Wasalaam,
Ee ni vyama rafiki ndiyo. ACT, Cuf, Chauma, Nccr mageuzi na vingine.
Unaelewa kuwa huko chadema moto unawaka? Mbona hawajotokezi hata kutoa fursa za kuwapokea wanachama wapya watakao kumbwa na kadhia ya uchaguzi.
Lipumba, Zitto, sipunda, Mbatia msiwe kimya toeni maoni yenu yanaweza...