wahenga

Get Out is a 2017 American horror film written and directed by Jordan Peele in his directorial debut. It stars Daniel Kaluuya, Allison Williams, Lil Rel Howery, Bradley Whitford, Caleb Landry Jones, Stephen Root, Lakeith Stanfield, and Catherine Keener. Get Out follows Chris Washington (Kaluuya), a young black man who uncovers a disturbing secret when he meets the family of his white girlfriend, Rose Armitage (Williams).
Principal photography began in February 2016 in Fairhope, Alabama, then moved to Barton Academy and the Ashland Place Historic District in Mobile, Alabama. The entire film was shot in 23 days.
Get Out premiered at the Sundance Film Festival on January 23, 2017, and was theatrically released in the United States on February 24, 2017, by Universal Pictures. It received acclaim from critics, with praise for the screenplay, direction, acting performances (particularly Kaluuya), use of black comedy, and social themes. It was also a massive commercial success, grossing $255 million worldwide on a $4.5 million budget, with a net profit of $124.8 million, making it the tenth-most profitable film of 2017.It was chosen by the National Board of Review, the American Film Institute, and Time magazine as one of the top ten films of the year. Peele won the Academy Award for Best Original Screenplay at the 90th Academy Awards, with additional nominations for Best Picture, Best Director and Best Actor (Kaluuya). It also earned five nominations at the 23rd Critics' Choice Awards, two at the 75th Golden Globe Awards, and two at the 71st British Academy Film Awards. It has been featured in multiple listings of the best films of the 2010s.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Naomba kuwajua awa wazee wahenga majina yao ni wakina nani??

  2. Usikatae urithi wa asili kutoka kwa wahenga

    L Kila kitu kizuri nyuma yake kina ubaya Tunza hekima ya wahenga uliyorithishwa kusaidia watu nasio kuwaaumiza wengine Sheria ya uchawi inasema ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Fanya uwezavyo kwa kutumia uchawi ila usimdhuru mtu ๐ŸšถTenda wema nenda zako ๐Ÿšถ BRAZA CHOGO BICHWA KOMWE - Nikifa MkeWangu Asiolewe Tumwesige senior
  3. Raila Odinga wahenga waliposema kuwa Kikulacho ki Nguoni mwako na Adui yako ni Rafiki yako wala hawakukosea

    Cornelius K. Ronoh @itskipronoh Itโ€™s confirmed: President Mama Samia Suluhu Hassan and Paul Kagame voted for Mahmoud Ali Youssouf. Interests come first, not neighborhood or friendship. GENTAMYCINE siongezi kitu wala sipunguzi kitu ila Raila Odinga Yeye ajue tu kuwa Waafrika UNAFIKI ni TUNU...
  4. Sauti ya wahenga inasema

    Sauti ya wahenga inasema ni bahati nzuri kutofagia nyumba ya zamani kabla ya kuondoka kuhamia nyumba mpya,kwani ukifanya ivyo yale mabalaa unayo pitia nyumba ya zamani unayaamishia nyumba mpya. Pia usihame katika Nyumba nyingine na ufagio wa zamani,hii unaamishia nuksi na matatizo Kwenye...
  5. Wahenga: Tukumbushane mtindo wa maisha ya zamani na zana zilizokuwa zinatumika

    habari. Jukwaa hili ni kwaajili ya kukumbushana maisha ya zamani, zana zilizotumika zamani michezo na masomo ya zamani na mengineyo yote ili vizazi vijavyo viweze kujifunza. Karibuni nyote.
  6. Wahenga

  7. Wahenga mpo

    Wahenga mpo
  8. Product of Tanganyika ; P.O. Box **** KAWE Daressalaam. Inawakumbushani pic. Wahenga wenzangu ?

    Product of Tanganyika ; P.O. Box **** KAWE Daressalaam. Inawakumbushani pic. Wahenga wenzangu ?
  9. Wahenga wenzangu mnaikumbuka hii movie

  10. Wahenga waliobahatika kupimwa uzito kwa mizani hiyo

    WAHENGA WALIOBAHATIKA KUPIMWA UZITO KWA MIZANI HIYO? HAPO NI KISHAPU SHINYANGA. INAKUWA NI SIKU MAALUM YA KUPIMWA UZITO,ENEO KWA ENEO. MIZANI INAHAMISHWA.
  11. Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.

