda kikazi kuzungumza na aliye kuwa Waziri mkuu wa Nchi hiyo na Mwenyekiti wa non aligned countries.wakati anarudi alitua kwa muda Jomo Kenyatta international airport. Waandishi wa Habari walipo fahamishwa kuwa...
  7. J

    Mwalimu Nyerere na visa alivyokutana navyo

    Morning friends! Basi, mwaka mmoja Mwalimu alifanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara. Jioni ya siku ya kwanza baada ya shughuli za mchana kutwa akarudi kupumzika pale Shangani, Ikulu ndogo. Akiwa chumbani kwake akashangaa kuona binti maridadi sana anapanga panga vitu. Mara arekebishe...
  8. Analogia Malenga

    China imeripoti visa vipya, mji wa Wuhan watangaza kisa kimoja

    China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja - Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10...
  9. Influenza

    Zanzibar yatangaza ongezeko la Wagonjwa 29 wa COVID19. Jumla ya visa visiwani humo yafikia 134 (Mei 07, 2020)

    Wizara ya Afya Zanzibar imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya 29 wa #COVID19 na kufanya idadi ya maambukizi visiwani humo kufikia 134. Wagonjwa wote waliotangazwa leo ni Watanzania Pamoja na ongezeko hilo, Wizara pia imesema wagonjwa wengine watano wamefariki dunia na 11 wamepona na kufanya...
  10. beth

    #COVID19 Visa vya Coronavirus vyafikia 89 baada ya dereva mwingine kukutwa na maambukizi

    Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa COVID19 nchini humo na idadi ya visa imefikia 89. Mgonjwa mpya ni dereva, raia wa Kenya aliyegundulika baada ya sampuli 2,729 za madereva malori kufanyiwa vipimo. Aidha, Wizara hiyo pia imeeleza kuwa madereva wawili wa malori...
  11. Analogia Malenga

    Kenya: Visa vya #coronavirus vyafika 465, na vifo 24

    Kenya imetangaza visa vuipya 30 vya #COVID19 na kufanya kuwa na jumla ya watu 365 waliothibitika kuwa na #CoronaVirus. Visa hivii vimepatikana kati ya sampuli 883 zilizopimwa saa 24 zilizopita Wizara imetangaza vifo vya watu wawili zaidi na kufanya vifo kufikia 24. Watu 15 wakiripotiwa kupona...
  12. Analogia Malenga

    Urusi: Yaripoti visa vipya zaidi ya 10,000 vya #covid19

    Idadi ya jumla ya walithibitishwa kuwa na #CoronaVirus Urusi imfikia 134,687 baada ya watu 10,633 kuthibitika kuwa na #CoronaVirus ndani ya masaa ishirini na nne. Pia jumla ya vifo 1,280 vimerekodiwa 50% ya waliothibitika kuwa na #CoronaVirus hawakuonyesha dalili za kuugua ugonjwa huo Awali...
  13. Craig

    Uzi kwa ajili ya walioahirisha mipango yao kwa sababu ya visa vya Corona

    Habari za Mapambano wadau wote wa JF, Nimatumaini yangu kuwa wote tunaendealea kupambana Dhidi ya ugonjwa huu wa mlipuko CORONA. Ama baada ya Salamu lengo la Uzi huu Ni kujua wale wote walioathirika na ugonjwa huu kupelekea kuahirishwa kwa malengo/mipango yao Tena waliyoipanga kwa muda...
  14. Analogia Malenga

    Japan: visa vipya 236 vya #covid19 vyarekodiwa

    Japani imetangaza visa 236 vipya vya #CoronaVirus na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya visa 14,800. Hadi sasa nchi hiyo ina vifo 428 Mfmo wa afya wa nchi hiyo unachangamoto ya kutoa huduma. 90% ya maombi ya waliotaka kupimwa yamekataliwa, hali inayofanya watu kuachana na hospitali === Japan...
  15. Analogia Malenga

    Kenya yatangaza visa 8 zaidi vya corona

    Kenya imetangaza visa vipya vya #CoronaVirus 8 na kufanya idadi ya jumla ya visa vilivyoripotiwa kufikia 363 Wagonjwa hao, wote hawana historia ya kusafiri kwenda nje ya nchi Wizara ya afya imetangaza pia watu 8 waliopona na kufanya idadi ya waliopona #COVID19 kufikia 114 ==== Kenya on...
  16. mulwanaka

    #COVID19 Madereva wanne zaidi wa Tanzania wemekutwa na Covid-19 nchini Uganda

    Uganda has confirmed 4 new COVID_19 cases out of 1,989 samples tested on Sunday 26th April. All patients are Tanzanian truck drivers who arrived via Mutukula border, Ministry ofHealth says. 411 samples from communities tested. Uganda’s total confirmed cases are now 79. [emoji832]4 new COVID-19...
  17. Suley2019

    Visa vipya zaidi ya 5,000 vya maambukizi vyaripotiwa nchini Urusi

    Idadi ya watu walioambukizwa rasmi virusi vya Corona nchini Urusi imefikia 68,622, baada ya kuripotiwa visa vipya 5,849 vya virusi hivyo, ikilinganishwa na Alhamisi, mamlaka ya afya nchini Urusi imebaini. Watu sitini zaidi wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19, na kufikisha idadi ya...
  18. Analogia Malenga

    UAE: Vifo viwili zaidi na visa 477 vya #covid19 vyaripotiwa

    Wizara ya Afya ya Umoja wa Falme za kiarabu imetangaza visa vipya 477 na vifo viwili vya #CoronaVirus, idaid hiyo inafanya jumla ya visa nchini humo kuwa 6,302 na vifo kuwa 37 Pia watu 93 wamepona, na kufanya idadi ya waliopona kuwa 1188. Msemaji wa Wizara, Dkt Farida Al-Hosani alisema idadi...
  19. S

    Israel: Visa vya corona vyafikia zaidi ya 10,800, vifo zaidi ya 100; Uhaba wa vifaa vya kupimia watawala

    Taifa teule la Israel laendeleza mapambano dhidi ya corona huku likiwa limerikodi visa zaidi ya 10,800 na vifo 103. Hata hivyo maabara za nchi hiyo zimekumbwa na uhaba wa vifaa vya kupimia corona, na hivyo kupunguza upimaji wa watu wenye kuonesha dalali za ugonjwa huo. Mamlaka yatarajia kuanza...
  20. Miss Zomboko

    China yaripoti visa vipya vya corona 62 na vifo 2

    Mamlaka ya afya nchini China imethibitisha visa vipya 62 vya maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Covid-19, ambapo janga hilo lilizuka mwezi Desemba mwaka jana. Siku moja kabla watu 32 waliambukizwa virusi vya Corona, kwamujibu wa mamlaka ya afya. Vifo viwili vya nyongeza...
Back
Top Bottom