Kwa nini China na Singapore zimefanya na zinafanya vyema katika mezani za kiutawala na kimaendeleo huku Afrika ikishindwa?
China na Singapore zimefanya na zinafanya vyema katika mezani ya kiutawala na maendeleo kwa sababu ya
i. Meritocracy system
ii. Accountability
iii. Rule of Law
Afrika...
Habari zenu wapambanaji wenzangu wote ..
Dhumuni la uzi huu nikuwapongeza wote vijana na watu wanzima mnaopambana kwa nguvu zenu wenyewe bila msaada kwa ndugu za marafiki.
Kweli hali ni ngumu sana ila tusikate tamaa maana matunda yapo mbele nayaona kabisa..
Tusikate tamaa tupambane mpaka...
NAIBU WAZIRI KHAMIS CHILLO AHIMIZA WANACHAMA WA SADC KUWA NA SAUTI YA PAMOJA
Tanzania imezihimiza nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa Mkataba wa Biashara ya Kimataifa wa Wanyama na Mimea iliyo hatarini kutoweka (CITES) ili...
Kuhusu mkataba wa bandari tumeona mapungufu makubwa ya bunge letu kuhusu namna linavyosimamia serikali, tumeona bunge limetumika kama toilet paper na serikali.
Udhaifu huo wa bunge unapelekea kuchochea zaidi mahitaji ya katiba mpya ili kuepukana na udhaifu na upumbavu kama huo wa bunge.
Hivyo...
Viongozi wetu wametuambia muarabu wa Dubai aliyeuziwa bandari zetu zote za Tanganyika atahakikisha anaongeza mapato ya kutosha, ajira za kudumu maradufu na mapato shazi hivyo tumuunge mkono.
Sasa kwa kuwa CCM imekuwa chama cha kudumu hapa Tanzania na kwa zaidi ya miaka 60 ya umiliki na...
Kuna jamaa yangu ameenda Kinshasa kwa shughuli zake.sasa kanirushia picha za huo mji,ebana kumbe Kinshasa iko vizuri kuliko miji mingi tu hapa Africa ikiwemo Dar yetu.
Mimi ni mwanazuoni kutoka chuo Fulani, niko na maendeleo mazuri sana kielimu, ninaona nuru kila siku. Lakini haya yote yametokana na jitihada kubwa za wazazi wangu na malezi bora kutoka kwa walimu na walezi wangu tangu shule ya msingi. Nilipelekwa shule za bweni tangu nikiwa mdogo, kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.