Tangu awamu ya 5 ya Rais wetu JPM iingie madarakani imekuwa ikitoa kipaumbele kwa wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga. Pamoja na malengo mazuri ya serikali kuwasaidia wamachinga lakini pia wafanyabiashara wenye maduka nao wanatakiwa kuwekewa mazingira mazuri ya kufanya biashara...
Kumekuwa na wimbi kubwa la wamachinga kuzagaa pembezoni mwa barabara za magari na wapita kwa miguu na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hizo.
Hii ipo kwenye mikoa Kama
Dar es salaam
mwenge - ubungo
Ubungo-shekilango-manzese-magomeni
Kariakoo-karume-ilala-buguruni...
Imeandaliwa na Umoja wa Wamachinga Iringa
Kauli ya mgombea urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kuahidi kuwaondoa wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga kwenye mitaa mbalimbali ya miji na majiji tunaipinga vikali kwasababu inataka kutuingiza kwenye umasikini.
Katika kampeni zake, Lissu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.