vyuo

  1. R

    Swali kuhusu selection za vyuo vya afya Diploma

    Hivi hamnaga second selection ya chuo kwa watu wa afya kwa Diploma?
  2. NACTE Guide BOOK ya Diploma and Certificate za Vyuo Vikuu

    Juzi juzi niliandika haya baada ya kusoma tangazo la udahili la UDOM Sasa leo nimekutana "THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES OFFERED BY UNIVERSITIES ADMISSION GUIDEBOOK FOR 2020/2021" kwenye web page ya NACTE ambayo haikuwa na maelezo yeyote...
  3. Kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa DIT?

    Khabari za wakati huu wakuu, wakuu nilikuwa naomba ushauri wenu maana nataka kutuma maombi DIT nikasome diploma in biomedical equipment engineering. Je kwa ufaulu wangu huu naweza kuchaguliwa kweli!? O-level. Biology-B. Physics-B Chemistry-B Mathematics-C Geography-C History-C English-B...
  4. Nataka kujua vyuo vya afya vyenye bei nafuu katika ada

    Habari za siku, nataka kujua vyuo vya afya vinavyotoa elimu ngazi ya degree (DOCTOR OF MEDICINE) vyenye ada nafuu ukiachana na 1. MUHAS, 2.UDSM, 3. UDOM, 4........., 5........... 6.........
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…