visa

  1. Roving Journalist

    Serikali ya Tanzania yasema kuna visa 519 vya kipindupindu, kati yao wagonjwa 11 wamefariki mwaka 2022

    Takwimu za Wagonjwa wa Kipindupindu Nchini Tanzania kuanzia Januari 2022 hadi Agosti 2022 ni visa 519 ambapo kati yao 11 wamefariki Dunia, Mikoa ya Katavi, Rukwa na Kigoma ikitajwa kutoa wagonjwa wengi. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Halmashauri kusimamia...
  2. Lady Whistledown

    Visa 406 pamoja na vifo 7 vya Monkey pox vyarekodiwa Afrika

    Mkurugenzi wa WHO kanda ya Afrika, Matshidiso Moeti, katika mkutano wa Mawaziri wa Afya wa Afrika, amesema visa hivyo vimerekodiwa katika Nchi 11 na kuongeza kuwa kuna haja ya kuongeza mwitikio wa utambuzi na matibabu ya wakati wa magonjwa Katika Mkutano huo unaofanyika nchini Togo, washiriki...
  3. T

    Maono: Siku Marekani akichoka visa vinavyofanywa na Korea Kaskazini huenda ataifuta kabisa

    Kila siku Korea kaskazini inajaribu kujitutumua mbele ya Marekani kwa kujaribu kuwatisha Korea Kusini na Japan kwa majaribio ya silaha za nyuklia. Majaribio hayo yanaikera Marekani kwa kiwango kikubwa ila kwa usalama na amani ya dunia anaamua kukaa kimya wala kutokujibu majaribio hayo huku...
  4. Analogia Malenga

    Wakenya wanaotaka kutembelea Ulaya kusubiri hadi Septemba, VISA zimeisha

    VISA za kuingia nchi za 26 za Ulaya zimeisha hivyo wakenya waliokuwa wanataka kuingia nchi hizo watasubiri hadi Septemba 2022. VISA za Schengen ina nguvu za kumfanya mtu atembelee nchi yoyote ya Umoja wa Ulaya kwa muda wa miezi mitatu. COVID-19 yatajwa kuwa sababu ya VISA za Schengen kuadimika...
  5. K

    Visa card for Vodacom Vs Mater Card ya airtel, Ipi bora??

    Wadau, nataka kupata uzoefu wenu ,, ni card ipi ya online unawezaitumia kulipia huduma mbalimbali za mitandaion. Mfano unataka kulipia kwa dolla ila umeweka hera kwa Tsh etc, je usalama wake.. Naomba wazoefu wasaidie kushare uzoefu.
  6. Lady Whistledown

    Visa viwili vya Ugonjwa wa Virusi vya Marburg vyathibitishwa nchini Ghana

    WHO imetuma timu ya wataalam nchini humo ili kusaidia wahudumu wa afya wa kujiandaa kwa uwezekano wa mlipuko baada ya kurekodi visa viwili vya virusi vya Marburg, ugonjwa wa kuambukiza ulio familia moja na virusi vya Ebola, baada ya majibu ya vipimo vya awali kutoka kwa wagonjwa wawili...
  7. JanguKamaJangu

    Visa vya MonkeyPox vyaongezeka mara tatu Ulaya

    Visa vya Homa ya Nyani (MonkeyPox) vimeongezeka zaidi ya mara tatu katika kipindi cha wiki mbili zilizopita Barani Ulaya. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WH) Kanda ya Ulaya, Dkt. Hans Kluge. Amesema inahitajika hatua za haraka kukabiliana na kuenea kwa ugonjwa huo ikielezwa...
  8. jey n

    Msaada wa kupata viza ya Mexico

    Habari zenu wakuu, Nina jamaa yangu amekuwa invited na washikaji zake Mexico, anataka afahamu utaratibu wa kupata visa ya Mexico upoje kama ni mgumu kama wa Marekani au namna gani.
  9. Meneja Wa Makampuni

    Serikali wekeni sheria mtu asiingie airport bila VISA na Tiketi ya kusafiria

    Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi. Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama. Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo. 1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na...
  10. FStiveb

    Interview ya visa ubalozi wa Marekani

    Jamani naombeni msaada wa mawazo juu ya kufanya malipo online nahitaji kulipia visa ya Canada Leo siku ya nne. kila nikilipia sipati OPT code kutoka bank ili niingize kukomferm malipo, lingine nahitaji mwenye kujua nimaswali gani haswa wanauliza pale ubalozi wa Marekani maana Nina interview...
  11. Chief Kibonde

