vyuo

  1. K

    Vyuo vipi bora vya serikali kwa kusomea Diploma ya Clinical Medicine?

    Naomba kujua ni vyuo vipi bora vya serikali kwa kusoma diploma ya clinical medicine?
  2. GENTAMYCINE

    Hongereni sana TAKUKURU ( PCCB ) kwa Kuvitaja Vyuo Vikuu vya UDSM na UDOM ndiyo Vinara wa Rushwa ya Ngono

    TAKUKURU YABAINI VYUO VYA UDSM NA UDOM KUWA VINARA WA RUSHWA YA NGONO NCHINI Habari Kamili Gazeti la Nipashe la Leo ukurasa wa Pili. Nashukuru sana Chuo Kikuu changu bora na tukuka kabisa cha SAUT hakina huu Uhuni na Upuuzi na ndiyo maana kinatoa Geniuses tupu Tanzania.
  3. B

    Wanafunzi vyuo vikuu Rais haja ahidi kuwapunguzia riba ya mkopo wa chuoni badala yake ataongeza idadi ya wanufaika

    Ni wakati wa wanafunzi kuwa wapole, walitegemea riba itapunguzwa imekuwa tofauti badala yake fedha zitaongezwa ili wengi wapate mikopo maana yake ni mtaji unawekezwa ili ukue kwa riba ile ile ya 15% . ushauri wangu ni wazazi wajitahidi kutafuta pesa wawasomeshe watoto si kwa mikopo maana...
  4. Sufian Jr

    Anayefahamu vyuo vya kuendesha mitambo Afrika Kusini

    Habari naulizia kwa yoyote anayefahamu vyuo vinavyofundisha kozi za kuendesha mitambo south africa na kama wanafanya process za kubadili cheti maana nna cheti Cha forklift Cha hapa TZ Kwa yoyote anayefahamu hivyo vyuo anijulishe kozi nnayo itaka Sana ni EXCAVATOR .. na kwa mwenye uelewa vizuri...
  5. Y

    Kwanini "Colleges" na "Institutes" zina gharama za juu za hostel?

    Husika na kichwa cha Uzi apo juu. Kam mfatiliaji wa mambo ya chuo utagundua vyuo vingi vya serikali haswa institute hizi au college gharama za hostel zipo juu sanaa. Mfano IFM, CBE na TIA gharama zao kwa mwaka ni 450,000 huku vyuo kam Mzumbe, UDSM gharama zao zipo chini sana ni 120,000 kwa...
  6. Pascal Mayalla

    Uchaguzi 2020 Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu, Wajiunga Pamoja Kuikampenia CCM, Watumia Basi Maalum, CCM Campaign Bus, Kufikia Wengi, Wasaidia Sana CCM Kuvuna Kura!

    Wanabodi, Katika pita pita yangu mitaa ya jijini Dar es Salaam hii suku ya nwisho ya kampeni, nimekutana na Basi maalum la kampeni ya CCM, nilipouliza, ndipo nikajulishwa hao ni vijana wahitimu wa vyuo vikuu, wameamua kujiunga pamoja kuunda kikundi cha CCM Campaign Bus ili kuikampenia CCM, kwa...
  7. T

    Chaguzi za vyuo awamu ya pili yasogezwa mbele

    Kwa waombaji Wa vyuo, be informed that the second selection, imesogezwa mpaka tarehe 29/10/2020
  8. C

    Uchaguzi 2020 Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) 2020-2025

    CHAMA CHA MAPINDUZI MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020 Imetolewa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Agosti, 2020 CHAMA CHA MAPINDUZI MUHTASARI WA ILANI YA UCHAGUZI WA MWAKA 2020-2025 UTANGULIZI 1. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa vyama vya TANU na ASP na...
  9. Clark boots

    Kumbe kuna vyuo vinaruhusu kufanya application bure kabisa?

