visa

  1. mwilawi

    Msaada kuhusu malipo kwa visa card za bank

    Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA . SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika...
  2. Miss Zomboko

    Michezo ya Euro yaongeza maambukizi ya Covid19. Visa vyakadiriwa kufikia 100,000 kwa siku

    Thousands of jubilant England fans gave up on wearing face masks and caring about social distancing in the fight against Covid last night as they poured out of Wembley following the Three Lions’ nail-biting Euro 2020 semi-final victory over Denmark. More than 66,000 people packed the stands in...
  3. Kifaru86

    Visa 5 vya Mwanamke asiyekupenda kwa dhati

    1. Akikuomba hela au vocha ukimtumia hakwambii kama amepata mpaka umpigie simu na usipopiga simu anapiga kimya 2. Akikosea au kukosea ukimweleza ukweli hawezi kukuomba msamaha zaidi zaidi atapiga kimya. 3. Makosa mengi yanayotokea katika mahusiano yenu anakusingizia wewe ndio chanzo na makosa...
  4. Ethan Cruz

    Jinsi ya kuishi na mwanaume mkorofi mwenye visa na gubu

    wanaume wa aina hii wapo wengi Sasa ukikutana na mwanaume wa aina hii ujue kuna kitu labda anataka muachane au ana mchepuko ama ni hulka yake tu kuwa mkorofi. Visa huwa haviishi sasa unatakiwa ujue jinsi ya kuishi naye; Mfano akianzisha ugomvi fanya kumuacha aendelee ili umsaidie kutoa yote ya...
  5. YEHODAYA

    Rais Kenyatta aruhusu Watanzania kuanza kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na Work Permit wala Business visa

    Kigelegele kwa Kenyatta aruhusu watanzania kuanzia sasa ruksa kufanya kazi na biashara Kenya bila kuwa na work permit wala Business visa. Kasema mida hii mkutano wa wafanya biashara. --- Tanzanian investors intending to set up businesses in Kenya will not be asked for visas or work permits...
  6. Eng Kimox Kimokole

    Chombezo: Paula Mfaransa mwenye visa

    CHOMBEZO: PAULA MFARANSA MWENYE VISA SEHEMU YA KWANZA Mtunzi: Eng. Kimox Kimokole - 0786507507 Ni asubuhi njema sana yenye kajimvua ka kiaina kanakosababisha kuwepo na hali ya vuguvugu lenye kukera kiasi. Naamka kivivu kitandani kama nimelazimishwa. Nasikilizia viungo vya mwili vinavyokataa...
  7. Red Giant

    Mtanzania hahitaji Visa kuingia katika nchi hizi

    VISA FREE DESTINATIONS FOR A TANZANIAN 5 February 2016 Sakina Shabbir Manji Most countries require a Visa with your Tanzanian passport in order to enter. However there are some visa free countries that will allow you to enter their premises without a visa or will provide you with one as soon as...
  8. beth

    India yarekodi visa 200,000 kwa Virusi vya Corona kwa mara ya kwanza

    India imerekodi visa 200,739 ndani ya saa 24 zilizopita huku Hospitali nyingi zenye wagonjwa wa Virusi vya Corona zikiripoti uhaba wa vitanda na Oxygen Taifa hilo linakabiliwa na wimbi jipya la maambukizi ambalo kitovu chake ni Maharashtra, lilipo Jiji la Mumbai. Zaidi ya robo ya maambukizi ya...
  9. LaRosa

    Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

    Ni kwema wazawa? Ninasafari ya kwenda either Belgium, German, Holland, Sweden e.t.c yani almost Western Europe huko nina project yangu naipush na ninatakiwa kufika huko niianze from scratch but sina tangible reason ya kuwaconvince pale Ubalozini wanipe Visa smoothly. Kwa hivyo kama kuna agent...
  10. Dr Rutagwerera Sr

    Msaada kujaza fomu za Express Canada Visa

    Mwenye uzoefu wajuvi wa kujaza hizi fomu za Express Visa Canada. Naomba anicheki. Hela ya usumbufu ipo. Anayehitaji anahitaji haraka iwezekanavyo. UPDATED: Mdau hapo chini Mung Chris amefanikisha. Suala closed.
  11. cutelove

    Tuliowahi kudate na waume za watu tukutane hapa tusimuliane visa tulivyowahi kukutana navyo

