Usiku wa tarehe 26 kuamkia 27 January 2025,gereza la Munzenze huko Goma, lililokuwa na wafungwa 4,475, badhi ya majengo yalichomwa moto na wafungwa, waliokuwa wakifanya jitihada za kujinasua, kutokana habari iliyokuwa imeenea mji kuwa kundi la M23 linakaribia kuuteka, na huku walikuwa wakisikia...