1. Wengi wao wako katika 'payrol' ya Yanga.
2. Wengi wao ni Wanafiki sana.
3. Wengi wao wana Chuki na Simba.
4. Wengi wao wana Wivu na Mafanikio ya Simba.
5. Wengi wao wana Upendeleo katika Uchambuzi.
6. Wengi wao wanatumika Kuichafua Simba.
7. Wengi wao wana Husuda binafsi na Mwekezaji Mo...
Tumewazoea kwa ramli zenu dhidi ya mnyama na uchambuzi uchwara ambao hatuusilkii sana sasa hivi ya kuwa simba ni wazee. Badala yake mmeanza kampeni ya kuililia Simba iwape mikataba minono hao hao mliokuwa mnawaita wazee.
Najua mmekula mlungura kutoka upande wa pili ili mcheze mind game against...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.