vodacom

  1. Vodacom Mastercard kuna shida gani tena?

    WAHESHIMIWA HABARI Leo nimweka pesa mara mbili kutoka m pesa kwenda Mastercard ili nilipie FB ads cha ajabu imetoka mpesa lakini aijaingia Mastercard na wala zile sms hazijarudi ukicheki M Pesa hakuna kitu ukicheki Mastercard hakuna kitu basi nikajua nimekosea nikaweka mzigo mingine tena tena...
  2. Asante kwa kuchagua Vodacom, Namba ya Mtumiaji unayempigia haipatikani kwa sasa

    Huu ujumbe umekuwa unasikika mara nyingi sana hata kama unapiga simu kutoka Tigo kwenda Tigo au Halotel au mtandao mwingine usiohusiana kabisa na Vodacom. Je kuna kuhujumiana kunafanyika humo mitandaoni?
  3. Naona Vodacom nao wanapandisha vifurushi hivi karibuni

    Nimepokea msg kutoka vodacom wanasema "Ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi vyetu." Bila shaka maboresho nikupunguza vifurusho kama tigo na kupandisha bei. Acha tuisome namba
  4. Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

    Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
  5. Vodacom angalieni hili kwa jicho lingine

    Sasa sijajua kama hapa ndo pa kupaleta, lakini najua makampuni are sensitive to citizen journalism, so acha niseme tu. Of late nikipiga simu kwenda namba ya vodacom via my vodacom line, ujumbe unaanza "rasimisha laini yako". Mara ya kwanza nikadhani nimefungiwa, nikakata simu muhimu. Kukomaa...
  6. M

    Nashindwa kuwaelewa Vodacom

    Nimekuwa nikitumia mtandao was Vodacom tangu mwaka 2000 na kwa ujumla nimekuwa nikiridhishwa na huduma. Lakini katika siku za karibuni nimeanza kutilia shaka huduma zake, hususan vifurushi vyao. Nasema kwa sababu siku hizi nikinunua kifurushi cha sh 2,500 kinachonipa dk 150 za kutumia wiki...
  7. Vodacom acheni wizi wa waziwazi

    Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya...
  8. Vodacom Foundation wapambana kurejeshewa usajili wao

    Mfuko wa Kusaidia Jamii wa Vodacom (Vodacom Foundation) kama kampuni ambalo lilikuwa na ukomo wa ahadi ambalo linasaidia jamii na hivyo halikuwa na malengo ya kukuza biashara au uwekezaji lilifutwa kwa tangazo la BRELA la Septemba 11, 2019. Mfuko huo ambao umekuwepo nchini tangu Oktoba 2007 na...
  9. Uozo Vodacom na TCRA

    Morning wakuu!Naomba niende kwenye mada yangu moja kwa moja. Siku ya jumatatu tarehe 30/11/2020 niliishiwa muda wa maongezi na nikaamua kujiunga kifurushi cha TSH 2,500/ ambapo nilipewa dk50 kwenda mitandao mwingne na dk180 voda kwenye voda tu. Maana yake nilikuwa na jumla ya dk230,cha...
  10. M

    Hivi Vodacom wanajitambua kweli?

    Vodacom mnatuboa sana sisi wateja wenu! Kila siku mnanitumia msg tuma hela Leo kwa m-pesa upate mb 2 za bure!!!! Mara ukivuta zaidi ya sh.20,000/- kutoka bank kwenda m-pesa yako utapata dk. 2 bure za maongezi!!!. Mara ukinunua kifurushi chochote Leo utapata dk,1 bure!! Nk. Sasa haya mambo yenu...
  11. Vodacom yapata hasara ya shillingi bilioni 5.06 ndani ya miezi sita kutoka Septemba 2020

    Vodacom (T) imeripoti hasara ya shillingi bilioni 5.06 miezi sita kutoka Septemba 2020 kwa sababu ya adhabu dhidi ya makosa ya zamani yanazohusiana kodi kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita. Kulingana na maoni ya wachambuzi mbalimbali, ripoti hiyo ya nusu mwaka kwa kipindi hiki imechora picha mbaya...
  12. H

    Hongera Vodacom M-Pesa kwa kuleta Open API - Fintech developers tutumie fursa

    Katika dunia ya sasa ambapo kwa sehemu kubwa tunahitaji simplicity nawapongeza Vodacom M-Pesa kwa kuachia API zao za M-Pesa ili developers mbalimbali kuweza kutengeneza products ambazo zitakuwa na uwezo wa kulink na huduma za M-Pesa bila longo longo au procedures nyingi. Sasa ni wakati wetu...
  13. (Ofa bure) Ifahamu ofa ya asubuhi Supa Vodacom

    Kila siku asubuhi kuanzia saa 12 hadi saa 2 ofaa hii inatoa MB 60 bure Gonga *149*01# then chagua namba 1 after that utaona kama hapo kwenye image then chagua 20 supa then utaiona ASUBUHI SUPA
  14. Masikini Vodacom na Airtel mnaenda kubeba mzigo usiowahusu!

    Kwa tulio mdharau Armstem, tunaenda kushuhudia mambo ambayo hatujawahi kuyashudia huko nyuma, ameanza na kampuni ya Airtel na Vodacom yakihusishwa na kushiriki kadhia uvunjaji wa haki za binadam nchini Tanzania. Armstedam tuache tupumue hata kidogo waombe Mungu kuwa wanachotuhumiwa nacho kiwe...
  15. Vodacom nani aliyewaruhusu kuwapa CCM namba yangu ya simu?

    Ndugu Mwananchi, Mimi John Pombe Joseph Magufuli, mgombea nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, ninaomba kura yako ya NDIYO kwangu, Mbunge na Diwani wa CCM ifikapo tarehe 28/10/2020, Tumetekeleza kwa kishindo tunasonga mbele pamoja. Asante sana na Mungu...
  16. Vodacom, huu wema umeanza lini?

    Vodacom, huu wema umeanza lini? Leo nimeona push menu za USSD, zikiniuliza na hatimaye kuniwezesha kujitoa kwenye matumizi ya salio kulipia huduma za mtandao wa intaneti kutoka kwenye salio la kawaida. Kwa hiyo kuanzia leo, hata bando la GB likikata, salio la kawaida lililopo halitaguswa...
  17. VodaCom mmezidi

    Jamaa wamekuja na mpya sasa. Ukitaka kuangalia salio M-Pesa kawaida unatozwa shilingi 60. Ukitaka kuangali bure unaambiwa download App yao. Sasa mimi nina simu ya tochi. Je hiyo App ninaiwekaje? Duuhhhh
  18. Kwa wanaojua, hivi naweza kutumia Vodacom Mastercard kupokea pesa nje

    Kuna platform ya betting najaribugi bahati humo kama mjuavyo hakuna pesa chafu na maisha kupambana. Sasa kuna issue ya kwenye ku withdrawal, nimeona wao wana options za kutumia debit card au credit card, sasa mimi pia nnayo Vodacom mastercad, endapo nikijaribu kutoa mpunga kwa kuweka ile namba...
  19. K

    Tanzania tulimkataa Mkenye kuwa Mkurugenzi wa Vodacom lakini tukaruhusu Egyptian!

    Watu weusi wengi tuna jichukia/self hate. Serikali ilimkataa Mkenya kuwa CEO wa Vodacom Tanzania kwa kisingizio tunahitaji mkurugenzi Mtanzania. Cha kushangaza mkurugenzi wa Voda Tanzania sio Mtanzania ni Egyptian. Sasa ni kwanini tumkatalie Mkenya lakini tumruhusu Egyptian!!. Hata wataalamu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…