Si Wajerumani wala Uingereza walioiba chochote hapa kwetu, kwanza hata walipoteza zaidi kuliko walivyowekeza Wajerumani walijenga reli, barabara, mipango miji, geographical survey ya nchi yote, walifanya utafiti wa udongo na kupima matone ya mvua na kuamua wapi palimwe nini, walileta mazao...