Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Timu ya soka ya Yanga mnabidi kujifunza toka kwa waarabu, mmezidi kua wanyonge Sana, katika soka la Africa fitina za nje ya uwanja ni kubwa mno.
Waamuzi wananunuliwa na uwanjani wanakua washajua timu gani ishinde, msimu uliopita kama sio kua...