TOFAUTI YA MITUME, MANABII, WAINJILISTI, WACHUNGAJI NA WAALIMU NI IPI?
Huduma hizi 5 tunazisoma katika kitabu cha Waefeso.
Na madhumuni ya Bwana Yesu kuziweka huduma hizi tano (5), kama huduma za Uongozi katika kanisa ni kama mstari wa 12, unavyosema.
Tusome tena..
Kumbe lengo la kwanza ni...