viwango

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Viwango vya hisia na mihemko katika kila ngazi za mahusiano ya kimapenzi

    ELEWA VIPINDI NA HALI YA MIHEMUKO KATIKA NGAZI ZA MAHUSIANO Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA JITU LA MIRABA Katika kahusiano kuna mihemko inatofautian kati ya jinsia na nyakati za kimahusiano, andiko langu la leo linawahusia wapenzi kufikia katika mihemko ya kufanana ili mapenzi...
  2. Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!

    Kwa wale mliopitia habari za barabara ya Dar es salm, Kibiti, Lindi Mtwara hivi karibuni, sasa tunajionea madudu ya kale. Barabara hii imejengwa chini ya viwango. Na tukumbuke waziri aliyehusika na barabara hii kwa kupewa misifa mingi isiyo stahili. Barabara ina katika kila leo kwa mvua ambazo...
  3. Korea Kusini: Viwango vya Uzazi vyazidi kushuka. Hofu ya kutoweka kwa Taifa yaibuka

    Viwango vya uzazi nchini humo (ambavyo tayari ni vya chini kabisa duniani) vimepungua tena, huku kukiwa na hofu ya "kutoweka kwa taifa", wakati ambao Serikali imekuwa ikitumia Mabilioni ya Dola kujaribu kubadili mwelekeo huu Takwimu zimeonesha kulikuwa na upungufu wa 8% katika Viwango vya Uzazi...
  4. Uteuzi wa Jokate Mwegelo ni uteuzi wa viwango

    SALAMU ZA PONGEZI KWA JOKATE MWEGELO ( KATIBU UVCCM - TAIFA ) Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Uteuzi wa Jokate kuwa Katibu wa UVCCM ulinisisimua kiasi cha kushindwa kulema lolote kwa kipindi tangu alipoteuliwa. Jokate ni kiongozi mwenye mvuto mkubwa kwa wananchi wa kawaida, kutokana n...
  5. J

    Siku ya viwango na ubora barani Afrika

    SIKU YA VIWANGO NA UBORA BARANI AFRICA Dar es Salaam - Tanzania Tarehe 29/03/2024 Shirika la Viwango Tanzania TBS limeadhimisha Siku ya Viwango na Ubora Barani Africa kwa Nchini Tanzania Katika Makao Makuu ya shiriki hilo JIJI DAR ES SALAAM Mkurugenzi Mkuu wa TBS nchi Bwana Athumani Yusufu...
  6. Viwango vya mshahara vya TNPSS ndio vikoje?

    viwango vya mshahara vya TNPSS B ndio vikoje najaribu kutafuta naona zingine zingine! Mzoefu anisaidie
  7. Pambano: Nchi gani iko juu kwa wanawake wenye mpindo mzuri ama miili mizuri yenye makalio ya viwango kati ya Wanyarwanda na Waganda?

    Katika hili pambano mimi binafsi kusema ule ukweli nikiangalia ukanda wa maziwa makuu hapa Afrika Mashariki, kwa ujumla inapokuja swala la shepu hasa mpindo mzuri wa makalio ama Matrakoo Wanyarwanda hadi sasa wanaongoza kwa mbali sana, japo hawajazagaa sana huko Dubai na Arabuni ila hawa viumbe...
  8. Ligi ya Tanzania inakuzwa na watu wa nje, viwango vya wachezaji wetu (timu ya Taifa na vilabu) bado

    ....
  9. Wizara ya Fedha: Tanzania ipo kwenye viwango vizuri vya kuendelea kukopesheshwa kati ya nchi chache

    Madeni ya nchi nyingi za Afrika yanakua kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa viwango vya riba na kubadilisha fedha duniani na kusababisha kushuka kwa thamani ya fedha za ndani. Hayo yamebainishwa Mjini Victoria Falls, Zimbabwe, na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, kwa...
  10. Viwango vya kubadilisha fedha vyakuza deni nchi za Afrika

    Na. Eva Valerian na Peter Haule, WF, Victoria Falls, Zimbabwe Madeni ya nchi nyingi za Afrika yanakua kwa kasi kutokana na kuongezeka kwa viwango vya riba na kubadilisha fedha duniani na kusababisha kushuka kwa thamani ya fedha za ndani. Hayo yamebainishwa Mjini Victoria Falls, Zimbabwe, na...
  11. B