    Wahenga mnakumbuka hivyo vitu vya enzi zile,dondosha komenti kipi umekitumia kati ya hivyo hapo.
  12. Tujifunze Busara za wahenga wetu kwenye ndoa

    Wazee wa zamani walikuwa wakitoka safari ya siku nyingi walikuwa Hawa fikii nyumbani hapana wanafikia vilabuniii Kisha Wana mtuma Mtoto apeleke begi nyumbani ili mke ajue mumewe kafika Kusudi mke aandae mazingira vizuli Yani Kama mchepuko alisahau car wash, soks,viatu,au suluwali ndani mke...
  13. Kwa Wahenga: Mnaomkumbuka muigizaji Mwanaachia aliigiza na Mzee Majuto na Mzee Small

    Kwa Wahenga wenzangu ambao tulikua miaka 1990s wakati huo kuna ITV na ITV 2, Cheka na CTN kulikuwa na muigizaji wa kwanza hapa Bongo Alikuwa akiigiza Ana kigugumizi na tumbo kubwa na pia kwa miaka hiyo alikuwa akiimba Taarabu Huyu jamaa alifariki mapema akiwa kwenye ubora wake kama...
  14. Wahitimu wa sasa wanatudhalilisha wahenga

    Hawa vijana wanaomaliza shule siku hizi wanatufanyia sisi tuonekane hatukuwa serious wakati tunasoma Vijana wanafaulu hadi tunajiona sisi tulihurumiwa kupata vyuo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Haya matokeo ya kidato cha sita yamenifanya nijiskie nilifeli
  15. Je, Semi hizi ni za kweli amma ni za wahenga tu?

    Niliambia hivi โ˜…"Mwanangu katika maisha yako ya utuuzima ishi na mwenyeji wako kama mgeni,mgeni ajapo ishi naye kama mwenyeji tu ulokwepo naye kabla" โ˜… Nilipewa nafasi kufikiria kama ningepata hata kuelewa lakini haikuwa rahisi sana. Ikatafsiriwa na wataalamu wakasema kuwa jambo hilo lipo...
  16. Shairi: Swala la Umeme na Bunge wahenga wanasema "Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"

    Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"(Mmetupunguza Ubongo,Mnatuchuza Hadharani) Achutama zivukapo, mwerevu zake 'zo Nguo, Kuinama aketipo, soniye ndio chaguo, Tena hata aitwapo, huitika kwa rudio, Mmetupunguza Bongo, mwatuchuza Hadharani. Mwatuchuza Hadharani, mmetupunguza Bongo, Wengine...
  17. Urithi wa Kundi la Eiffel 65 katika Muziki wa Elektroniki

    Miaka ya 1990 mpaka mwanzoni mwa mwaka 2000 tulipata kusikia nyimbo tamu sana kutoka Ughaibuni, nyimbo kama "Hold On" ya mwamba Wilson Phillips, au "It Must Have Been Love" kutoka kwa bendi ya Roxette au Vogue ya Madonna. Lakini kuna nyimbo mbili ambazo utotoni tulipenda sana kusikiliza kiasi...
  18. Tungo: Nipeni ushauri, mke gani nichague

    Naombeni ushauri, mke gani nichague! Niangalie uzuri, mtaani wanijue? Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie. Au alietulia tuli, pekeangu nitanue. Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue. Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha. Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha. Au nichukue mnoko...
  19. W

    Wahenga je hawa ni walimu wako?

    Je, hawa walikuwa walimu wako? tutajie majina.
  20. Special Thread: Ya kale ni dhahabu

    Huu ni uzi maalumu unaojumuisha maisha yote ya kale tuliyoyaisha ,mashujaa wetu wa enzi hizo visa vyao na burudani kwa ujumla. Karibuni .
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