Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA .
SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika...
Thousands of jubilant England fans gave up on wearing face masks and caring about social distancing in the fight against Covid last night as they poured out of Wembley following the Three Lions’ nail-biting Euro 2020 semi-final victory over Denmark.
More than 66,000 people packed the stands in...
1. Akikuomba hela au vocha ukimtumia hakwambii kama amepata mpaka umpigie simu na usipopiga simu anapiga kimya
2. Akikosea au kukosea ukimweleza ukweli hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atapiga kimya.
3. Makosa mengi yanayotokea katika mahusiano yenu anakusingizia wewe ndio chanzo na makosa...
wanaume wa aina hii wapo wengi
Sasa ukikutana na mwanaume wa aina hii ujue kuna kitu
labda anataka muachane au ana mchepuko ama ni hulka yake tu kuwa mkorofi.
Visa huwa haviishi sasa unatakiwa ujue jinsi ya kuishi naye;
Mfano akianzisha ugomvi fanya kumuacha aendelee ili umsaidie kutoa yote ya...
Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na work permit wala Business visa.
Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara.
---
Tanzanian investors intending to set up businesses in Kenya will not be asked for visas or work permits...
CHOMBEZO:
PAULA MFARANSA MWENYE VISA
SEHEMU YA KWANZA
Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507
Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye kukera kiasi. Naamka kivivu kitandani kama nimelazimishwa. Nasikilizia viungo vya mwili vinavyokataa...
VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN
5 February 2016
Sakina Shabbir Manji
Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
India imerekodi visa 200,739 ndani ya saa 24 zilizopita huku Hospitali nyingi zenye wagonjwa wa Virusi vya Corona zikiripoti uhaba wa vitanda na Oxygen
Taifa hilo linakabiliwa na wimbi jipya la maambukizi ambalo kitovu chake ni Maharashtra, lilipo Jiji la Mumbai. Zaidi ya robo ya maambukizi ya...
Ni kwema wazawa?
Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale Ubalozini wanipe Visa smoothly.
Kwa hivyo kama kuna agent...
Mwenye uzoefu wajuvi wa kujaza hizi fomu za Express Visa Canada. Naomba anicheki. Hela ya usumbufu ipo. Anayehitaji anahitaji haraka iwezekanavyo.
UPDATED: Mdau hapo chini Mung Chris amefanikisha. Suala closed.
Mwaka fulani huko nyuma, kama matani hivi kuna mwanaume mmoja alianza kunitongoza lakini nikawa namkatalia kwa sababu mbili
1,Alikuwa na mke na familia yake
2,Alinizidi umri kwa mbali mnoo kama 25 hivi
Kwa kuwa wanaume hawachoki alinishawishi kwa zawadi mbalimbali mpaka nikajikuta namkubali na...
PART I
Katika harakati za kutafuta maisha kuna mengi sana ambayo wanaume tunapitia. Leo ntawaelezea visa na mikasa ambayo nlipitia toka nimemaliza kidato cha nne mwaka 1995. Mambo haya yametokea nikiyaona na pia nikihusika.
Mimi ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto 7. Nikiwa na dada...
Siku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania.
https://www.whitehouse.gov/briefing-room/presidential-actions/2021/01/20/proclamation-ending-discriminatory-bans-on-entry-to-the-united-states/
====
Januari 30, 2020 serikali ya Donald Trump ilitangaza kuwawekea...
Wanabodi,
Siku moja tu baada ya kuachia nafasi yake serikalini, Waziri wa mambo ya nje (secretary of state) wa Marekani aliyemaliza muda wake, Mr Mike Pompeo, pamoja na jamaa wangine waliokuwa kwenye serikali ya Trump, wamewekewa zuio la kuingia nchini China.
Pompeo ambaye siku ya mwisho ya...
Visa Restrictions on Tanzanians for Undermining the Democratic Process and Human Rights
Credit: MICHAEL R. POMPEO, SECRETARY OF STATE
JANUARY 19, 2021
''Today, the United States is announcing visa restrictions on Tanzanian officials responsible for or complicit in undermining Tanzania’s...
Mkuu wa shirika la polisi la Ulaya, Catherine De Bolle, amesema visa vya uhalifu wa kuwadhalilisha watoto kingono mitandaoni vinaongezeka kwa kipindi hiki cha vizuizi kutokana na janga la Corona. Akiita hali hiyo kuwa ni ya hatari.
Ripoti iliyochapishwa na shirika la polisi la Ulaya, Europol...
Habari Wakuu. Kwa Wahenga na wale kizazi kipya kuna matukio yalitokea, kama si kumbukumbu za vyombo vya habari, basi anayekusimulia,utamuhisi amekopi sinema fulani na si uhalisia ulotokea Tanzania. Baadhi ya Matukio hayo ni pamoja na
1.Toleo la kwanza: Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza...
Wakuu,
Ningependa kwenda kutalii nchini Oman katika nchi tajwa hapo juu. Naomba nipatiwe0utaratibu wa kuomba visa,na ikiwezekana na gharama za nauli na malazi kwa wiki tatu.
Natanguliza shukrani.
Takriban visa vipya 103,000 vya maambukizi ya COVID-19 vimeripotiwa nchini #Marekani ndani ya saa 24, huku hekaheka za Uchaguzi zikidaiwa kuchangia ongezeko hilo
Hii ni rekodi kubwa tangu Septemba 4 ikiwa ni siku 2 baada ya Uchaguzi wa Urais, kulingana na takwimu zilizotolewa na Chuo cha Johns...
Wakuu habari,
Ni nchi gani ya Europe ambayo mtanzania akitaka kwenda kwa matembezi mafupi visa yake haina gharama kubwa sana. Nyingi naona zinahitaji insurance ambayo ni euro 30000 ambayo ni kubwa sana.
Tusaidiane wenye experience.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.