visa

  1. Miss Zomboko

    Australia: Mahakama yatupilia mbali rufaa ya Djokovic kupinga Visa yake kufutwa

    Mahakama ya Shirikisho la Australia siku ya Jumapili Januari 16 ilikataa rufaa iliyoletwa na Bingwa wa Tennis duniani Novak Djokovic dhidi ya kufutwa kwa visa yake na kufukuzwa nchini. Mahakama inaamuru kwamba rufaa itupiliwe mbali kwa gharama ya mlalamikaji," umebaini uamuzi huo ulioidhinishwa...
  2. Miss Zomboko

    #COVID19 Nchi ya Australia, kwa mara ya pili imesitisha Visa ya Novak Djokovic kwa kutokuchoma Chanjo

    Nchi ya Australia, kwa mara ya pili imesitisha kibali cha kuingia nchini humo cha mchezaji maarufu wa tenesi, Novak Djokovic, kutokana na utata kuhusu haki ya kuendelea kubaki nchini humo bila ya kuwa amechoma chanjo dhidi ya UVIKO-19. Uamuzi huu uliotangazwa na waziri wa masuala ya...
  3. muafi

    Nimefuatilia mtiririko wa visa, ni wazi kuwa Ndugai aliota mapembe na alikuwa akimdharau sana Rais Samia

    Ukweli ni kwamba, Ndugai amekua mbabe kwa muda mrefu sana kwa wabunge kule mjengoni lakini alikua mtiifu namba moja wa Rais John Magufuli (R.I.P). pamoja na mapungufu yote ya serikali ya JPM ikiwa ni pamoja na bajeti hewa mfano kuna baadhi ya wizara zilikua zinapewa hela ya bajeti 18% tu ya...
  4. chizcom

    Hivi ndiyo visa vya waganga wa kienyeji wapenda pesa!

    Waganga wa kienyeji ni watu wenye mchango mkubwa upande wa pili ndani ya ulimwengu. Hapa kuna watu povu na maneno ya kejeli yata watoka kwa sababu hizi: *Wengi wanawatumia kwa ajili ya mabaya! *Wengi ni walonzi ,wanga na wachawi. *Wengi humu mtaki kujionesha kuogopa kuwa mnatatua matatizo yenu...
  5. Frumence M Kyauke

    Je Harmonize atahimili visa alivyofanyiwa Alikiba?

    Mimi binafsi ni binadamu ambaye nikifika mwisho au nikisema inatosha, jua ama zako au zangu. Hakuna suluhu. Tafuta chaka lako la kujificha. Moja ya sifa za msanii King Kiba ni kuhimili mikikimikiki. Ni kuhimili nyakati ngumu na kukimbilia kusema kwa mama yake. Lakini ukweli msanii Harmonize...
  6. B

    Visa na Mikasa ya Ethiopian Airlines - Waafrika Kulikoni?

    Kama sinema vile madege ya Ethiopian airlines hutua viwanjani kwa hisia huku yamebeba abiria: Ethiopian Airlines Airbus A350 Suffers Wing Tip Strike During Landing Mtu anaweza vipi tua dege kwa kusikiliza wazimu wake tu? Siyo case 1 bali ni case baada ya case na katika kipindi kifupi. Haya...
  7. HaMachiach

    Msaada: Jinsi ya kupata visa ya England bila vikwazo

    Habari za asubuhi wakuu naamini mmeamka salama kabisa. Ninaomba msaada namna nitakavyo weza kupata visa ya kwenda kwa Malkia ni process zipi nizifuate na pia gharama inaweza kuwa shilingi ngapi? Na nyaraka zipi niziandae kwajili ya hili zoezi na mda gani inaweza kukamilika.
  8. Sam Gidori

    Ghana: Kitambulisho cha Taifa kitawawezesha wananchi kusafiri bila Visa

    Makamu wa Rais wa Ghana ametangaza kutambulika ramsi kwa Kitambulisho cha Taifa cha nchi hiyo kama hati ya kusafiria kuanzia robo ya pili ya mwaka 2022. Hatua hiyo ya Ghana inatokana na kutambuliwa kwake kama mwanachama wa Taasisi ya Kimataifa ya Usafiri wa Anga (ICAO), ambapo Kitambulisho...
  9. PromiseLand

    Visa vya wanandoa/wapenzi kuuana vinaongezeka kila kukicha

    Niende moja kwa moja kwenye mada, nipo mkoa wa Geita kikazi na leo nimefanikiwa kufika sehemu inayoitwa Nyarugusu visa nilivyovikuta vinashangaza na hizi hapa ni simulizi nilizozikuta kwenye msiba uliovuta hisia za watu wengi. Ilikuwa ni msiba wa mama mmoja aliyeuawa na...
  10. OGTV

    MASWALI NA MAJIBU: Msimu wa Diversity Visa ya Marekani kwa mwaka 2023, Epuka kutapeliwa

