Habari wakuu !!
Je, unajua kuwa mji wa mbinguni kuna maghorofa yenye urefu wa mile 500,000 sawa na kilometa 804,450????
Ufunuo wa Yohana 21:16 Na ule mji ni wa mraba, na marefu yake sawasawa na mapana yake. Akaupima mji kwa ule mwanzi; ulikuwa kama maili elfu na mia tano; marefu yake na...