wakenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wakenya na Ardhi ya Tanzania. Tuweni Makini!

    Leo nikiwa mmoja ya Watanzania walioalikwa kwenye mnuso na Wakenya iliyofanyika nyumbani kwa Mkenya mmoja maeneo ya Mbezi Beach, baada ya kupiga gambe la uhakika, Wakenya walianza kuropoka. Ila nilishtushwa na kushanganzwa jinsi walivyokuwa wakisema waziwazi, kwamba maendeleo ya Kenya hasa...
  2. sky soldier

    Wakenya wanampambania Diamond mno kumsafisha bet

    Nimekutana na hii petition mpya ambayo inataka ku reverse ile petition inayotaka Diamond kutolewa kwenye tuzo. Kwenye petition hii nmeona pia wakenya wamo, hii picha hapa kuna mkenya utaona kasaini. Wa tz tupi bize kushushana tu bila kuangalua uhalisia, Hivi kweli mlitaka Diamond akatae...
  3. M

    Wakenya kuletewa passport mlangoni baada ya kufanya maombi mtandaoni

    Majirani zetu wameanza sisi Passport unahojiwa kama unataka kuingia Vaults ya BOT ======= PostMaster General Dan Kagwe and Immigration Director General Alexander Muteshi during the signing of an MoU on May 3, 2021. PHOTO / COURTESY By Vincent Anguche Kenyans will now have their passports...
  4. tpaul

    Watanzania wamemtupa Rose Muhando porini, ameokotwa na Wakenya

    Hakuna shaka kwamba msanii nguli wa nyimbo za injili, Rose Muhando, ndiye malkia na gwiji wa nyimbo za injili Afrika Mashariki na Kati. Msaanii huyu alianza kuvuma kwa muda mrefu sana na kiwango chake kimebakia juu pamoja na kwamba umri wake kwa sasa umesogea. Album kali kabisa ya Rose Muhando...
  5. MK254

    Bora tu muendelee kukatalia Wakenya, hizi video huonyesha kwa kweli tutawakoloni mkiachia

    Huwa nafuatilia channel ya hawa wadau ambao huwahoji Watanzania vitu vya kawaida, yaani Watz wapo wapo tu siku ziende, elimu mbovu hawana uwezo wa kushindana na moto wa Wakenya. Bora hivyo wao huogopa Wakenya maana duh!
  6. Nigrastratatract nerve

    Wakenya wanavyochati

  7. My Son drink water

    Rais Samia, unawajua Wakenya?

    Rais wangu na mama yangu Samia, kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki, ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa. Rais wangu...
  8. Etwege

    Rostam Aziz: Ni ngumu kwa Mtanzania kuwekeza Kenya

    Mfanya biashara billionea wa Tanzania bwana Rostam Aziz leo akizungumza kwenye kongamano la wafanyabiashara kati ya Tanzania na Kenya kwenye ziara ya rais Samia amesema mazingira ya uwekezaji kati ya hizi nchi mbili hayako sawa. Rostam amesema ni rahisi sana kwa Mkenya kuwekeza Tanzania lakini...
  9. J

    Kenya: Rais Samia afungua kongamano la wafanyabiashara nchini Kenya, Rostam Aziz atema madini ukumbi mzima wamshangilia

    Rais Samia amefungua kongamanano la wafanyabiashara nchini Kenya ambalo limehusisha pia wafanyabiashara kutoka Tanzania. Rostam Aziz ametaka uwepo wa uwiano mzuri wa kibiashara kati ya Kenya na Tanzania badala ya nchi moja kuwa msambazaji wa mali ghafi na mwingine akiwa muuzaji wa finished...
  10. Abby Newton

    Wakenya hivi mnaelewa maana ya "Kutia kidole"?

    Ukikiongea Kiswahili cha Kenya hadharani ukiwa Tanzania unaweza jikuta umeshushiwa kipigo heavy. Hii lugha inawapiga chenga sana. Tuendelee kuwasaidia ipo siku wataelewa.
  11. rosemarie

    Tukatae Wakenya kusafiria passport zetu nchi za SADC

    Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi. Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja. Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya...
  12. MK254

    Vijana wengi Wakenya wajiunga kusomea urubani wa "drones", unalipa sana siku hizi

    Kenyans are rushing to enroll into drone academies as they seek to equip themselves with drone piloting skills so as to obtain operating licences. Many of the Kenyans enrolling into the academies want to learn as well as obtain about licences that will allow them operate commercially. Drones...
Back
Top Bottom