vituko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Uchaguzi 2020 Bungeni: Rais Magufuli amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu, Bunge zima(Wabunge 350) wampigia kura za ndiyo

    Karibu Spika Ndugai amesoma Katiba kuelezea namna Waziri Mkuu anavyopatikana. Chanzo: ITV ======== Mpambe wa Rais tayari kawasili kwenye ukumbi wa bunge akisindikizwa na askari wa bunge akiwa amebeba bahasha yenye jina la waziri mkuu ajae. Baada ya spika Ndugai kuipokea amempa kazi katibu wa...
  2. Sky Eclat

    Tujikumbushe vituko vya Donald Trump

    Watu waliandamana, nisikiavyo Trump alikua ndani ya nyumba yake akichungulia dirishani. Baada ya kumuonyesha shit holes zao waliondoka. Ni baada ya kusema developing countries are shit hole countries.
  3. M-mbabe

    Uchaguzi 2020 Buberwa Kaiza: Vituko na makosa kwenye kampeni za uchaguzi jana Jumatatu 7/9/2020

    Vituko na Makosa kwenye kampeini za Uchaguzi jana Jumatatu 7/9/2020 Kituko: Jana Jumatatu, Septemba 7, maofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), walikuwa wanatembelea baadhi ya NGOs ambazo NEC ilizipatia vibali vya kutoa elimu ya mpiga kura, kutathmini jinsi NGOs hizo zinavyotekeleza majukumu...
  4. T

    Vituko vya kwenye daladala

    Kama wewe ni mtumiaji wa usafiri wa daladala, pasipo na shaka umewahi kukutana na vituko kadha wa kadha vya baadhi ya abiria, makondakta au madereva. Embu kila mtu aweke vituko alivyowahi kuvishuhudia. mimi vyangu ni hivi vifuatavyo. 1. Mimi niliwahi shuhudia kondakta akilumbana na mama mmoja...
  5. figganigga

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi Bukoba Vijijini Wagubikwa na rushwa, Wanne Wadakwa na TAKUKURU, Kura za Lweikiza shakani

    Jana tarehe 21/07/2020, katika harakati za wajumbe kupiga kura Bukoba Vijijini kwa wajumbe waliotia nia Ubunge kupitia CCM, kulitokea utofauti asubuhi ambapo mbunge Rweikiza alituma vijana wake kutoa rushwa na kukamatwa jana ile ile Asubuhi. Naamini TAKUKURU watalitolea taarifa sakata hili...
  6. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

    UPDATES 13:15hrs: Matokeo ya Kura za ya wanachama watatu waliokuwa wakiomba ridhaa ya kuwania urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM. 1. Dkt Hussein Ali Hassan Mwinyi -kura 129 (78.65%) 2. Dkt Khalid Salim Mohamed -kura 19 (11.58%) 3. Shamsi Vuai Nahodha -kura 16 (9.75%). Zanzibar 2020 - Wasifu...
  7. Mzukulu

    Je, Kampeni Meneja wa huyu si kila mara atakuwa anacheka tu kwa Vituko vya Uchekeshaji alivyobarikiwa navyo Boss wake?

    Mchekeshaji Kingwendu amesema leo Julai 6, anarudisha fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Ilala, na tayari amepata wadhamini wa kumsaidia kwenye kampeni zake na hataweza kufilisika, kuuza nyumba au gari kama ilivyomtokea mwaka 2015 kwenye shughuli za kuendesha kampeni DarMpya Kwangu Mimi...
  8. Chizi Maarifa

    Nakutana na vituko kazini ila kwa hiki cha jana ngoja niseme tu

    Huwa sipendi sana kuzungumzia kazi zangu flani flani. Ila kwa jambo la jana ngoja niseme upande mmoja wa kazi yangu. Pamoja na issues zangu nying mimi ni daktari Hosp moja kubwa hapa DSM huwa nina siku maalum kwa kazi maalum. Jana aliletwa dada mmoja mzuri kama mwarabu hivi ila ana uzungu uzungu...
  9. J

    Kwanini Mbowe kila ukikaribia uchaguzi mkuu anaanza vituko? 2010 alimlazimisha Dkt. Slaa agombee urais 2015 akamleta Lowassa na sasa....!