    Kumchukulia mtu visa au pasport

    Habarini ndugu za leo na wakati huu. Naomba kujua kama kuna mtu mwenye experience na visa. MIMI NILI OMBA VISA MNAMO MWEZI WA 4 TATEHE 5 NA JANA NIMEPOKEA UJUMBE WA EMAIL, KUWA NIKA COLLECT MY PASPORT JE NAWEZA KUAGIZA MTU AKANICHUKULIA? MAANA NIPO NJE YA MJI KWA DHARURA KIDOGO. Asanten
  12. Lady Whistledown

    #COVID19 WHO yasema visa vya maambukizi vya Covid-19 vyaongezeka Afrika Kusini

    Shirika la Afya Duniani limesema bara la Afrika linashuhudia kuongezeka kwa visa vya COVID-19 vinavyotokana na kuongezeka maradufu kwa visa vya maambukizi vilivyoripotiwa nchini Afrika Kusini Benido Impouma, Mkurugenzi wa Magonjwa ya yasiyoambukiza WHO-Afrika, Aprili 28, 2022 alisema, ndani ya...
  13. K

    CAG na Peter Madeleka wanapotosha umma, serikali ilikosa ushahidi kesi ya VISA- KIA na kuamua kuifuta; watuhumiwa walikaa Gerezani zaidi ya mwaka.

    Jamii forum Facebook account pamoja na Habari leo ni baadhi ya vyombo vya habari vilivyoripoti hoja ya visa bandia zilizokamatwa zikitokea afrika kusini; Kwa urahisi wa rejea wanajamvi tunaweza kupitia google kuuliza habari hizi na tutapata taarifa za ndani. Tukio hili linaonekana kuripotiwa Kwa...
  14. MK254

    Visa yafungua ofisi yao ya kwanza Afrika, hapa hapa Nairobi

    Kainchi ka Kenya rasmi kamekua kitovu cha Afrika, hauwezi kufanya lolote kwenye hili bara bila kubisha hodi Kenya kwanza..... Kampuni kubwa duniani ya malipo imegundua hili na kuwekeza Kenya... ========================== Global digital payments giant Visa has opened an innovation studio in...
  15. chawa wa mama

    Katika kukosoa na kushauri viongozi tuwe na dhamira njema, sio chuki, visa, ukanda au udini

    Nimefuatilia kwa miaka mingi sana, kuna ukanda unahisi unatengwa, hawajatoa rais, na wana kiu sana ya kupata rais wa kutoka ukanda wao. wamesahau wamewahi toa mawaziri wakuu wawili. Ukanda mwingine, wao wamepata bahati ya kupata mtu wa ukanda wa kwao aliyekuwa anawapendelea kwa kupeleka miradi...
  16. GENTAMYCINE

    Kwa 'Visa' ambavyo Kocha Nabi anawafanyia Yanga SC sasa niseme tu Kocha Pablo 'out' na Yeye 'Msimbazi' kunamkaribisha

    Kila kukitokea tu 'Break' ya FIFA Calendar Kocha Nabi atataka Kuondoka kwenda Kwao au Ubelgiji na huwa hahitaji Yanga SC imlipie Tiketi ball kuna Mtu Mmoja upande wa Pili ndiyo humgharamia. Mara kwa mara Kocha Nabi amekuwa akiombwa Kujikita zaidi na Yanga SC Kimafunzo ila Yeye kila ambapo Klabu...
  17. Jamii Opportunities

    CVAC Client Service Assistant (Canada Visa Application Centre) at IOM

    POST DESCRIPTION I. POSITION INFORMATION SVN IOM/DAR/009/2022 Position title CVAC Client Service Assistant (Canada Visa Application Centre) Position grade G4 Duty station Dar es Salaam Durations Six (6) Months Special Short-Term with possibility of extension Position number N/A...
  18. Influenza

    Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

    Kampuni za malipo ya kifedha za Marekani, Visa na Mastercard zimezifungia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi Aidha, Kampuni hizo zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia katika masuala mbalimbali ya...
  19. MK254

    Dubai kuwapa Wakenya visa ya miaka kumi

    Ndio umuhimu wa kuwa na elimu bora na wachapa kazi, wanang'ang'aniwa kote, mara UK, mara Dubai, ukizingatia diaspora wetu wanatuma hela nyumbani kuzidi mataifa yote ukanda huu, vyuo vyetu vinazidi kuzalisha vichwa na akili kubwa. Waende tu wakapate maujuzi zaidi ili wakirudi wawekeze nyumbani...
  20. Suley2019

    #COVID19 Dar yaongoza kwa visa vipya corona

    MKOA wa Dar es Salaam umetajwa kuongoza kwa idadi kubwa zaidi ya waliothibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa UVIKO-19 ukiwa na wagonjwa wapya 184 kati ya visa vipya 252 vilivyoripotiwa. Visa hivyo vimeripotiwa katika kipindi cha Januari 29 hadi Februari 6...
Back
Top Bottom