waarabu

  1. EINSTEIN112

    Waarabu wazidi kuikubali sana Israel

    Dubai hosted a public Chanukah celebration on Saturday night, which served as a symbol of the powerful impact the Abraham Accords are having on the Middle East. On Saturday evening, a giant menorah was lit up in Dubai to celebrate the Chanukah holiday, which is the Jewish festival of lights...
  2. Infantry Soldier

    Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania; Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huku? Ni kupitia biashara pekee ama kuna njia nyingine za ziada zilitumika? Orodha ifuatayo ni baadhi tu...
  3. GENTAMYCINE

    Kwanini Waarabu na Wahindi wao huwa hawapendi kuwa na mahusiano na Wafanyakazi wao Dukani au Ofisini, ila kwa Waafrika ni jambo la kawaida sana?

    Mwanaume wa Kiarabu au wa Kihindi hata kama dukani au ofisini Kwake ameajiri Mfanyakazi wa Kike ambaye ni Mrembo hasa (siku hizi mnawaita Pisi Kali) ni mwiko na kamwe hatoweza hata Kumtongoza ili afanye nae Mapenzi ila kwa Sisi Weusi (Waafrika) ikitokea Ofisini au Dukani Kwako umeajiri 'Pisi...
  4. R

    Chakula kinaitwa MIX kwa sasa ni uchafu, wabongo tukomae na vyakula vyetu hivi vya waarabu tuwaachie wao

    Nisiwachose let go straight leo nimepita zangu magomen pale sasa kuna kamgahawa nikawa nikawa nasikia harufu ya vitu vzr vzr Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani nikiwa shule ya msingi pale Msimbazi nimekula sana mix pale Boma nakumbuka ulikuwa unawekewa mchuzi...
  5. S

    Sasa nimeelewa kwanini Waarabu walituchukua kirahisi kwenda utumwani. Mke kupigwa na kukubaliana na mume anapoambiwa unaona umenifanya nikupige!

    Ulishawahi kusikia hadithi kwamba kuna wakati Waarabu walipata watumwa kirahisi kwa kutoa shanga na vioo kwa machifu wetu? Na pia kuna habari kwamba walitumia tende, wakawaonjesha watu tende, waliponogewa wakawaalika kwenda kweye merikebu zao za utumwa na kuwafungia huko, na kuishia kuwa watumwa...
  6. Webabu

    Sudan nao washtukia ushenga wa Marekani baina ya waarabu na Israel

    Yule msomi wa kimarekani aliyepewa sifa kubwa Sudan na kukabidhiwa serikali ya mpito baada ya kuanguka kwa Omar Albashiri na ambaye wiki kadhaa zilizopita aliponea chupuchupu kufa kwa bomu barabarani,jina lake Abdalllah Hamdouk, sasa naye ameishtukia diplomasia ya Marekani. Wiki iliyopita...
  7. Ituzaingo Argentina

    Waarabu sio watu wa mchezo, itachukua muda sana kuwafikia. Sasa wanasajili wachezaji kutoka UK

    Kutoka UK mpaka Kwa MAFARAO Klabu ya Pyramids ya nchini Misri inatarajia kumsajili nahodha wa timu ya taifa ya Misri, chini ya miaka 23, Ramadan Sobsi kwa mkataba wa miaka mitatu kutoka Huddersfield Town ya Uingereza kwa dau la Dola milioni 5 (Bilioni 11.620 Tshs) Mkataba wa mkopo wa Sobhi...
  8. Cash Generating Unit

    Wanawake wa Bongo acheni kushobokea Waarabu

    Wanawake wa Bongo bhana wa ajabu sana yaani wanashoboka sana kwa Waarabu. Mimi nawaona sana hasa tukiwa batani yaani unaweza mfata akakudharau akienda Mwarabu tu hta kama choka mbaya kashajaa. Dada zetu Waarabu wana wapa nini?
  9. The Mongolian Savage

    Waarabu kwa kula tu nimewanyooshea mikono

    Chini hapo ni wa Bangladeshi Jamii yenye mrengo huohuo kama waarabu
  10. M

    Majanga ya asili yazidi kuishambulia uchina

    Katika hali isiyo ya kawaida, Majanga yameendelea kulivamia taifa la Uchina. Katika hali ya kawaida kule Uchina sasa hivi ni kipindi cha Spring ni muda ambao kikawaida kunakuwa na hali nzuri sana ya hewa, siyo joto na wala siyo baridi, maua na mimea huchanua kipindi hiki, lakini cha ajabu kuna...
  11. britanicca

    Tetesi: Kissinger: Ameonekana kwenye Chumba cha operation za kivita cha Marekani akicheka sana asema waarabu kuwa majivu/Iran na Urusi kuzikwa kaburi moja

    KISSINGER AMEONEKANA CHUMBANI KWENYE MITAMBO YA VITA YA MAREKANI AKICHEKAA 🔷 Kissinger: World War III will come and Muslims will turn to ashes ... Former US Secretary of State Henry Kissinger made loud and dangerous statements after being swallowed up by a long silence until people almost...
  12. Walnut Creek

    Waarabu wa Kuwait wanaendeleza Utumwa

    Inasikitisha bado hawa watu wanauza binadamu wenzao. Guess what, wengi wanaouzwa ni Waafrika. Cheki link ya BBC. https://www.bbc.com/news/technology-50266663
  13. Erythrocyte

    Video: Hawa wanafanya nini uwanjani?

    jionee mwenyewe
  14. Full charge

    Kwanini Waarabu hawapendi Watu Weusi wawaoe binti zao?

    Ndugu zangu wana JF ningependa kujua juu ya hawa ndugu zetu Waarabu na Wahindi, kwanini wao wanapowataka dada zetu wanaoa tena bila sisi kuwatilia masharti ila linapokuja suala la sisi kutaka kuwaoa familia zao zinakataa? Je, wao wanathamani sana kuliko sisi weusi? Je, dini walotuletea...
  15. Pascal Mayalla

    Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

    Wanabodi, Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo mbambali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii vikiwemo viwanda, miundombinu, maendeleo ya kilimo, ila pia...
  16. FRANCIS DA DON

    Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu, ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile, iliwezekanaje? Watumwa ndani ya...
  17. Pascal Mayalla

    Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

    Wanabodi, Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30. Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first...
Back
Top Bottom