    Ni jambo la kushangaza lakini siyo la kulidharau. Uchaguzi mkuu 2010 Mbowe alimlazimisha Dr Slaa agombee ubunge huku akijua wazi Slaa ana uhakika wa 99% kushinda ubunge wa karatu na 1% kushinda urais. Mwaka 2015 Wakati Dr Slaa ameshajiimarisha kwenye kinyang'anyiro cha urais kupitia UKAWA...
  10. kavulata

    Paul Makonda njoo Majohe uone vituko

    Majohe iko Ilala Gongo la Mboto DSM. Kuna mkandarasi aliyepewa kutengeneza barabara ya Kampala - Majohe ambaye Sina uhakika Kama unapata taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo. Huyu mkandarasi anawachonganisha wanachi na serikali yao huna budi kuja kumsikiliza shida yake. Kusema ukweli anakutia...
  11. Izzi

    Inashangaza pale ambapo watu wanaifurahia Corona badala ya kuiogopa

    Najaribu kuwaza kwa sauti kwamba; wakati mwingine unaweza kukubaliana na wanaosema kuwa Waafrika hatujielewi. Ukijitoa ufahamu unaweza kusema Waafrika hatuna woga,... labda. Lakini wakati mwingine unabaki mdomo wazi tu, hujui useme nini juu ya vituko vinavyofanywa na sisi... Waafrika, kama hiki:
  12. FRANCIS DA DON

    Vituko ndani ya Marekani, 'Title IX' inaamrisha shule zote ziwe na madawati makubwa kwa ajili ya wanafunzi wajawazito

    'Title IX' ni sheria ya kuwalinda wanafunzi wa shule za primary na Sekondary pindi wapatapo mimba wakiwa shuleni huko Marekani. Kimsingi sheria hii inazuia unyanyapaa wa aina yeyote ile dhidi ya mwanafunzi mjamzito na kuhitaji shuke impe mahitaji yake yote kama mama mjamzito ikiwemo...
  13. CalvinKimaro

    Mnadhimu ambaye hana nidhamu; Vituko vya CHADEMA

    Kuna kisa cha wayunani cha kale kuwa kulitokea ubishi nani awe kiongozi wa siku. Wayunani walikuwa wanachagua kiongozi kila siku. Mtu anatawala siku ikipita anachaguliwa mwingine. Mtu hachaguliwi tena mpaka wengine wote wachaguliwe. Ikafika muda walioanza kuchaguliwa wakajihoji: hivi mpaka zamu...
  14. Daisy Llilies

    Vituko ulivyokutana navyo kibaruani

    Mimi ni muuguzi, kuna siku tulipokea mgonjwa, mwanaume wa miaka 67 ameletwa hospitali na polisi baada ya kumkuta akitembea barabarani akiwa amevaa boxer tu. Aliletwa wodini baada ya assessment ya Accident Department kubaini anahitaji Neurology assessments. Kawaida tukipokea mgonjwa saa yoyote...
  15. Gily Gru

    Mikasa ya kweli (kufurahisha na kukera)

    Niaje Wadau wa JamiiForums 1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi, basi akajongea akamminya yule demu wa jamaa tako. Jamaa akakubaliana na matokeo mana njemba...
  16. F

    Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

    Habari wadau, Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au? Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo. Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram? Maana nimeona mdau...
  17. Mshana Jr

    Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

    Mada ya Mfahamu James Ngomero: Bingwa mtuhumiwa wa zile maiti 11 za watoto hospitali ya Mwananyamala imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa... Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwa wanaJF Dar wengi ni wakazi wa Mwananyamala/Kinondoni...
Back
Top Bottom