    Kamati ya Bunge ya nishati na madini yatembelea mgodi wa Barrick North Mara, yavutiwa kwa kuendeshwa kwa viwango vya kimataifa

    Meneja wa Barrick nchini Tanzania, Melkiory Ngido (katikati) akitoa ufafanuzi katika kikao na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilipotembelea mgodi wa Barrick North Mara ,(kushoto) ni Meneja wa mgodi wa North Mara, Apolinary Lyambiko,(kulia) ni Meneja wa Mahusiano ya Jamii wa mgodi...
  12. Baada ya Samweli Sitta spika wa viwango! Sasa ni Tulia Ackson Mwansasu homa ya jiji

    Bila unafiki, ushambenga, uchawa na ukurung'unzu wowote. Nasimama kusema katika umri wangu spika Bora niliyewahi kumuona na kumkubali alikuwa Samweli Sitta mzee wa viwango! Lakini kwa sasa nchi ipo mikono salama chini ya spika Tulia Ackson Mwansasu. Huyu mtu sio tu ni spika bali tumepata...
  13. Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango mazishi ya Dkt. Kamala

    Katika ibada ya mazishi ya Dkt. Kamala, wasomi wenziwe waliamua kuvaa full Academic gear kuonesha usomi wa marehemu Dkt. Diodorus Kamala. Sasa msomi mmoja, tena yuko mbele kabisa , KAVAA RABA! Hapo nimechoka! No wonder tuna wasomi ambao hawajapikika! Wasomi Mzumbe University mmekosa viwango.
  14. M

    Inonga ana viwango vya Laliga na EPL. Tatizo tupo timu mbovu sana ya Simba

    Nimemfuatilia kwenye hii michuano ya Afcon. Hakika jamaa ni bonge la beki. Sema aliyemshauri kuja Simba kamuharibia sana.
  15. Kuna watumishi wa Serikali wasio na viwango kabisa

    Kuna changamoto kwenye sekta hii ya utumishi wa umma. Kubwa sana ni kukosa viwango (standards) na muendelezo (continuity). Hii continuity watu wa filamu wanaijua sana, la sivyo kazi zao zingekuwa vioja. Sasa vioja hivyo wanafanya hawa watumishi wa serikali. Tukianza na standards nikiangazia...
  16. Maandalizi ya AFCON: serikali iwafidie CCM, ikichukue kiwanja cha CCM kirumba, ikijenge kwa viwango vya kisasa, kitumike kwa mashindano

    Nashauri kiwanja hiki kitwaliwe na serikali, CCM wafidiwe, halafu kijengwe kiwanja cha kisasa pale. Hii itaendana na hadhi ya jiji la Mwanza. Kwa.sasa kiwanja hiki hata CCM hakiwapi faida yoyote ile.
  17. Mandela Road: Barabara iliojengwa kwa viwango stahiki

    Hii barabara pichani kwa jina MANDELA Road, ndio barabara yangu yenye ubora kabisa. Kwanza, imedumu bila kubonyea bonyea, kuweka mabigijii kama ilivyo baadhi ya barabara zenye heavy traffic Pili, imezingatia haki za watumiaji wote. Inayo sehemu ya mapitio ya dharura, waenda kwa miguu na magari...
  18. CCM ndani ya viwango vya mishahara (Salary Scales) huwa mnaweka nini??

    Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!?? Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa...
  19. TARURA hii imekula kwenu, kuendekeza ujenzi usiozingatia viwango

    TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita. TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini. Chini ya Halmashauri kazi nyingi zilifanyika kiholela holela kwa mashinikizo ya madiwani na wanasiasa kwa ujumla...
  20. Yanga inashuka viwango siku kwa siku!

    Juzi tu hapa Nkane, Mdathir, Sureboy, Farid Mussa, Moloko, Kibwana, Walikuwa ni wachezaji hatari sana hata kama walikuwa wanatokea Sub, ukianza kuhesabu magoli ya ushindi au perfomnce zao bora hapa hutoacha kukumbuka. Nkane aliipatia Yanga goli la kuwapa Taji la ASFC 2021/22 , baada ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…