Naelewa hii mada imeongelewa sana ila naomba nije kwa namna nyingine
Najua naeza nikawa naandika kitu ambacho labda kishapitwa na muda kutokana na serikali yenyewe pamoja na watu wake kuliweka cold,,
Xenophobia ilitokea south africa wasanii reacted
George floyd wakatoa hadi nyimbo i...