    Habari za muda huu vijana, Jana katika pitapita zangu website za vyuo mbalimbli nilifanikiwa kuingia website ya chuo kikuu STELLA MARIS kilichopo Mtwara mjini, ni SAUTI BRANCH Ila kitu kilichonistaajabisha ni nikukuta application zao ni bure kabisa for certificate, diploma na undergraduate...
  10. E

    TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online

    TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online. Nina uhitaji mkubwa sana wa kusoma Degree ya Accounting online lakini sijaona chuo chochote kinachotoa kozi hiyo kwa njia ya online Tanzania. Shida iko wapi.
  11. The Humble Dreamer

    Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

    Wakuu Salaam: Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu. Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho. Hawa...
  12. Clark boots

    Je, dirisha la pili kwa vyuo vikuu litafunguliwa usiku huu(Saa 6 usiku..?)

    Naomba kufahamu jamani kwa hivi vyuo vikuu amabvyo vitadahili wanafunzi vyuo vikuu, vitafungua dirisha USIKU huu(SAA 6 USIKU..?)
  13. 44mg44

    TCU kesho tarehe 5 watafungua dirisha la pili la udahili wa wanafunzi vyuo vikuu au mpaka tarehe 12?

    Ndugu mwenye taarifa anisaidie maana niko bush sana, nikijua mapema itapendeza maana nitaanza mapema maandalizi ya safari kwenda kutuma maombi! karibuni ndugu zangu.
  14. K

    Wapiga kura wanaohamishwa kimajukumu na wanafunzi waliofungua vyuo na shule kidato cha tano

    Mh. Mwenyekiti wa NEC, kuna kura ambazo zitakosekana/zitapungua kwenye ushindi wa kishindo kwa Rais wetu Mpendwa JPM. Kwa kweli ninaumia sana kwa kura yangu kupotea. Naomba mtuwekee utaratibu wa wapiga kura ambao wamehamishwa vituo hivi karibuni na wanafunzi waliokwenda kuanza vyuo na shule...
  15. 44mg44

    Eti tcu imeongeza muda wa kufanya application vyuo vikuu?

    mwenye taarifa aniambie jaman,maana kuna jamaa hapa kanipa taarifa ila bado sijapata uhakika!! karibuni wadau
  16. 44mg44

    Dirisha la pili la kudahili wanafunzi wa vyuo vikuu linafunguliwa lini?

    Mwenye kujua naomba anijuze,nataka nijiandae mapema ili nisipitwe tena kama nilivyopitwa na dirisha la kwanza
  17. J

    CCM Taifa yalaani mauaji na kifo cha mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoani Iringa komredi Mlelwa. Rais Magufuli aagiza wauaji kusakwa

    Kwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa. Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria. Rip Mlelwa Maendeleo hayana vyama! Mkuu wa mkoa wa Njombe...
  18. kalisheshe

    Mwenyekiti wa Seneti Vyuo Vikuu Iringa auawa na watu wasiojulikana

    Ndugu wana CCM, Ndugu yetu, kijana wetu Emmanuel Polykap Mlelwa hatunae tena. Nimepigiwa simu na baba yake mzazi, Diwani mstaafu wa kata ya Madope-Ludewa kuwa ameuwa na watu wasiojulikana eneo la Kibena. Mwili wake ulihifadhiwa hospitali ya Kibena leo ni siku ya sita ndiyo umetambuliwa...
  19. G

    Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya mifugo 2020/2021 (September intake)

    Unaweza kutembelea Mwanzo |WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA)
  20. kavulata

    TCU angalieni upya kwenye vyuo vyenu

    TCU hongereni sana kwa jitihada za kusimamia utoaji wa taaluma na uendeshaji wa vyuo vikuu nchini. Kwavyovyote vile kazi yenu sio ndogo. Hongereni sana pia kwa kutoa miongozo mbalimbali ya taratibu za namna ya kuendesha na kufanikisha mambo mabalimbali kwenye elimu ya juu. Angalizo tu ni namna...
Back
Top Bottom