    Video kuhusu taarifa sahihi, Maswali na Majibu kuhusu viza hii . Epuka kutapeliwa; kumbuka hakuna ada yeyote inayotozwa kwa kutuma maombi yako. https://dvprogram.state.gov/. #DiversityVisa American Diversity Visa Season for the year 2023 Accurate information, Questions and Answers about...
  11. ABC ZA 2025

    Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

    Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia. Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa...
  12. Analogia Malenga

    #COVID19 WHO: Zaidi ya 85% ya visa vya Covid-19 Afrika havijagunduliwa

    Visa sita kati ya kila visa saba vya ugonjwa wa korona havingunduliwi barani Afrika, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linasema. Imefanya hesabu kulingana na fomula ambayo inaangalia vifo vilivyorekodiwa na viwango vya vifo vya visa vya ugonjwa huo. Kufikia sasa ni visa milioni nane tu vya...
  13. kabwinyola

    Nataka kwenda Botswana, natakiwa kuwa na Visa?

    Wakurugenzi nimepata mchongo Nampula Botswana je hints nafikaje huko? Ubalozi wao upo wapi hapa Tanzania? Naona hapa pananifaa. Vigezo gani vya kuingia huko? Nimetenga 1500$ Kama safari alafu 1000$ ya kukaa miezi mitatu rental
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tukumbushane visa vya Simba wala watu

    Miaka ya nyumba kulikuwa na visa vingi vya watu kuuliwa ama kujeruhiwa na Simba wala watu. Wengi wa Simba hao walitajwa kuwa si Simba halisi ila walikuwa ni binadamu waliojibadilisha kuwa Simba. Miaka ya tisini katikati kuna binamu yetu aliliwa na Simba huko Mtwara. Lilikuwa na story nyingi...
  15. Chizi Maarifa

    Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

    Kigoma Visa vya Uchawi na Ushirikina. Kigoma ni moja ya Mikoa ambayo inasifika kwa Uchawi nchini Tanzania. Huu mkoa kiasili una watu wachapa kazi sana. Si wazembe ukilinganisha na mikoa mingine yenye ushirikina kama Tanga,Pwani au Zanzibar. Kigoma maeneo ambayo yanasifika sana kwa Uchawi ni...
  16. beth

    #COVID19 Lockdown kuendelea Nchini New Zealand, visa vya Corona vyafikia 107

    Waziri Mkuu wa New Zealand, Jacinda Ardern amesema Lockdown Nchini humo itaendelea kuwepo hadi Agosti 27, na huko Auckland ambapo ndipo kitovu cha maambukizi, Kanuni za tahadhari zitadumu hadi Agosti 31. New Zealand ni moja kati ya Mataifa yanayosifika ulimwenguni kwa kudhibiti janga la Corona...
  17. B

    Kupata Visa ya kuja Tanzania ni kazi kweli kweli, Uhamiaji na Mambo ya Nje mnamkwamisha Rais

    Nimepata taarifa kwa rafiki yangu mmoja kwamba yeye na wenzake walipanga Tanzania lakini wanatakiwa kulipia Visa, baada ya kufungua mtandao wa Uhamiaji wanashindwa kupata huduma kila wakifanya kuomba wanapata error na muda wao wa likizo unakatika. Mimi mwenyewe nimejaribu kufuatalia nimekwama...
  18. I

    Usimtendee visa asiye kufanyia visa

    Hapa mtaani kwetu jirani yetu ni fundi wa magari. Ana garage yake mtaani na watu wanamwamni ni fundi mzuri sana. Ameoa msichana wa mijini peace kali, wale wa dada wa human hair na lace wigi. Wanaishi kwenye chumba na sebule na mrs hana ajira huwa tunashinda nae mtaani. Juzi kati walikua na...
  19. TheDreamer Thebeliever

    Visa na visanga vya misibani

    Habari wadau! Kuna tabia za ajabu sana siku hizi, watu hawana utu ukifa kwao sherehe. Mzee alipofariki, rafiki yake wa karibu alipewa jukumu la kwenda kutafuta mahali pa kuchimba kaburi, kwa wasiojua hata maeneo ya kuzikia pale makaburini yana madaraja na bei ni tofauti. Best yake kabisa mshua...
  20. Parody

    #COVID19 Uganda: Serikali yatoa Tsh Bilioni 69.5 kununua magari ya wabunge wakati visa vya COVID-19 vikiongezeka

    Wananchi wa Uganda wameonesha kukasirishwa na hatua ya serikali ya nchi hiyo kutoa zaidi ya dola milioni 30 za Marekani (sawa na zaidi ya Tsh bilioni 69.5) fedha za kununua magari ya wabunge wakati taifa hilo likiwa katikati ya mapambano dhidi ya virusi vya corona na kuinua uchumi wa nchi...
Back
Top Bottom