Wakuu, kila mtu apambane na hali yake ,
Kuna hivi. Viwanja wanatangaza clouds FM kwenye mji wameuita clouds city,
SQM 1 wanauza 8,000/-
Ina maana kiwanja cha sqm 800 ni 6.4M,
Viwanja hivi vipo sehemu inaitwa tundwi Songani, wanakupa ofa ya kulipa kwa miezi 33,
Sasa shida yangu kuja...