    Mwaka fulani huko nyuma, kama matani hivi kuna mwanaume mmoja alianza kunitongoza lakini nikawa namkatalia kwa sababu mbili 1,Alikuwa na mke na familia yake 2,Alinizidi umri kwa mbali mnoo kama 25 hivi Kwa kuwa wanaume hawachoki alinishawishi kwa zawadi mbalimbali mpaka nikajikuta namkubali na...
  12. Chizi Maarifa

    Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    PART I Katika harakati za kutafuta maisha kuna mengi sana ambayo wanaume tunapitia. Leo ntawaelezea visa na mikasa ambayo nlipitia toka nimemaliza kidato cha nne mwaka 1995. Mambo haya yametokea nikiyaona na pia nikihusika. Mimi ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto 7. Nikiwa na dada...
  13. Analogia Malenga

    Joe Biden aondoa vikwazo vya Viza ya bahati nasibu kwa Watanzania

    Siku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania. https://www.whitehouse.gov/briefing-room/presidential-actions/2021/01/20/proclamation-ending-discriminatory-bans-on-entry-to-the-united-states/ ==== Januari 30, 2020 serikali ya Donald Trump ilitangaza kuwawekea...
  14. UmkhontoweSizwe

    China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

    Wanabodi, Siku moja tu baada ya kuachia nafasi yake serikalini, Waziri wa mambo ya nje (secretary of state) wa Marekani aliyemaliza muda wake, Mr Mike Pompeo, pamoja na jamaa wangine waliokuwa kwenye serikali ya Trump, wamewekewa zuio la kuingia nchini China. Pompeo ambaye siku ya mwisho ya...
  15. Wacha1

    Visa Restrictions on Tanzanians

    Visa Restrictions on Tanzanians for Undermining the Democratic Process and Human Rights Credit: MICHAEL R. POMPEO, SECRETARY OF STATE JANUARY 19, 2021 ''Today, the United States is announcing visa restrictions on Tanzanian officials responsible for or complicit in undermining Tanzania’s...
  16. Miss Zomboko

    Visa vya uhalifu wa kuwadhalilisha watoto kingono mitandaoni vinaongezeka kwa kipindi hiki cha janga la Corona

    Mkuu wa shirika la polisi la Ulaya, Catherine De Bolle, amesema visa vya uhalifu wa kuwadhalilisha watoto kingono mitandaoni vinaongezeka kwa kipindi hiki cha vizuizi kutokana na janga la Corona. Akiita hali hiyo kuwa ni ya hatari. Ripoti iliyochapishwa na shirika la polisi la Ulaya, Europol...
  17. Dr. Zaganza

    Uzi Maalum: Makala za Utafiti wa Visa Maarufu Vilotokea Tanzania toka 1961 mpaka 2010

    Habari Wakuu. Kwa Wahenga na wale kizazi kipya kuna matukio yalitokea, kama si kumbukumbu za vyombo vya habari, basi anayekusimulia,utamuhisi amekopi sinema fulani na si uhalisia ulotokea Tanzania. Baadhi ya Matukio hayo ni pamoja na 1.Toleo la kwanza: Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza...
  18. guwe_la_manga

    Utaratibu wa kuomba 'Visa' ya Nchi ya Oman

    Wakuu, Ningependa kwenda kutalii nchini Oman katika nchi tajwa hapo juu. Naomba nipatiwe0utaratibu wa kuomba visa,na ikiwezekana na gharama za nauli na malazi kwa wiki tatu. Natanguliza shukrani.
  19. Miss Zomboko

    Marekani yarekodi visa zaidi ya 100,000 vya maambukizi ya Coronavirus. Hekaheka za Uchaguzi zatajwa kuwa chanzo

    Takriban visa vipya 103,000 vya maambukizi ya COVID-19 vimeripotiwa nchini #Marekani ndani ya saa 24, huku hekaheka za Uchaguzi zikidaiwa kuchangia ongezeko hilo Hii ni rekodi kubwa tangu Septemba 4 ikiwa ni siku 2 baada ya Uchaguzi wa Urais, kulingana na takwimu zilizotolewa na Chuo cha Johns...
  20. K

    Nchi gani ya Ulaya ina visa rahisi?

    Wakuu habari, Ni nchi gani ya Europe ambayo mtanzania akitaka kwenda kwa matembezi mafupi visa yake haina gharama kubwa sana. Nyingi naona zinahitaji insurance ambayo ni euro 30000 ambayo ni kubwa sana. Tusaidiane wenye experience.
Back
Top Bottom