Habari wadau,
Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au?
Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo.
Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram?
Maana nimeona mdau...